cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,651
- 137,378
cc yalikukuta nawee?Kweli kabisa, pia anakua na limitations kibao mfano usinipigie nipo kazini, ntakucheki baadaye. Ukikosea kidogo tu anakua na hasira na wewe sana.
Ameshasema amezama sasa ataongeaje wakati amezama tayari😅 au hujui mtu akizama inavyokuwa😅kumbe? Mbna sasa hujanambia eti?
Kumekucha 😅!!!Kweli kabisa, pia anakua na limitations kibao mfano usinipigie nipo kazini, ntakucheki baadaye. Ukikosea kidogo tu anakua na hasira na wewe sana.
Raha ya mapenzi ukishaumizwa mara ya kwanza unakuwa mjanja😅!!!Hivi hayo mambo yanatokea rika zotee ama ni rika ya vijana tu? maana binafs nilisumbuka around 10’s mpk mid 20’s baada ya hapo sioni kama kuna jipya la kusumbua sana, ndio yapo na yanaumiza ila sio mapya hivyo hayashangazi kabisa
Tunda kimasihara 😅 hio usisahau Magnum tu!
We acha tuu yalishawahi kunikuta mtoto wa watu miyee😂😂cc yalikukuta nawee?
Magnum ni zile ndomu za Rick Ross? Acha ukorofi ujue😂😂Tunda kimasihara 😅 hio usisahau Magnum tu!
Hahahahahah nimecheka sana yani😂😂😂😂😂😂 point muhimu iliosahaulika!5. anaomba pesa
Eeh zile ni zaidi ya rough rider😅Magnum ni zile ndomu za Rick Ross? Acha ukorofi ujue😂😂
Sasa mkuu utapiga changus hadi lini? Hamuwezi kufanya romance kama kwa mpenzi wako, huoni kuna vitu unamiss? 🤔Ndiyo maana najipigia changudoa tu, napiga na kusepa tusijuane
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hio biashara ndio ilinishindaga hapo tuSasa mkuu utapiga changus hadi lini? Hamuwezi kufanya romance kama kwa mpenzi wako, huoni kuna vitu unamiss? 🤔
Hee baba ushawahi hata kuziona hizo magnum huku kwetu? Ama mimi ndiye mshamba sijaziona😒Eeh zile ni zaidi ya rough rider😅
Unazi order online tu unaletewa😅 au kama una ndugu akija anakubebeaHee baba ushawahi hata kuziona hizo magnum huku kwetu? Ama mimi ndiye mshamba sijaziona😒
Yaani babe hawezi hata kuperform jukwaani bana, na ukijiroga ulick nipples za changu umeibiwa kila kitu hadi boxer uliyovaa😂Hio biashara ndio ilinishindaga hapo tu
Mimi shida yangu kutoa kutu tu.Sasa mkuu utapiga changus hadi lini? Hamuwezi kufanya romance kama kwa mpenzi wako, huoni kuna vitu unamiss?
Ule naona ni uchafu na lack of respect! Mademu wapo kibao bora ukatongoza decent woman tu mkawa kwenye mahusiano ya kupunguzana uzito tu.Yaani babe hawezi hata kuperform jukwaani bana, na ukijiroga ulick nipples za changu umeibiwa kila kitu hadi boxer uliyovaa😂
Kutu kwahiyo steel wire wanazo hao machangu pekee, tafuta mpenzi wako mwaminifu utatoa kutu bila woga na sehemu yoyote tu mkuu😜
shemela achaga hizo bas, huyu anataka mie mpare wangu anibwage lolAmeshasema amezama sasa ataongeaje wakati amezama tayari au hujui mtu akizama inavyokuwa