Ukiona wamarekani wanakuchukia ujue uko sahihi

Ukiona wamarekani wanakuchukia ujue uko sahihi

Bado mimi naamini wamarekani wanaweza kuisadia nchi yetu japo wengine mnaponda na mjue hamuwezi kubishana nao kwa lolote. Sasa mnataka kubishana nao kwa kukataa hizo pesa za maendeleo?
 
sasa si waende kwa jecha........na hili la mtandao ndiyo mambo ya kupelekea kuzuia pesa kweli???!!

Wamarekani wanajaribu kuweka shinikizo kwa faida yenu watanzania ila watanzania wenyewe hata hawaelewi.Sheria ya mtandao ni mbaya kwa wananchi wa kawaida.Demokrasia imepokwa Zanzibar.Huhitaji kuwa na shahada kung'amua haya.

Ndio maana kipaumbele cha Lowassa kilikuwa Elimu Elimu Elimu.
 
Ni 'theory' kwa hiyo uko sahihi na pia umekosea.Wakati mwingine keep your mihemuko to yourself huna proof.
 
Anayewachukia wamarekani kwa kusemaukweli ni mMbuzikama mMbuzi wengieM wakulaumiwa kwa zanzibrnamikwara ya uminyaji wa uhuru wa vyobo vyahabari nimtanglz
 
Magufuli anaonewa tu. Uchaguzi zenj ulifutwa wakati Tanzania na dunia haijui kama Magufuli ataibuka kidedea. Marekani wana yao. Mbona wanamwaga hela kwa kagame. kweli uhuru wa habari au mtandaoi uliopo tz unaweza kulinganishwa na hali halisi huko Rwanda. Thubutu. Mleta uzi huu uko sahihi. Kiongozi yeyote hasa Afrika akionekana anaelekea kutekeleza dhana ya kujitegemea lazima anunuwe. hoja hapa siyo ujamaa, bali kujitegemea. Mbona serikali ya uturuki inawadhalilisha wakurdi utadhani siyo raia wa taifa hilo lakini Marekani na mrafiki zake wanaendelea kuiunga mkono serikali hiyo na kuimwagia misaada. Hizi double standards hazina tija. ni wakati Waafrika tujitambue.
 
Hivi kwanini unapeenda sana jitoa akili. Kama ni genye zakusumbua nenda Mmu. Kuachika kwako isiwe shida hapa.
= kushughulika

Ni wapi Wamerekani walipoonesha chuki kwa Magufuli au Tanzania?

Ulikuwa unasinzia msalani?
 
There u are. Thanx.
Magufuli anaonewa tu. Uchaguzi zenj ulifutwa wakati Tanzania na dunia haijui kama Magufuli ataibuka kidedea. Marekani wana yao. Mbona wanamwaga hela kwa kagame. kweli uhuru wa habari au mtandaoi uliopo tz unaweza kulinganishwa na hali halisi huko Rwanda. Thubutu. Mleta uzi huu uko sahihi. Kiongozi yeyote hasa Afrika akionekana anaelekea kutekeleza dhana ya kujitegemea lazima anunuwe. hoja hapa siyo ujamaa, bali kujitegemea. Mbona serikali ya uturuki inawadhalilisha wakurdi utadhani siyo raia wa taifa hilo lakini Marekani na mrafiki zake wanaendelea kuiunga mkono serikali hiyo na kuimwagia misaada. Hizi double standards hazina tija. ni wakati Waafrika tujitambue.
 
I wouldn't agree with you more.Magufuli mbele kwa mbele.
Ni toka kwenye nukuu ya Mwl nyerere aliposema kuwa siku akiona wazungu wanampenda(hasa wamarekani) atajua kuna mahala kaanza kukosea...........sasa kwa hili la misaada kuzuia eti kisa zanzibar.....na kukaa kimya kwa marekani bila kutoa pongezi kwa magufuli jinsi alivyoanza ingawa benki ya dunia imepongeza na kutoa pesa kwa ajili ya mirad mbalimbali...........mabepari wameuchuna sababu wanaona zile enzi za kijamaa zinarud...zile enzi za rais kuwapenda wa tz kwa dhat kabisa, enzi za kushughurika na mambo ya wanachi bila kujipendekeza kwa wazungu.....enzi ya tanzania kuwa nchi yenye heshima........enzi ya tanzania kuanza kurudi kule ambapo wamarekani walikuwa wanakuogopa miaka yote.........kamwe marekani haijawahi wala haitawahi kuitakia mema nchinyingine....hasa afrika....zaidi ya kujali interest zake.........kwa historia ya tz tangu mwanzo na haya ya magufuli kwa sasa.....ni dhahili kuwa wamarekani wana hof ns tz ijayo na wenye akili hawashangai kwa lililotokea na tujiandae kwa mengine menhi zaid......hii ni vita ya ki itikadi sababu zingine ni mbwembwe tu!............Tusiogope dunia kwa sasa imebadilika sana...hao wamarekani hawana chao kwa sasa na kamwe hawatafanikiwa katika hii vita na tz.....magufuli upo sahihi na kamwe usirudi nyuma......"mbele kwa mbele"
 
hiyo ni concept mzee.......kumchukia magufuli siyo mpaka wamtukane live.....nilichosema ni kwamba historia huwa inazungumza na kamwe wamarekani hawatakuja kupigia makofi fikra zs kijamaa.........

hilo la msalani sijafundishwa kulisemea.......

Kwan magufuli ana fikra za kijamaa?...kama zipi hasa?...kubana matumiz!?..kwan ni nchi za kijamaa peke yake ndo hiwa zinabna matumiz?...Na pia kwan ni nchi za kijamaa peke yake ndo zinapambana na ufisadi....Wazir mkuu mstaafu wa israel yuko jela 3yrs kwa ufisad..je israel n nchi ya kijamaa?...Hizo fikra za kijamaa ni zipi hasa unazozisema
 
USA inawachukia alqaida elshabab na IS, kwa hiyo hayo makundi hayo yapo sahihi
 
Marekani haina uchaguzi Bali watalazimika kuipenda Tanzania kama wanavyoikumbatia Israel.Chili no Taifa la Mungu.Ni Taifa la with we ye nguvu wakanyagao watu.Soma Isaya 18.Taifa chili limekuwa kimbilio LA mataifa jirani yanapoingia kwenye migogoro,lilikuwa kituo kikuu cha wapigania Uhuru Afrika,msuluhishi was kimataifa,mtetezi was khaki duniani.Mkono was Mungu uko juu ya Taifa hili.No hivi juzi tu tuliyaona mataifa ya Marekani,China na Mataifa mengine makubwa
 
Kwani misaada tunaitaka???
Mbona Tanzania ikipata viongozi wazuri kama Magufuli ni nchi tajiri?
Waache tuu hiyo misaada yao...
 
😅😅😅😅😅 Marekani imchukie Magifuli ili iweje mkuu. Hebu kuwa na fikira huru. Hayo unayoyasema kwa sasa hayawezekani, yanahitaji muda kujipanga si kukurupuka. jembepori
 
Last edited by a moderator:
Marekani haina uchaguzi Bali watalazimika kuipenda Tanzania kama wanavyoikumbatia Israel.Chili no Taifa la Mungu.Ni Taifa la with we ye nguvu wakanyagao watu.Soma Isaya 18.Taifa chili limekuwa kimbilio LA mataifa jirani yanapoingia kwenye migogoro,lilikuwa kituo kikuu cha wapigania Uhuru Afrika,msuluhishi was kimataifa,mtetezi was khaki duniani.Mkono was Mungu uko juu ya Taifa hili.No hivi juzi tu tuliyaona mataifa ya Marekani,China na Mataifa mengine makubwa

-Taifa chili
-Msuluhishi was kimataifa
-mtetezi was khaki duniani
-Mkono was Mungu
-No hivi juzi tu.

Mmmh! Hii lugha sijaielewa!
 
Ssm, siiipendi, ila magu angalau, ila ntamwona wa maana, kama haya yote akiyaingiza kwenye sheria mama. Kinyume chake ni utoto uleule unaofanywa na bibi kizee.
 
Hiyo imekuwa tabia ya wamarekani na mabepari duniani. Angalia Libya, Syria, Iraq(wakati wa Saddam). Kama nchi yako iko na resources ambazo kwao ni valuable na kama upo strong hutaki resources zako ziondoke bure, lazima Marekani, Ufaransa, Uingereza waingilie kati.
Tofauti kati ya Marekani na China ni kuwa, wachina wao hawaingilii politics za nchi wanazofanya nao deals, while Marekani anapenda kukuingilia, kudhoofisha utawala na kuchukua chake.
Hakuna watu wabaya duniani kama whites, they're hypocrites. Akikuchekea unaweza kudhani yupo nawe, Kumbe yupo kwa interests za nchi yake. Na kama nchi yako haina kitu, hutamuona.
 
Back
Top Bottom