1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,802
- 10,304
hiyo ni concept mzee.......kumchukia magufuli siyo mpaka wamtukane live.....nilichosema ni kwamba historia huwa inazungumza na kamwe wamarekani hawatakuja kupigia makofi fikra zs kijamaa.........
hilo la msalani sijafundishwa kulisemea.......
Hivi kukusanya kodi na kudhibiti wakwepa kodi ni ujamaa tu unaofanya hivyo?
Mtu mmoja kuvunja sheria na Kuvuruga uchaguzi ndio ujamaa?
Hivi ujamaa ni lazima utekelezwe kwa kukiuka haki za watu?
Ubepari umetawala dunia lakini hata hao wamareni wanaweka sheria za kudhibiti wakwepa kosi na wala rushwa.
Kwa hiyo Magufuli na Serikali yake wanatekeleza wajibu wao wa kusimamia sheria.