Mkataba wa Bandari: Rais amkane Mwarabu, vinginevyo ni maslahi yake na sio ya Tanganyika

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
950
2,866
Kuhusu mkataba wa kilaghai wa kuchukua Bandari zetu milele na kuwakabidhi Waarabu wa Dubai, kama si kwa maslahi yake na wajomba zake Waarabu, basi na awakane sasa hao waarabu ndio tujue ana nia njema na uko kuuza bandari za Tanganyika.

Mama lazima aambiwe ukweli kwamba hata kama alikuwa na nia nzuri kuhusu uwekezaji katika Bandari lakini approach yake imekuwa ni njia isiyokuwa wazi (hakuna ushindani katika kumpata DP World), hila, fitna, ujomba, udini na Mazingira yenye harufu mbaya ya RUSHWA!

Mama lazima atambue kuwa hakuna anayepinga uwekezaji wenye tija na wenye masharti Bora kwa Taifa ambao hauna hila wala udini, niwape wenzangu sisi ni ndugu wa imani nitapata thawabu, yaani utuuze sisi kwa wajomba zako upate thawabu, hii Dunia ina watu wana matatizo ya akili,

Kwa huu mkataba wake na Waarabu hakuna mtu mwenye akili huru anayeweza kuuunga mkono kama anaungwa mkono na kudanganywa na wachumia tumbo Wachache wasiona mbele zaidi ya matumbo yao tu! basi siku zinakuja atashtakiwa kwa kuliuza Taifa, hii ni aibu kubwa kwake kuliko wenzake waliostaafu kwa heshima.
 
Na wao wanajua fika wameingia cha kike kwenye huu mkataba,shida watauvunja vipi na wakati tayari wamekula hela za waarabu,na zimeishia kuhonga machawa
 
Samia anamaslahi na waarabu kiimani na kufedha lazima amepewa ndefu
Mimi nikitafakari nakosa jibu, hivi nchi hii kwanini tunapata watawala wa hivi. Tangu ukoloni hadi karne hii. Niko mtoto tulisoma historia kuwa chifu Mangungo aliuza kisiwa kwa kitambaa cha kuzunguka kisiwa. Na hicho kitambaa ilikuwa si kwa ajili ya wananchi ball chake na wapambe wake. Mimi nilidhani kuwa labda kwa vile chifu wetu hakusoma. Leo rais wetu ni Dr na wasaidizi wake ni wasomi je tueleweje nao hawajui kusoma mikataba ?. Ama wanafaidika kama chifu Mangungo.
 
Mimi nikitafakari nakosa jibu, hivi nchi hii kwanini tunapata watawala wa hivi. Tangu ukoloni hadi karne hii. Niko mtoto tulisoma historia kuwa chifu Mangungo aliuza kisiwa kwa kitambaa cha kuzunguka kisiwa. Na hicho kitambaa ilikuwa si kwa ajili ya wananchi ball chake na wapambe wake. Mimi nilidhani kuwa labda kwa vile chifu wetu hakusoma. Leo rais wetu ni Dr na wasaidizi wake ni wasomi je tueleweje nao hawajui kusoma mikataba ?. Ama wanafaidika kama chifu Mangungo.
rais wenu hata degree moja hana

Labda degree ya heshima
 
Kuhusu mkataba wa kilaghai wa kuchukua Bandari zetu milele na kuwakabidhi Waarabu wa Dubai,kama si kwa maslahi yake na wajomba zake Waarabu,basi na awakane sasa hao waarabu ndio tujue ana nia njema na uko kuuza bandari za Tanganyika.

Mama lazima aambiwe ukweli kwamba hata kama alikuwa na nia nzuri kuhusu uwekezaji katika Bandari lakini approach yake imekuwa ni njia isiyokuwa wazi ( hakuna ushindani katika kumpata DP World) , hila,fitna,Ujomba,Udini na Mazingira yenye harufu mbaya ya RUSHWA!

Mama lazima atambue kuwa hakuna anayepinga uwekezaji wenye tija na wenye masharti Bora kwa Taifa ambao hauna hila wala udini,niwape wenzangu sisi ni ndugu wa imani nitapata thawabu,yaani utuuze sisi kwa wajomba zako upate thawabu,hii Dunia ina watu wana matatizo ya akili,

Kwa huu mkataba wake na Waarabu hakuna mtu mwenye akili huru anayeweza kuuunga mkono kama anaungwa mkono na kudanganywa na wachumia tumbo Wachache wasiona mbele zaidi ya matumbo yao tu! basi siku zinakuja atashtakiwa kwa kuliuza Taifa,hii ni aibu kubwa kwake kuliko wenzake waliostaafu kwa heshima.
Tanganyika ilisha oza , wewe amka usingizini
 
Kumkana mzazi ni kujitafutia LAANA,

Ingawa kumwambia mzazi, "Ukitaka kuniona binafsi njoo nyumbani, kamwe usije ofisini" hiyo Si dhambi!!
 
Back
Top Bottom