umekusudia kuoa au kutimiza tamaa ya mwili? Kama umekusudia kutimiza tamaa ya mwili, piga mazoez, soma mambo kedekede vitabuni, mtandaoni na shughuli zingine ili zikukeep buisy,. Na kama umekusudia kuoa, kijana hatufanyi pupa kihivyo kwani mke wako utambue atakuwa nawe muda wa miaka zaidi ya arobaini mbele na nikitafakari naona wewe umelewa na kuangalia kigezo cha mvuto tu na tena unakimbiza mambo kama unakimbia mvua ya masika wakati mvuto unanunuliwa dukani, umesahau kuchunguza vigezo ambavyo kuvibadilisha ni vigumu. Miongoni mwa vigezo hivyo ni 1.tabia 2.uaminifu 3.upendo wa kweli(sio kupenda vitu na umaarufu bal akupende wewe ). Fikiria kwanza kabla hujafanya chochote kutokana na msukumo wako unaokusumbua
Kama huna nia na binti wawatu usimmege
Hakulogi bana.......we mzindue halafu kula kona........
sio kila uzuri wa nje na ndani itakuwa hivyo hivyo. Akija mwingine ofisini siku nyingine mzuri zaidi ya huyo utakuja na mada tena tukushauri?? Komaa na ndoa kaka,tengeneza yule uliyemtolea mahari akae vile unavyotaka. Labda utoto tu akikua ataacha
ushauri
wangu kwako
mleta thread
uchumba ni hatua ya tatu katika kujenga ndoa, ambapo unapitia hatua ya kwanza ya urafiki wa kawaida, 2.urafiki maalumu 3. Uchumba 4.harusi/ndoa yenyewe. Sasa katika kila hatua kuna mambo ya kufanya sio kwamba leo nmempenda msichana fulani naye kanivutia, tayari nnamtamkia kwamba naomba uwe mke wangu wa maisha! Tayari moyo unawaka tamaa kiasi kwamba unataka mfunge ndoa leoleo na kufanya tendo la ndoa leo na kupata mtoto leo! Hapana rafiki. Inakupasa kutulia ,
unajenga urafiki wa kawaida kwanza hapa kuna kazi utazifanya kwake ili kumfahamu kiundani, ah! Nashindwa nkuelezeje kwakuwa naona uko mbio sana!!
Kama hauko serious waachie watakaokuwa serious. Endelea na nung'aembe lako linalokusumbua. Pesa na cheo chako zisikufanye ufanye uovu Mkuu namna hiyo. Bikra ni agano hivyo usiingie ktk agano ambalo huwezi kulisimamia la sivyo wewe ni mfu na utakufa tu nakwambia wala hutapata amani siku zote za maisha yako ya ubatili duniani.
Unamshauri atende uovu...ama hakika akirogwa uchawi utakufuata na wewe.Hakulogi bana.......we mzindue halafu kula kona........
Akili zenu nyote sawa...hivi mtu akisema KUNA WATU WANAVICHWA UKUBWA WA BESENI LAKINI AKILI NI TONE anakosea??Una akili sana gangster lady ila humhurumii mwenzio?