Taja mojawapo ambalo unahisi halisameheki?Kuna wanadamu hawasameheki kamwe!!
Kuna mambo yanauma sana unafanyiwa hayatoki katika maisha yako ni alama mpaka kifo
Taja mojawapo ambalo unahisi halisameheki?Kuna wanadamu hawasameheki kamwe!!
Kuna mambo yanauma sana unafanyiwa hayatoki katika maisha yako ni alama mpaka kifo
Ni kweli katika waaminio karma kwahiyo uchaguzi unabaki kuwa kwa mtendwaMkuu Mshana Jr.Inasemekana kila kitu kinacho tutokea ni function ya karma.
Kwamba, ukipata ajali ni karma,ukipata maradhi fulani ni karma,mtu akikuumiza, hiyo ni sababu ya karma.
Sasa ukilipiza kisasi, huoni kama unaendelea ku accumulate karma?.
Asante. Kama hutojali mkuu, tupe somo la karma kwa upana wake.Huenda hapo ndipo matatizo yetu yalipo.Ni kweli katika waaminio karma kwahiyo uchaguzi unabaki kuwa kwa mtendwa
Mungu huwa habariki maovu ni sawa na wale wanaomuomba Mungu awasaidie washinde vita.. Mungu hubaki kuwa Mungu na ana jinsi yake ya kutoa adhabuNa vp mshana jr kwa wale wanaombea wenzao kwa Mungu mabaya pale mnapokuwa mmetofautiana
Mtu anafunga kabisa na Kumuomba Mungu ampe pigo mbaya wake. Maombi ya aina hii si yanaangukia kwenye kulipiza kisasi?
Taja mojawapo ambalo unahisi halisameheki?
Shaurilo mshiki oko utakufa umekunja sura!mimi naweza kusamehe ila huwa nakumbuka na kuumia sana hadi kulia .. kisasi naogopa na kusamehe nashindwa kusahahu
HahA umeitika vizuri kweli!! Jiulize wewe hujawahi kumfanyia mtu mabaya au hufanyi mabaya? Je nao wakiamua kujibu mapigo utasalimika?sawa mkuu
Haya ya kulipiza kisasi lazima tuziweke Dini zetu na imani zetu pembeni kwanza!! Maana ni maamuzi magumu kidogo!Tukiweka Imani zetu za dini pembeni, hapo upo sawa.
mama kubwa kuna kitu unaweza kufanya hapa na ikawa hatua moja kuelekea kusamehe.Nimeamua kuishi hivyo na maumivu sina jinsi jambo limetokea zaidi ya miaka 16 lkn maumivu yake utafikiri ni jana.Siwezi kwenda kinyume na imani yangu na nimejitahidi kusamehe nimeshindwa kabisa.
Kwanza karma haijui msamaha kila baya hulipwa kwa baya na kila jema hulipwa kwa jema kwahiyo vyovyote iwavyo ukifanya baya jua kuna malipo yakeAsante. Kama hutojali mkuu, tupe somo la karma kwa upana wake.Huenda hapo ndipo matatizo yetu yalipo.
Upo sahihi?Kichwa cha binadamu kilivyoumbwa umbwa hutunza kumbukumbu nyingi sana...Tutasahau vitu vidogo vidogo ila navyo pia ukikaa ukatulia au ukaona kinachofanana nacho basi utakumbuka,huwezi sahau kamwe jambo baya ululilofanyiwa hata kama utaielewa na kuishi ndani ya dini kiasi gani.Hiyo ni human nature,navyojua kwa akili yangu ni unasamehe na usikumbuke kutenda ubaya juu ya kile ulichofanyiwa..maana yake ni kwamba yule aliyekutendea ubaya utaendelea naye na maisha ya kawaida pasipo kumtendea tofauti na msamaha uliopo.Kuachana na mawazo hasi juu ya ubaya uliotendewa,kama ni kosa wewe msamaha wako uoneshe njia sahihi na ndipo nguvu ya msamaha huja.Mtu anayesamehe mambo bila manung'uniko ndio huwa njia bora kwa mkosaji.Nimekupata mkuu, tatizo langu lipo hapo kwenye kusema unasahau. Hauwezi kusahau tukio hata siku moja, msamaha wa kweli ni ule ambao hata ukikumbuka tukio lililotokea halikupi shida au maumivu kama miss chagga
Mambo mengi yanayotusumbua yapo kichwani tu au kwenye mawazo hayana uhalisia, wakati mwingine unaweza tu ukabadili unavyoyachukulia mambo na kila kitu kikabadilika.
Kama habariki maovu mbona anatuambia kisasi ni juu yake?Mungu huwa habariki maovu ni sawa na wale wanaomuomba Mungu awasaidie washinde vita.. Mungu hubaki kuwa Mungu na ana jinsi yake ya kutoa adhabu