yamtokayo mtu ni yale yaujazayo moyo! Anayempenda Mungu, moyo wake utajaa mambo mema na ndo yatakayomtoka kinywani hata akikurupushwa ucngzn! Mtumishi wa shetani i.e mshirikina naye mauchawi na upuuzi km huo ndo utaujaza moyo wake...na akikurupushwa atajiropokea ya mlengo huo!!! ...akili kichwani mwako! hatanii huyo!
Halafu km huna haja naye kivile na una wako...huna haja ya kumbikiri! mwache tu! ingekuwa ukibikiri mtu unakuwa billionea na utamu unabaki nao kwa mwaka mzima ...then ningekutia moyo ulale naye....but sio hivyo!
mwisho, usichukulie poa hili jambo! limekaa km utani hv! kumbuka watu wengi wameangamizwa na vitu ambavyo walividharau mwanzoni!