Ukishangaa ya Polepole usisahau kushangaa ya mwendazake na Mama

Ukishangaa ya Polepole usisahau kushangaa ya mwendazake na Mama

Swali zuri kabisa:
1. Pole pole alikuwa na wadhifa ndani ya serikali ya mwendazake kama mkuu wa Wilaya ya Ubungo. Pia mkuu wa wilaya ndo mwenyekiti wa Kamati ya siasa na ulinzi ndani ya chama na serikali. Hivyo alikuwa mshirika mkuu.

2. Pole pole hakuwa na wadhifa serikalini, lakini kwa kuwa mfumo tulionao ni mfumo wa chama na serikali. Hivyo kuwa yeye ndani ya chama ngazi ya juu ambaye walihudhuria vikao vyote vya maamuzi ya chama ni wazi kuwa alikuwa mshirika mkubwa sana kwenye serikali ya mwendazake.

3. Msemaji wa chama ni cheo kinachokupa mamalaka ya kukemea maovu hadharani na chumbani yanayofanywa na serikali ambayo hayaendani na msimamo wa chama. Maana yake akiwa msemaji wa chama hatukuwahi kusikia akikemea maovu ya serikali ya mwendazake kwa kuwa naye alikuwa sehemu yao na mshirika mkuu.

4. Vile vile kuwa ndani ya serikali kwa takribani miaka 4 ya utawala wa sasa ni dhahiri kuwa maovu yote yaliyofanywa ndani ya utawala huu na yeye ni sehemu ya hayo maovu. Na kwa kuwa chama na serikali ni kitu kimoja kwa mfumo wa ki CCM ni dhahiri kuwa alikuwa mshirika mkuu wa chama. Kwa nini apige kelele wakati wa mbio za kuchagua na siyo kabla???


1. Unafahamu Job description ya mkuu wa wilaya? Unajua mkuu wa wilaya ana report kwa nani?

2. Maamuzi ya serikali yanafanyika kwenye vikao vya chama? So viongozi wa CCM wanaingia kwenye baraza la Mawaziri au vya watendaji wa juu wa serikali?

3. Msemaji wa sasa umemsikia anakemea maovu yoyote ? Au awamu hii hakuna maovu

4. Hapa unaongea in generally tu kwamba hata mjumbe wa nyumba kumi na yeye ni sehemu ya mambo maovu ya serikali
 
Sarakasi za polepole tumeziona.
Hebu tujikumbushe kidogo ni nani aliyetengeneza precedence ya uchafu wote huu unaolalamikiwa na Polepole????

1. Nani aliyeacha precedence ya kuteka, kupoteza, kutesa na kuua watu wanaokosoa watawala???

2. Nani aliyeanzisha upuuzi huu wa kuvuruga chaguzi kuanzia 2019, 2020, 2024 .....

3. Nani aliyeanzisha utawala wa kidikteta ndani ya chama na ndani ya serikali?

4. Nani aliyeanzisha uminywaji wa Demokrasia hadi kufikia vyama kuzuiwa kufanya siasa?

5. Nani aliyeasisi utaratibu wa fomu moja ndani ya chama?

6. Nani aliyeasisi utaratibu wa uchawa na ukunguni na kutaka yeye tu asifiwe ndani ya chama, serikali na nchi kwa ujumla?

7. Nani aliyessisi uminywaji wa uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa watu kujieleza, uvunjwaji wa haki za watu nk.??

8. Nani asiyeasisi uvurugwaji wa mifumo ya kitaasisi (Serikali, Bunge, mahakama) kwa kuingilia na muhimili uliojichimbia???

9. Na mengine mengi.

Mambo haya yote yalifanyika Ponjoro Polepole akiwa kwenye inner cycle na msemaji wa chama.

Swali: mbona hayo yote yalifanyika akiwa mjumbe wa vikao vyote vya chama na pia msemaji wa chama lakini hatukusikia akilalamika au kukemea maovu yote yale????

Iweje leo Ponjoro Polepole aonekane Shujaa na mzalendo wa kweli ili hali ni mmoja wa waasisi wa mambo yote ya kishenzi niliyoyataja hapo juu!!!!!!

Au ndo kusema kuwa Taifa hili limejaa watu wajinga kwa zaidi ya 90%.??? Kwamba unaweza ukatengeneza tatizo au kuwa sehemu ya tatizo lakini watanzania wale wale ukiwajia kwa mlango wa nyuma wanakushangilia kama mazuzu. Vilee!!!

Kwa ujinga huu itatuchukua miaka zaidi ya 200 kuuondoa ujinga na umasikini wa kifikra. Taifa limejaa wajinga na wapumbavu wengi sana.

Sitashangaa akifanya mwanaccm mwingine sarakasi za polepole tukaendelea kurukaruka kama mazuzu. Nimeona hata wapinzani wanashangilia kweli kweli na kumwona Polepole shujaa wao.

Ama kweli unyani bado umetukaaa.
Hata mm limenishangaza ..sie watanzania ni wajinga na wepesi kudanganywa ...mara hii washasahau lowasa alichowafanya
 
Kamba haikuwa ndefu na pia walimchoka kila siku anaomba alete wakyuba bongo kwa msaada wa ufadhili wa Tanzania kuja kufundisha au kutibu, kwa gharama za bongo......
Kyuba ni choka mbovu ile mbaya, hata Bangladeshi inaafadhali....
wew bhana wewe kyuba njaa sana? kwamba kule kamba haifiki
 
Sitashangaa akifanya mwanaccm mwingine sarakasi za polepole tukaendelea kurukaruka kama mazuzu. Nimeona hata wapinzani wanashangilia kweli kweli na kumwona Polepole shujaa wao.🥺🥺🥺
Mko wachache sana wenye huu upeo

Wengi hamtuelewi… chakandumuz na wapinzani wengi hasa vijana wanachwza game ya chama dume

Utasikia February 2026 polepole anapewa nafasi ya uongozi

Siku tutakapoacha siasa za vyama na uhafidhina tutapona Kama taifa
 
Kwa hiyo utawala wa kupiga watu Risasi hadharani na wengine kuwaua gizani na wengine kuwapoteza kabisa wasijulikane walipo na wengine kuwatesa na kuwabambikia kesi mbaya ilikuwa ni udikiteta wa kuleta discipline????

Kwa kuwa na mtawala wa sasa hivi anafanya yale yale kwa nini usiseme naye udikiteta wake ni wa kuleta discipline serikalini????
Kwenye nchi hizi zetu masikini zilizokithiri ufisadi, ulafi, matabaka na ujanja ujanja mwingi, hakuna namna utafanikiwa kuongoza kwa kutumia demokrasia.
Ukiwa kiongozi sahihi na mwenye maono utalazimika tu kutumia udikteta ili kunyoosha mambo.
Ndiyo maana pamoja na risasi zake wananchi bado walimkubali JPM na wanammiss sana.
 
Hoja yako ni nini hasa.
1. Je, polepole alikuwa nje ya mfumo wakati hayo yote yanafanyika au alikuwa amelala ndo kaamuka?

2. Je, maovu yote hayo yaliyofanywa na mfumo wa ki-CCM kurudi nyuma ni sahihi kwako na kwamba ni vitu vya kawaida??

3. Je, unaungana na mama yako, huwa kuteka, kutesa, kuua na kuumiza wanaompinga ni mambo ya kawaida na kwamba vifo hivyo ni vya kawaida?????
Wakati haya yanatokea Polepole alikuwa hana cheo chochote CCM wala Serikalini!!!
 
Hata mm limenishangaza ..sie watanzania ni wajinga na wepesi kudanganywa ...mara hii washasahau lowasa alichowafanya
Aliwaambia waviringishe mikono kuwa ndo mabadiriko yenyewe baadae akasema zake CCM
 
Wakati haya yanatokea Polepole alikuwa hana cheo chochote CCM wala Serikalini!!!
Inaelekea wewe ndo una wiki moja tangu umjue Polepole. Hata hujishughulishi kujua historia na mtu
 
Sarakasi za polepole tumeziona.
Hebu tujikumbushe kidogo ni nani aliyetengeneza precedence ya uchafu wote huu unaolalamikiwa na Polepole????

1. Nani aliyeacha precedence ya kuteka, kupoteza, kutesa na kuua watu wanaokosoa watawala???

2. Nani aliyeanzisha upuuzi huu wa kuvuruga chaguzi kuanzia 2019, 2020, 2024 .....

3. Nani aliyeanzisha utawala wa kidikteta ndani ya chama na ndani ya serikali?

4. Nani aliyeanzisha uminywaji wa Demokrasia hadi kufikia vyama kuzuiwa kufanya siasa?

5. Nani aliyeasisi utaratibu wa fomu moja ndani ya chama?

6. Nani aliyeasisi utaratibu wa uchawa na ukunguni na kutaka yeye tu asifiwe ndani ya chama, serikali na nchi kwa ujumla?

7. Nani aliyessisi uminywaji wa uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa watu kujieleza, uvunjwaji wa haki za watu nk.??

8. Nani asiyeasisi uvurugwaji wa mifumo ya kitaasisi (Serikali, Bunge, mahakama) kwa kuingilia na muhimili uliojichimbia???

9. Na mengine mengi.

Mambo haya yote yalifanyika Ponjoro Polepole akiwa kwenye inner cycle na msemaji wa chama.

Swali: mbona hayo yote yalifanyika akiwa mjumbe wa vikao vyote vya chama na pia msemaji wa chama lakini hatukusikia akilalamika au kukemea maovu yote yale????

Iweje leo Ponjoro Polepole aonekane Shujaa na mzalendo wa kweli ili hali ni mmoja wa waasisi wa mambo yote ya kishenzi niliyoyataja hapo juu!!!!!!

Au ndo kusema kuwa Taifa hili limejaa watu wajinga kwa zaidi ya 90%.??? Kwamba unaweza ukatengeneza tatizo au kuwa sehemu ya tatizo lakini watanzania wale wale ukiwajia kwa mlango wa nyuma wanakushangilia kama mazuzu. Vilee!!!

Kwa ujinga huu itatuchukua miaka zaidi ya 200 kuuondoa ujinga na umasikini wa kifikra. Taifa limejaa wajinga na wapumbavu wengi sana.

Sitashangaa akifanya mwanaccm mwingine sarakasi za polepole tukaendelea kurukaruka kama mazuzu. Nimeona hata wapinzani wanashangilia kweli kweli na kumwona Polepole shujaa wao.

Ama kweli unyani bado umetukaaa.
abracadabra za POLEPOLE, ni HARAKAHARAKA

View: https://youtu.be/HK4ZQBXg6Xw?t=18

View: https://youtu.be/HK4ZQBXg6Xw?t=123
 
Sitashangaa akifanya mwanaccm mwingine sarakasi za polepole tukaendelea kurukaruka kama mazuzu. Nimeona hata wapinzani wanashangilia kweli kweli na kumwona Polepole shujaa wao.🥺🥺🥺
Polepole na Bashiru Ally ni mojawapo wa watu walioshirikiana na Magufuli kuinajisi demokrasia hapa nchini, wawili hawa ndiyo walikuwa madalali wa kununua wapinzani uchwara na walitajirika sana kwenye projrct hii haramu, hivyo huyu ni mhuni kama wahuni wengine tu wa CCM.
 
Alikuwa compromised!
Ndio za wazee wa zamani, kila kitu usalama wa taifa hata wauza kahawa walikuwa wanaitwa usalama wa taifa.....
nyerere hapa alikuna sana kichwa kwa CKT, na kumuweka kizuizini kila kukicha sababu siasa zake za kulazimisha kila mtu afuate anavyotaka yeye
 
Kwenye nchi hizi zetu masikini zilizokithiri ufisadi, ulafi, matabaka na ujanja ujanja mwingi, hakuna namna utafanikiwa kuongoza kwa kutumia demokrasia.
Ukiwa kiongozi sahihi na mwenye maono utalazimika tu kutumia udikteta ili kunyoosha mambo.
Ndiyo maana pamoja na risasi zake wananchi bado walimkubali JPM na wanammiss sana.
Ngoja tukupe somo kidogo.

Utawala bila mifumo dhabiti ya nchi ni sawa na kuendesha gari bovu.

Msingi wa kuwa na mifumo dhabiti ya kiutawala ni Katiba na sheria.

Kama una katiba inayompa mamlaka makubwa Rais atafanya anachojisikia yeye na humfanyi chochote.

Matokeo yake kila kiongozi anaendesha nchi kwa utashi wake. Hakuna wa kumhoji. Lakini kungekuwa na mifumo imara ya Katiba na sheria hawezi. Uchawa unaouona sasa hivi ni matokeo ya Katiba na sheria mbovu.

Kwa hiyo ukisikia watu wanadai katiba mpya maana yake wana akili kuliko anayeaminishwa kuwa katiba ni kijitabu tu, bora ya Quran.
 
Polepole na Bashiru Ally ni mojawapo wa watu walioshirikiana na Magufuli kuinajisi demokrasia hapa nchini, wawili hawa ndiyo walikuwa madalali wa kununua wapinzani uchwara na walitajirika sana kwenye projrct hii haramu, hivyo huyu ni mhuni kama wahuni wengine tu wa CCM.
Hawa na mwendazake ndo walituletea terminologies hizi;
1. Wasiojulikana
2. Kuteka, na kuua watu.
3. Uchawa.
4. Tanzania ya mwendazake
5. Vita ya kiuchumi kwa kupiga risasi wananchi wake nk.
 
NALUDIA TENA CCM NI ILE ILE NA WATU NI WALEWALE..INGEKUWA HAO WOTE WANAYASEMA MANENO WANATAFUTA CHAMA CHAO BASI TUNGEWAJADILI KIVINGINE...HAPA CHAKUJIFUNZA NI CCM INATENGENEZA TATIZO HALAFU INAKUJA KUTATUA KIVINGINE.
 
NALUDIA TENA CCM NI ILE ILE NA WATU NI WALEWALE..INGEKUWA HAO WOTE WANAYASEMA MANENO WANATAFUTA CHAMA CHAO BASI TUNGEWAJADILI KIVINGINE...HAPA CHAKUJIFUNZA NI CCM INATENGENEZA TATIZO HALAFU INAKUJA KUTATUA KIVINGINE.
CCM ni chama chenye resilience ya hali ya juu, humfrey anaenda kuteseka sana, na vyama pinzani havimtaki maana alivifanyia ushirikina sana akiwa awamu ya 5
 
CCM ni chama chenye resilience ya hali ya juu, humfrey anaenda kuteseka sana, na vyama pinzani havimtaki maana alivifanyia ushirikina sana akiwa awamu ya 5
Watasema siasa haina adui wa kudumu. Lowasa alikuja na kuzungusha mikono eti ndo mabadiliko na baadae akatuacha akarudi zake .

Polepole atakuja na kuzungusha shingo, safari hii madaktari wajiandae kupokea wagonjwa wa shingo.
 
Sarakasi za polepole tumeziona.
Hebu tujikumbushe kidogo ni nani aliyetengeneza precedence ya uchafu wote huu unaolalamikiwa na Polepole????

1. Nani aliyeacha precedence ya kuteka, kupoteza, kutesa na kuua watu wanaokosoa watawala???

2. Nani aliyeanzisha upuuzi huu wa kuvuruga chaguzi kuanzia 2019, 2020, 2024 .....

3. Nani aliyeanzisha utawala wa kidikteta ndani ya chama na ndani ya serikali?

4. Nani aliyeanzisha uminywaji wa Demokrasia hadi kufikia vyama kuzuiwa kufanya siasa?

5. Nani aliyeasisi utaratibu wa fomu moja ndani ya chama?

6. Nani aliyeasisi utaratibu wa uchawa na ukunguni na kutaka yeye tu asifiwe ndani ya chama, serikali na nchi kwa ujumla?

7. Nani aliyessisi uminywaji wa uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa watu kujieleza, uvunjwaji wa haki za watu nk.??

8. Nani asiyeasisi uvurugwaji wa mifumo ya kitaasisi (Serikali, Bunge, mahakama) kwa kuingilia na muhimili uliojichimbia???

9. Na mengine mengi.

Mambo haya yote yalifanyika Ponjoro Polepole akiwa kwenye inner cycle na msemaji wa chama.

Swali: mbona hayo yote yalifanyika akiwa mjumbe wa vikao vyote vya chama na pia msemaji wa chama lakini hatukusikia akilalamika au kukemea maovu yote yale????

Iweje leo Ponjoro Polepole aonekane Shujaa na mzalendo wa kweli ili hali ni mmoja wa waasisi wa mambo yote ya kishenzi niliyoyataja hapo juu!!!!!!

Au ndo kusema kuwa Taifa hili limejaa watu wajinga kwa zaidi ya 90%.??? Kwamba unaweza ukatengeneza tatizo au kuwa sehemu ya tatizo lakini watanzania wale wale ukiwajia kwa mlango wa nyuma wanakushangilia kama mazuzu. Vilee!!!

Kwa ujinga huu itatuchukua miaka zaidi ya 200 kuuondoa ujinga na umasikini wa kifikra. Taifa limejaa wajinga na wapumbavu wengi sana.

Sitashangaa akifanya mwanaccm mwingine sarakasi za polepole tukaendelea kurukaruka kama mazuzu. Nimeona hata wapinzani wanashangilia kweli kweli na kumwona Polepole shujaa wao.

Ama kweli unyani bado umetukaaa.
2 Wakorintho 5:17
[17]Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.
 
Back
Top Bottom