Ukiona wamarekani wanakuchukia ujue uko sahihi

Ukiona wamarekani wanakuchukia ujue uko sahihi

Awe mjanja kwa Marekani? Tuna nini sisi!?

sisi tunarasilimali mkuu......kama tungekuwa hatuna kitu hakuna ambaye angejipendekeza kuleta watu wake hapa kuwa mabalozi........halaf pia tuna uhuru yan sisi ninchi huru......hata kama unashinda kwa mbali sana nguvu mdogo wako kunaheshima ya utu wake unakuwa unauthamini........na ukitaka kuona nguvu za huyo mdogowako chezea utu wake......hayo ndomambo yanayofanya watu wawetayari kufa.........ni kulinda hadhi ya utu bac.......sasa hatakama hatuna kitu ndo marekani atutishe???, thubutu!!
 
Awe mjanja kwa Marekani? Tuna nini sisi!?
Mkuu, unauliza tuna nini sisi? Kweli? Tanzania ni moja ya nchi zenye rasilimali nyingi duniani..tena sana.
Tatizo ni rasilimali watu, zisizojua sisi tuna nini, kwa nini sisi ni masikini, then Marekani wakija wanachukua rasilimali zingine, na kutuachia rasilimali watu...
 
Mkuu ata ukirembesha vipi bado ukweli ni kwamba kilichojiri kimelitia doa taifa letu.Iwapo CCM wangeshinda uchaguzi ule kamwe Jecha asingefuta matokeo.Uchaguzi umevurugwa makusudi.
Kuhusu hili la sheria ya mitandao kama hawajakukamata watakuja tu kukukamata.Sheria ya mtandao inakinzana na uhuru wa kujieleza.
Hawa jamaa hawampi kila mtu misaada yao.Mfano .mtu kama Nkurunzinza kamwe hatopatiwa misaada.
Atakayefata kwa kukosa ni Kagame.
Kimsingi nchi yetu inahitaji hiyo misaada na hawa mabwana wana nia nzuri.

Hatuhitaji hela za wamarekani km tunakusanya kodi!Sefu anaporwa ushindi kila uchaguzi (madai yake) lakini hawajawahi kuacha kutoa msaada!
 
Wamarekani wako sahihi kabisa. Magufuli kadhindwa kushughulijia mgogoro wa Zanzibar kabaki na unafiki tu wa kuonea vidagaa Bara

Magu hataweza kuyamaliza majipu mengine tutamsaidia km hili la watu km nyie ni majipu
 
Wamarekani wako sahihi kabisa. Magufuli kadhindwa kushughulijia mgogoro wa Zanzibar kabaki na unafiki tu wa kuonea vidagaa Bara

hivi kwa akili zako unadhan magufuli haushughurikii mgogoro wa zanzibar?......huwez kujua kilakitu na usitake utatuliwe kama unavyotaka wewe.........nyinyi ndiyo mtakao anza kumtukana mzalendo maalim pale atakapokubali uchaguz kurudiwa......makam wa rais wa kwanza tafadhal usihangaike na watu wasioitakia heri zenj yetu.....
 
hivi kwa akili zako unadhan magufuli haushughurikii mgogoro wa zanzibar?......huwez kujua kilakitu na usitake utatuliwe kama unavyotaka wewe.........nyinyi ndiyo mtakao anza kumtukana mzalendo maalim pale atakapokubali uchaguz kurudiwa......makam wa rais wa kwanza tafadhal usihangaike na watu wasioitakia heri zenj yetu.....

Ameshughulika wapi? Mambo yako wazi, Maalim Seif kashinda uchaguzi, mnataka kumpora tu. Tena alishasisitiza hatarudia uchaguzi. Hapa Magufuli anataka kushiriki dhambi ya wizi wa ushindi wa Maalim Seif tu
 
Hatuhitaji hela za wamarekani km tunakusanya kodi!Sefu anaporwa ushindi kila uchaguzi (madai yake) lakini hawajawahi kuacha kutoa msaada!

Mwaka huu wameiba hazikutosha ikabidi tu wamwuru Jecha afute uchaguzi.
Basi ngoja tuone kama kodi zetu zitatosha kuendesha serikali.Ngoja tuwafanyie jeuri kidogo.Tumsilikilze Jecha atuongoze.Ana hekima sana yule mzee.
 
Ni toka kwenye nukuu ya Mwl nyerere aliposema kuwa siku akiona wazungu wanampenda(hasa wamarekani) atajua kuna mahala kaanza kukosea...........sasa kwa hili la misaada kuzuia eti kisa zanzibar.....na kukaa kimya kwa marekani bila kutoa pongezi kwa magufuli jinsi alivyoanza ingawa benki ya dunia imepongeza na kutoa pesa kwa ajili ya mirad mbalimbali...........mabepari wameuchuna sababu wanaona zile enzi za kijamaa zinarud...zile enzi za rais kuwapenda wa tz kwa dhat kabisa, enzi za kushughurika na mambo ya wanachi bila kujipendekeza kwa wazungu.....enzi ya tanzania kuwa nchi yenye heshima........enzi ya tanzania kuanza kurudi kule ambapo wamarekani walikuwa wanakuogopa miaka yote.........kamwe marekani haijawahi wala haitawahi kuitakia mema nchinyingine....hasa afrika....zaidi ya kujali interest zake.........kwa historia ya tz tangu mwanzo na haya ya magufuli kwa sasa.....ni dhahili kuwa wamarekani wana hof ns tz ijayo na wenye akili hawashangai kwa lililotokea na tujiandae kwa mengine menhi zaid......hii ni vita ya ki itikadi sababu zingine ni mbwembwe tu!............Tusiogope dunia kwa sasa imebadilika sana...hao wamarekani hawana chao kwa sasa na kamwe hawatafanikiwa katika hii vita na tz.....magufuli upo sahihi na kamwe usirudi nyuma......"mbele kwa mbele"

Si kweli..umejumuisha sana.. Siyo mara zote, kwa hiyo Nkuruzinza, Mugabe na Kagame wako sahihi kung'ang'ania ??
 
Inaweza kuwa sawa lkn umeiangalia in negative way peke yake,kwa nini nasema hivyo kwanza sababu walizotoa ni za msingi,hivi wewe unafurahia mambo yanayoendelea Zanzibar ? Pili wewe unaona ni sawa kwa hizi sheria za cyber crime? Tuache unafki mkuua, misaaada ya masharti sisi hatuitaki.Leo wanakupa sharyi la zbar, kesho watakwambia habari za ndoa ya jinsia moja.
 
Mmh!! Kazi tunayo, tatizo hatuelewi nini kinaendelea, kwan tulilazimishwa kupewa hizo hela? wakati JK akienda huko nje si alikuwa anaenda kwa manufaa ya nchi? Kwan masharti ya hizo hela ni yapi? au unafikiri unapewa tu!! Mnakaa mnalalamika tu. tunapenda sana kusifiwa kwa mambo yakijinga. Wewe even wakati wa ujamaa na nyerere raisi nani alitulitea mahindi ya yanga wakati wa njaa? Tunajipeleka wenyewe tunasaini mikataba then tukivunja masharti tunaona tunaonewa!!
 
Kwanza wamarekani hawana rafiki wa kudumu.. Wao wanaangalia maslahi yao tu... Ni ubepari katika ubora wake!
 
Inaweza kuwa sawa lkn umeiangalia in negative way peke yake,kwa nini nasema hivyo kwanza sababu walizotoa ni za msingi,hivi wewe unafurahia mambo yanayoendelea Zanzibar ? Pili wewe unaona ni sawa kwa hizi sheria za cyber crime? Tuache unafki mkuua, misaaada ya masharti sisi hatuitaki.Leo wanakupa sharyi la zbar, kesho watakwambia habari za ndoa ya jinsia moja.

Ni toka kwenye nukuu ya Mwl nyerere aliposema kuwa siku akiona wazungu wanampenda(hasa wamarekani) atajua kuna mahala kaanza kukosea...........sasa kwa hili la misaada kuzuia eti kisa zanzibar.....na kukaa kimya kwa marekani bila kutoa pongezi kwa magufuli jinsi alivyoanza ingawa benki ya dunia imepongeza na kutoa pesa kwa ajili ya mirad mbalimbali...........mabepari wameuchuna sababu wanaona zile enzi za kijamaa zinarud...zile enzi za rais kuwapenda wa tz kwa dhat kabisa, enzi za kushughurika na mambo ya wanachi bila kujipendekeza kwa wazungu.....enzi ya tanzania kuwa nchi yenye heshima........enzi ya tanzania kuanza kurudi kule ambapo wamarekani walikuwa wanakuogopa miaka yote.........kamwe marekani haijawahi wala haitawahi kuitakia mema nchinyingine....hasa afrika....zaidi ya kujali interest zake.........kwa historia ya tz tangu mwanzo na haya ya magufuli kwa sasa.....ni dhahili kuwa wamarekani wana hof ns tz ijayo na wenye akili hawashangai kwa lililotokea na tujiandae kwa mengine menhi zaid......hii ni vita ya ki itikadi sababu zingine ni mbwembwe tu!............Tusiogope dunia kwa sasa imebadilika sana...hao wamarekani hawana chao kwa sasa na kamwe hawatafanikiwa katika hii vita na tz.....magufuli upo sahihi na kamwe usirudi nyuma......"mbele kwa mbele"



Waafrika hatufikiri sawa sawa.
Hapo Wamarekani wana kosa gani?
Wameona mbali sana.
Angalia Burundi wanavyouana utasema ni Marekani au ni upuuzi tu wa kikundi cha watu kung'ang'ania atawale kiongozi kwa maslahi binafsi.
Wenzetu tukubali tu kuwa wana mipango mizuri kwa ajili ya mataifa yao na wanaisimamia.
Hivi kuna faida gani ya kukosa pesa za mcc kwa sababu tu ya kumng'ang'ania Shein ndio awe rais?
Hivi watanzania wa kawaida wanafaidika nini Shein akiwa rais wakati hawana maji,umeme,madawa na elimu bora?
Ni kwa nini tukubali ujinga wa Jecha usio na manufaa kwa maendeleo ya watanzania hasa wa bara halafu tujifanye kuiona misimamo ya marekani yenye faida kwa maendeleo yetu wenyewe kuwa ni kuingilia mambo yetu?

Hivi waliomtuma Jecha kufanya utumbo alioufanya wanatoa fedha kiasi gani kutoka mifukoni mwao kusaidia maendeleo ya nchi mbali na kumtumia Sheini
na nembo ya ccm kutumbu mijihela wanapokua madarakani?
Kama sio matumizi mabaya ya akili hebu tujiulize kwa nini Maalim Seif ambaye ni Mzanzibar asitangazwe na kuwa rais na Dr. Shein ambaye pia ni mzanzibar akawa Makamu wa Kwanza wa Rais kama wananchi wengi walivyoamua kwenye sanduku la kura kisha tukasonga mbele na pesa za mcc tukachukua na kujenga taifa?Badala yake tunaingia gharama ya kurudia uchaguzi utakao kuwa kiini nacho kwani ni dhahiri kuwa lengo la CCM kuifuta serikali ya umoja wa kitaifa litatimia kwani CUF hawatashiriki hivyo ccm kushinda kwa 100%.
Je,sisi watanzania hatuoni kitakachotokea Zanzibar baada ya kumrudisha Shein kwa ushindi wa 100% wakati alikua ameshindwa kwa uchaguzi huru uliofanyika kwa gharama kubwa?
Hatuoni hasara ya uchumi kudorora kwa miaka mitano ijayo na Waislam na wananchi wa kawaida wa Zanzibar kuishi maisha ya hofu na uhasama huku serikali ikiingia gharama kubwa za kupeleka majeshi kule Zanzibar badala ya kununua dawa hospitalini?
Wakati mamilioni ya watanzania wakiendelea kutaabika Jecha atakua anapongezwa na kusifiwa na wale waliomtuma. Eti huu ndio ujanja wa wa Kumshauri Magufuli asimsikilize Obama. Hawa wanaopinga tamko la Marekani hawana nia njema kwa maendeleo ya watu wa chini?
Wazanzibar walishaamua kumchagua Seif ili awavushe walipo, Shein wamemkataa kwani haendani na Kasi ya Magufuli.
 
Back
Top Bottom