Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.
Tulisomeshwa urubani kwa pesa za serikali tumeishia kuendesha ndege za 'kunguru' na nyungo za walozi. Huo ndo mchango wetu.
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.
Tulisomeshwa urubani kwa pesa za serikali tumeishia kuendesha ndege za 'kunguru' na nyungo za walozi. Huo ndo mchango wetu.
ni aibu kuwa na mtanzania asiyejua mchango wake katika maendeleo ya nchi yake. hujui kuwa kila unachonunua unalipa kodi serikalini ambayo ndiyo inayotakiwa itumike kuleta maendeleo? au ulitaka iitishwe harambee xa kununua ndege? 1.ELIMU
2.ELIMU
3.ELIMU.
Itakuwa ni aibu kama CCM itachaguliwa kuliongoza taifa
Inasikitisha kuwa na watu kama nyie kwenye taifa linalohitaji Maendeleo.
Mchango wa kila RAIA wa kawaida ni kufanya kazi kwa bidii na kulipa kodi zote stahili. Kisha chama kilichounda serikali kinaisimamia ifanye inayopaswa kufanya. Ajabu tuliyoiona ni ile ya Kinana kugeuka naye mlalamishi juu ya utendaji mbovu.
Wana haki ya kuondoka sasa.
Kinachosikitisha wengi wa wanaolalamika sio kama hao unaosema eti wafanye kazi kwa bidii na kulipa kodi. Wengi wezi,wavivu na si walipa kodi. Hayo mashirika yamejaa watanzania,maofisi yamejaa watanzainia tena wamo humu wanalalamika ila huko makazini ni uozo mtupu!
Labda mtuambie nyinyi mnaolalamika mpo taasisi gani hapa nchini ya kuigwa??!! Labda kwa wahindi mnanyooshwa.
Jambo kubwa ambalo hawafanyi nalo mchezo ni uchapishaji wa tisheti, kofia, mashati, bendera na kulipa wasanii. Hili huwa halina mjadala wa bei, hufanyika kwa wakati, kwa umaridadi mkubwa, na tena kwa gharama yoyote.
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.
Ati wanaolalamika. Wewe usiye lalamika unatoka Msumbiji au ndo umeshadungwa sindano ya siisiieeem mbele kwa mbele?? Ama kweli, sikio likishakufa. Unathubutu kujifanya kipofu kutoona maajabu hayo?? Mbona yapo wazi kabisa?? Mlikuta ATC mkaibadili na kuiita sijui nini sijui nini. Mkaanzisha safari mpaka London, leo hakuna hata darisalama mpaka chalinze mzee!! Na unasema wanaolalamika!! Acha tuu nilalale. Ati 'mmetoa mchango gani' nachukiaaaa. Hao waliofanikiwa walitoa michango gani?? Kila kitu ni kubugia tuuuu yaani ccm wangepewa ngombe wa maziwa wasingali kamua wangekata ziwa wawapelekee wake zao wafiche kwenye frdge wakidhani wangeendelea kupata maziwa
Hivi mfumo wa kulipa kodi unawekwa na mlipa kodi mwenyewe?
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.
Wanao lalamika mmetoa mchango gani wa kuliendeleza taifa lenu au hayo malalamiko ndo mchango tosha.
Ukiwekwa na yeyote,kama wewe SI MLIPA kodi huwezi kulipa.
Wakuu picha hii imenifikirisha na kujiuliza hii serikali ya ccm inao watu wanaofikiri au ni ngumbaru watupu? Kwanini majirani wote watupite kama vile ni masikini sana wakati sie ndio tuna rasilimali nyingi kuliko wao?
Ninavyofahamu kulipa kodi ni wajibu wa kisheria hivyo akwepaye yapo mambo yanaoaswa kufanywa juu yake.
Nenda nchi zilizoendelea, ukikwepa kodi hata uwe na mamlaka kiasi gani utashukiwa kama mwewe na kulijutia kosa hilo. Kwa nini isiwe hivyo hapa? Nini wajibu wa serikali katika hilo?