cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,628
- 137,330
nakerekwa utaskia "ntakutafta baadae nipo buzzy"Kumekucha !!!
Ukiambiwa utachekiwa acha mapepe sasa we tulia atakucheki! Tatizo ni pale unapoanza usumbufu wa kutaka kupiga piga simu lazma akumaindishe