Ndio ni shujaaSitashangaa akifanya mwanaccm mwingine sarakasi za polepole tukaendelea kurukaruka kama mazuzu. Nimeona hata wapinzani wanashangilia kweli kweli na kumwona Polepole shujaa wao.🥺🥺🥺
hahahaha ! basi atafute chama kingine kutokufanya hvo kunaondoa imani kwa CCM.japo nzuri ilikuwa ni kuachana na siasa.Siasa ni maisha ataachaje sasa ili hali amejipa bonge la advertisement. Ka trend dunia nzima. Mama kaachwa na gagulo lake la chawa.
Huyu janja habahatishi kumbuka hata kuingiakwake ccm kulivyokua anakitu japo siasa nisiasaSitashangaa akifanya mwanaccm mwingine sarakasi za polepole tukaendelea kurukaruka kama mazuzu. Nimeona hata wapinzani wanashangilia kweli kweli na kumwona Polepole shujaa wao.🥺🥺🥺
Noted..Nje ya siasa atafanya kazi gani onayolipa kama siasa?
MR. POLEPOLE HARAKAHARAKA ameyakanyaga mazima (miscalculation)Watasema siasa haina adui wa kudumu. Lowasa alikuja na kuzungusha mikono eti ndo mabadiliko na baadae akatuacha akarudi zake .
Polepole atakuja na kuzungusha shingo, safari hii madaktari wajiandae kupokea wagonjwa wa shingo.
Watasema siasa haina adui wa kudumu. Lowasa alikuja na kuzungusha mikono eti ndo mabadiliko na baadae akatuacha akarudi zake .
Polepole atakuja na kuzungusha shingo, safari hii madaktari wajiandae kupokea wagonjwa wa shingo.