Ukiniacha nakuroga hadi kuku

Ukiniacha nakuroga hadi kuku

Kwa nn ufanye hivyo muache dada wa watu au nipe no yake mm nimuoe sitamchezea
 
Gojaga Nize

isijekua wewe ndio unaingia mkenge kwa huyo demu maana binadamu wa sasa hivi wanajua kupretend ukazan mtoto bikra kumbe ni mzoefu anataka akupe magonjwa tu.
 
Last edited by a moderator:
hahahahhaaaa..nimecheka..sasa kaka kama una nia ya kumchezea tu kwanini umfanyie ushenzi wa aina hiyo, mwache aende zake...na hicho kitisho utakijua baadae kama ni kweli au la...alafu achana na mtu anaekutishia uchawi, sio mtu mzuri hata kama hana hayo mambo lkn unamtishiaje mtu mambo kama hayo alafu expect them to treat you normal, achana nae muambie mi huwa sipendi watu wenye mambo ya kishirikina
 
umekusudia kuoa au kutimiza tamaa ya mwili? Kama umekusudia kutimiza tamaa ya mwili, piga mazoez, soma mambo kedekede vitabuni, mtandaoni na shughuli zingine ili zikukeep buisy,. Na kama umekusudia kuoa, kijana hatufanyi pupa kihivyo kwani mke wako utambue atakuwa nawe muda wa miaka zaidi ya arobaini mbele na nikitafakari naona wewe umelewa na kuangalia kigezo cha mvuto tu na tena unakimbiza mambo kama unakimbia mvua ya masika wakati mvuto unanunuliwa dukani, umesahau kuchunguza vigezo ambavyo kuvibadilisha ni vigumu. Miongoni mwa vigezo hivyo ni 1.tabia 2.uaminifu 3.upendo wa kweli(sio kupenda vitu na umaarufu bal akupende wewe ). Fikiria kwanza kabla hujafanya chochote kutokana na msukumo wako unaokusumbua
 
Gojaga nize

Usidhani hiyo dhambi itakuacha kwa mawazo hayo ya uharibifu.

Shetani alikuja ili kuua, kuharibu na kuchinja. Haya ww endelea na huo mpango wa kipepo kabisa. Mwambie ukweli kuwa una mchumba tayari ushamtilea mahali au mchague yy completely.

N hayo tu, uliwakutula ubebe.

Bebe nang'ho lekaga shi..
 
Mkuu hii sio hukumu kweli?

Ajaribu aone. Hata hapa amefanya kosa tiari linalohitaji adhabu. Hivi akimuacha sasa hivi hata kama hajammega atamwachia maumivu?. Kwa nini unaanzisha jambo ambalo huwezi kulimaliza.
 
umekusudia kuoa au kutimiza tamaa ya mwili? Kama umekusudia kutimiza tamaa ya mwili, piga mazoez, soma mambo kedekede vitabuni, mtandaoni na shughuli zingine ili zikukeep buisy,. Na kama umekusudia kuoa, kijana hatufanyi pupa kihivyo kwani mke wako utambue atakuwa nawe muda wa miaka zaidi ya arobaini mbele na nikitafakari naona wewe umelewa na kuangalia kigezo cha mvuto tu na tena unakimbiza mambo kama unakimbia mvua ya masika wakati mvuto unanunuliwa dukani, umesahau kuchunguza vigezo ambavyo kuvibadilisha ni vigumu. Miongoni mwa vigezo hivyo ni 1.tabia 2.uaminifu 3.upendo wa kweli(sio kupenda vitu na umaarufu bal akupende wewe ). Fikiria kwanza kabla hujafanya chochote kutokana na msukumo wako unaokusumbua
 
umekusudia kuoa au kutimiza tamaa ya mwili? Kama umekusudia kutimiza tamaa ya mwili, piga mazoez, soma mambo kedekede vitabuni, mtandaoni na shughuli zingine ili zikukeep buisy,. Na kama umekusudia kuoa, kijana hatufanyi pupa kihivyo kwani mke wako utambue atakuwa nawe muda wa miaka zaidi ya arobaini mbele na nikitafakari naona wewe umelewa na kuangalia kigezo cha mvuto tu na tena unakimbiza mambo kama unakimbia mvua ya masika wakati mvuto unanunuliwa dukani, umesahau kuchunguza vigezo ambavyo kuvibadilisha ni vigumu. Miongoni mwa vigezo hivyo ni 1.tabia 2.uaminifu 3.upendo wa kweli(sio kupenda vitu na umaarufu bal akupende wewe ). Fikiria kwanza kabla hujafanya chochote kutokana na msukumo wako unaokusumbua
 
kama unamuona innocent Mwache aende tu.....yawezekana unapata msukumo kutokana na migogoro ya huyo uliemtolea mahari
 
Kama dhamira yako ni kumtumia na kumuacha hata kama hata kuroga utajihisi umerogwa si vema kuchezea hisia za mtu mkuu
 
surely unastahili kulogwa...umemwona huyu mpya, wa zamani unaanza kumtoa kasoro. Akuroge mpaka nywele!!
 
Wanasema life is adventure ...you never know till you know...

Hutajua ukweli hadi yatokee

so jaribu uone

Sumu ile. Sincerely, kama hana mpango naye asimpitie, ny.ege zisitoe ufahamu ki hivyo. After all figure haondoki nayo...

Hakuna kitu naogopa kama machozi ya mwanamke, inakuwa kama mama yangu analia, na SIPENDI mama alie/alizwe..
 
Nyama ni ileile na wazuri bado hawajazaliwa. Nakushauri maliza migogoro na wako wa zamani. usiharibu watoto kwa kutumia ofisi ya umma.
 
Back
Top Bottom