de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,399
- 22,594
Mkuu nimecheka vibaya saana😂😂Sasa sisi wamatumbi tuna nini cha kudai ni siri?
Hivi "watumbi" ina maana gani?
Mkuu nimecheka vibaya saana😂😂Sasa sisi wamatumbi tuna nini cha kudai ni siri?
Unaweza kuchangia mada bila ku m attack mtu ?Bora ww mkuu we on the same level
Unajua mzee kuna issue huwa naona kwa watu na jamii kwa ujumla hawaishi wao, zinaishi ego hasa huyu ShesRise_1
Na unajua maisha ni fumbo ambalo linahitaji uwe uchi(usiwe msiri) ili uweze kulitatua.
Hapo kuelewa sasa ndo mtihani😂
Jua tu hakuna siri , maisha yanategemeana , atanibania mimi atakiachia kwa mwamba mwingine tui need a reason niko hapa kujifunza
Na hapa ndo wazungu wametupiga kete.Hakuna cha siri bwashee, hakuna mchongo utaufanya iwe siri maisha yetu yanategemeana vibaya mno, ego tu
Wakali wa hizi kaziMkuu nimecheka vibaya saana😂😂
Hivi "watumbi" ina maana gani?
Siri ni illusion kama ilivyo upendo tuNa hapa ndo wazungu wametupiga kete.
Wow umeeleza vyema Red blackFaragha inaweza isiwe siri.
Ukienda gesti na mwanamke, mtu wa mapokezi anakuwa anajua/kuelekea kuelekea kujua unachokwenda kufanya, ila utakuwa na faragha sababu upo chumbani. Hakuna siri pale kuna faragha.
👏👏👏Mfano mwingine, ukienda ATM ukakuta watu pale nje wapo kwenye foleni, wale wanajua unakwenda kutoa hela, ila kitendo cha kutoa hela kikawa cha faragha.
Umesema vizuri platinum 🤝Siri ni pale hakuna mtu anajua au hata kubashiri kitendo kilichotokea. Ndio maana utaambiwa hakuna siri ya watu wawili.
Nothing serious, wewe ndo muhusika wa mada I have no obligation ku ku tag! Au wewe sio msiri tena?Unaweza kuchangia mada bila ku m attack mtu ?
Naomba usiniharibie uzi kwa hizo sukari zako tafadhari sana 🙌🙌🙌
Nyongeza : sio lazima tufanane kama mada hailbariki pita hivi🫴
Narudia usiniharibie uzi kwa battle za kipuuzi🙏🙏🙏
Makongo hapo?Jioni ya leo nahitaji mdada ambaye anaweza kuja kunisaidia kuosha vyombo, kufua na kufanya usafi chumba changu
Sio bure nitalipia.
Nipo Makongo juu, opp na Changanyikeni.
Kwa nini
Nakuunga mkono kwa nguvu sana, mawazo tofauti muhimu wamatumbi wengi wanataka democracy wakati moyoni ni madiktetaNothing serious, wewe ndo muhusika wa mada I have no obligation ku ku tag! Au wewe sio msiri tena?
Nachangia na hakuna kitu utafanya. Nitapinga na kumtagg mtu yoyote kama sijamdhihaki it's okay
Watabaki na hiyo SiriJe wafukunyuzi wa siri?
Thank you 😊"Privacy is the right to control your personal boundaries and what information is shared with others, rooted in respect and dignity. Secrecy is the deliberate concealment of information—often driven by fear or shame—because you know it could harm a relationship or alter how others perceive you"
Watu wengi siri mnaweka bayana na bayana mnaficha, ndio maana ni rahisi siri zenu kujulikana. 😊
Ya ku mu attack mtu binafsi yaan haiwezekani kuchangia bila ku mu attack mtu 😀😀 ama kweliNakuunga mkono kwa nguvu sana, mawazo tofauti muhimu wamatumbi wengi wanataka democracy wakati moyoni ni madikteta
😂😂😂 Sindano imeanza kupenya mdogo mdogoNarudia usiniharibie uzi kwa battle za kipuuzi
Ki vp si amefukunyua ili akatangazeWatabaki na hiyo Siri
Ni kweliUkisema hivo lazima uumie tuuuuuuuu
Sisi tunawafyeka tuu. Hakuna cha democracy wala ndugu yake na amani babaake🤣Nakuunga mkono kwa nguvu sana, mawazo tofauti muhimu wamatumbi wengi wanataka democracy wakati moyoni ni madikteta
Mzee wa kuchezesha wewe unaweza kuona kitu ukanyamaza?SIRI,SIRINI.
siri ni ya mtu mmoja tu, akishakuwa wa pili si SIRI tena.