Ukiona Picha hii, Utajua CCM wako Usingizini waondoke

Ukiona Picha hii, Utajua CCM wako Usingizini waondoke

Nadhani sintakosea nikisema m jinga ni wewe, sio lazima kuanzia have kitu kwa sababu ya kutafuta sifa au jina, katika hizo picha ulizoziweka hapo juu, nadhani hakuna Shiraka linalo ingiza faida kwa kazi zao, ila pengine Kenya Airways ambalo ni Shiraka lilo na ubia na mojawapo ya mashirika makubwa ya ndege ulimwenguni. The rest are subsidized by their governments, now what 8s the point in establishing an Airline which you will end up subsidizing it to stay afloat. We could use the money of establishing an Airline in Generating mote power so that we can increase productions in manufacturing and small scale industries.

Haya ni mawazo mgando kama ya wataalamu wa ccm.
 
Mchango tunatoa tena mkubwa tu, hiyo kodi tunayokatwa unafikiri mchezo!
Hata tusingetoa mchango, nchi yenye madini km hii tena mengine dunia nzma hayapo, yapo kwetu tu, nchi yenye mlima mrefu Africa, nchi yenye gas, nchi yenye wingi wa misitu ya 6 Africa na 20 dunia nzima sio ya kukosa shirika la ndege!
Hivi unafikiri hawa majirani wanavyo vyote hivo.

Magamba kuweni wazalendo na nchi yenu, achen kutetea kila ujinga wa CCM.
Mkuu huyo unayesema naye usikute halipi kodi
hivyo ukimwambia mambo ya kulipa kodi haelewi.
 
Mkuu huyo unayesema naye usikute halipi kodi
hivyo ukimwambia mambo ya kulipa kodi haelewi.

Nikweli kabisa. Wapo watu kazi hawana lakini kwa vile huwakosi kwenye ofisi za CCM na wanapata mashati mawili matatu ya kijani wanapata ya kubadilisha wanakuambia Hapakazi tuu.
Wallah nakuambia tukiipa ccm miaka kama kumi tuu mingine taifa hili litakuwa la hovyo kabisa na laweza kutumika huko duniani kama case study ya ujinga kwa wanafunzi wao
 
Back
Top Bottom