Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Ukisikia neno siri unaelewa nini?

Hakuna siri, ni kujidanganya mwenyewe tu. Huku ukiogopa kuwa ego na u mimi utakufa wengine wakijua dark side yako.

Umeshaona mti umejificha? Tunajificha ili tu survive na sio ku thrive.

Simba humnyatia swala ila apate kitoweo, Swala hukimbia ili kulinda maisha yake.
Yeah umeniwahi , hakuna siri zaidi ya ego tu
 
Yeah umeniwahi , hakuna siri zaidi ya ego tu
Bora ww mkuu we on the same level

Unajua mzee kuna issue huwa naona kwa watu na jamii kwa ujumla hawaishi wao, zinaishi ego hasa huyu ShesRise_1

Na unajua maisha ni fumbo ambalo linahitaji uwe uchi(usiwe msiri) ili uweze kulitatua.

Hapo kuelewa sasa ndo mtihani😂
 
Bora ww mkuu we on the same level

Unajua mzee kuna issue huwa naona kwa watu na jamii kwa ujumla hawaishi wao, zinaishi ego hasa huyu ShesRise_1

Na unajua maisha ni fumbo ambalo linahitaji uwe uchi(usiwe msiri) ili uweze kulitatua.

Hapo kuelewa sasa ndo mtihani😂
Hakuna cha siri bwashee, hakuna mchongo utaufanya iwe siri maisha yetu yanategemeana vibaya mno, ego tu
 
Hebu mueleweshe Platinum 🤗
Faragha inaweza isiwe siri.
Ukienda gesti na mwanamke, mtu wa mapokezi anakuwa anajua/kuelekea kuelekea kujua unachokwenda kufanya, ila utakuwa na faragha sababu upo chumbani. Hakuna siri pale kuna faragha.
Mfano mwingine, ukienda ATM ukakuta watu pale nje wapo kwenye foleni, wale wanajua unakwenda kutoa hela, ila kitendo cha kutoa hela kikawa cha faragha.
Siri ni pale hakuna mtu anajua au hata kubashiri kitendo kilichotokea. Ndio maana utaambiwa hakuna siri ya watu wawili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom