Ukiona Picha hii, Utajua CCM wako Usingizini waondoke

Ukiona Picha hii, Utajua CCM wako Usingizini waondoke

Chakaza

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
41,010
Reaction score
74,653
Wakuu picha hii imenifikirisha na kujiuliza hii serikali ya ccm inao watu wanaofikiri au ni ngumbaru watupu? Kwanini majirani wote watupite kama vile ni masikini sana wakati sie ndio tuna rasilimali nyingi kuliko wao?
 

Attachments

  • 1443771402164.jpg
    1443771402164.jpg
    25.4 KB · Views: 3,002
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.
 
Nadhani sintakosea nikisema m jinga ni wewe, sio lazima kuanzia have kitu kwa sababu ya kutafuta sifa au jina, katika hizo picha ulizoziweka hapo juu, nadhani hakuna Shiraka linalo ingiza faida kwa kazi zao, ila pengine Kenya Airways ambalo ni Shiraka lilo na ubia na mojawapo ya mashirika makubwa ya ndege ulimwenguni. The rest are subsidized by their governments, now what 8s the point in establishing an Airline which you will end up subsidizing it to stay afloat. We could use the money of establishing an Airline in Generating mote power so that we can increase productions in manufacturing and small scale industries.
 
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.

Inasikitisha kuwa na watu kama nyie kwenye taifa linalohitaji Maendeleo.
Mchango wa kila RAIA wa kawaida ni kufanya kazi kwa bidii na kulipa kodi zote stahili. Kisha chama kilichounda serikali kinaisimamia ifanye inayopaswa kufanya. Ajabu tuliyoiona ni ile ya Kinana kugeuka naye mlalamishi juu ya utendaji mbovu.
Wana haki ya kuondoka sasa.
 
Nadhani sintakosea nikisema m jinga ni wewe, sio lazima kuanzia have kitu kwa sababu ya kutafuta sifa au jina, katika hizo picha ulizoziweka hapo juu, nadhani hakuna Shiraka linalo ingiza faida kwa kazi zao, ila pengine Kenya Airways ambalo ni Shiraka lilo na ubia na mojawapo ya mashirika makubwa ya ndege ulimwenguni. The rest are subsidized by their governments, now what 8s the point in establishing an Airline which you will end up subsidizing it to stay afloat. We could use the money of establishing an Airline in Generating mote power so that we can increase productions in manufacturing and small scale industries.

write in English please
 
Jambo kubwa ambalo hawafanyi nalo mchezo ni uchapishaji wa tisheti, kofia, mashati, bendera na kulipa wasanii. Hili huwa halina mjadala wa bei, hufanyika kwa wakati, kwa umaridadi mkubwa, na tena kwa gharama yoyote.
 
Wakuu picha hii imenifikirisha na kujiuliza hii serikali ya ccm inao watu wanaofikiri au ni ngumbaru watupu? Kwanini majirani wote watupite kama vile ni masikini sana wakati sie ndio tuna rasilimali nyingi kuliko wao?

Lakini #Chakaza# wewe ukijiangalia kwanye kioo unamuonaga nani? Kimsingi serikali yetu inaakisi watu wake. Utawafanya nini Watanzania wasiosikia/(wanaosikia) wala wasioelewa (wanaelewa)? Kuna mbunge mmoja alisema, Watanzania wakiichagua CCM mwaka huu, basi anashauri "tutafute Consultant wa kupima uwezo wa kufikiri wa Watanzania". Tafakari!!!!
 
Sumaye ailsemaa... "Kabla ya mwaka 2005 kilo ya unga ilikua Tsh.150 KWA sasa ni 1200,Mkate ulikua Tsh.150 kwa sasa ni 800-1200, daladala ilikua Tsh 150 kwa sasa ni 400-600, Sukari ilikua 500-750 kwa sasa ni 2000-2200.

Kwa maisha haya unaamka asubuhi tar 25/10 unaenda kuipigia kura CCM! Hakuna taifa lenye watu wa ajabu kama taifa letu.Na bado ikitokea CCM ikapita basi kila kitu hapo juu kitakua ni anasa.
 
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.


Ati wanaolalamika. Wewe usiye lalamika unatoka Msumbiji au ndo umeshadungwa sindano ya siisiieeem mbele kwa mbele?? Ama kweli, sikio likishakufa. Unathubutu kujifanya kipofu kutoona maajabu hayo?? Mbona yapo wazi kabisa?? Mlikuta ATC mkaibadili na kuiita sijui nini sijui nini. Mkaanzisha safari mpaka London, leo hakuna hata darisalama mpaka chalinze mzee!! Na unasema wanaolalamika!! Acha tuu nilalale. Ati 'mmetoa mchango gani' nachukiaaaa. Hao waliofanikiwa walitoa michango gani?? Kila kitu ni kubugia tuuuu yaani ccm wangepewa ngombe wa maziwa wasingali kamua wangekata ziwa wawapelekee wake zao wafiche kwenye frdge wakidhani wangeendelea kupata maziwa
 
Nadhani sintakosea nikisema m jinga ni wewe, sio lazima kuanzia have kitu kwa sababu ya kutafuta sifa au jina, katika hizo picha ulizoziweka hapo juu, nadhani hakuna Shiraka linalo ingiza faida kwa kazi zao, ila pengine Kenya Airways ambalo ni Shiraka lilo na ubia na mojawapo ya mashirika makubwa ya ndege ulimwenguni. The rest are subsidized by their governments, now what 8s the point in establishing an Airline which you will end up subsidizing it to stay afloat. We could use the money of establishing an Airline in Generating mote power so that we can increase productions in manufacturing and small scale industries.

Wewe ni lofa na mpumbavu! Yaani unataka kutetea ujinga! Kafie mbele huko.
 
Nadhani sintakosea nikisema m jinga ni wewe, sio lazima kuanzia have kitu kwa sababu ya kutafuta sifa au jina, katika hizo picha ulizoziweka hapo juu, nadhani hakuna Shiraka linalo ingiza faida kwa kazi zao, ila pengine Kenya Airways ambalo ni Shiraka lilo na ubia na mojawapo ya mashirika makubwa ya ndege ulimwenguni. The rest are subsidized by their governments, now what 8s the point in establishing an Airline which you will end up subsidizing it to stay afloat. We could use the money of establishing an Airline in Generating mote power so that we can increase productions in manufacturing and small scale industries.

Acha blabla bwana, lazima uanzishe kwanza kitu kinachoonekana kisha unaangalia mapungufu yake na kukiimarisha.
Unataka tusubiri eti kujiweka vizuri kuanzisha shirika letu mpaka karne ya ngapi?
Mawazo yako ni ya wale ambao mpaka Anastaafu kazi hana nyumba kwa vile anasubiri kuwa na fedha zote za kutosha kujengea
 
haki ya nani MAGUFULI akizawadiwa hii inji kwa goli la mkono.....TUTAGAWANYIKA.....EAST and WEST...kila mtu na rais wake....hakika hatukubali kufa kijinga namna hii.
 
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.

Kodi tunalipa ila hizo hizo kodi zetu wanaenda kuzificha uswiss.. mbali na hapo nchi yetu ina mbuga za wanyama, madini, maziwa bahari ambavyo vyote vinazalisha vitoweo vinavyouzwa nje ya nchi, gesi, mafuta... you just name it.. ILA NI NCHI FUKARA KULIKO NCHI ZINGINE AMBAZO HAZIJABARIKIWA KAMA SISI... TAFAKARI CHUKUA HATUA... CCM OUT
VIVA UKAWA!!!
 
Ccm ni ile ile lazima tuisome number kwa ujinga wetu
 
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.

Mchango tunatoa tena mkubwa tu, hiyo kodi tunayokatwa unafikiri mchezo!
Hata tusingetoa mchango, nchi yenye madini km hii tena mengine dunia nzma hayapo, yapo kwetu tu, nchi yenye mlima mrefu Africa, nchi yenye gas, nchi yenye wingi wa misitu ya 6 Africa na 20 dunia nzima sio ya kukosa shirika la ndege!
Hivi unafikiri hawa majirani wanavyo vyote hivo.

Magamba kuweni wazalendo na nchi yenu, achen kutetea kila ujinga wa CCM.
 
Back
Top Bottom