Ukimya wa rais unatia shaka

Cybercrime kumbe wewe ni Baba 0 unaona nani kakurupuka ile mijadala ya Bungeni ndiyo uhalisia wa hili jambo
wewe unafikiri Raisi anaweza kuongea lolote haraka hivyo wakati yeye mwenyewe kala?

Kwanza elewa kwa nini Pinda alikaa kimya anajua hili swala zima Raisi Kachota naye hivyo hana uwezo wa kumwajibisha
yeyote yule kati ya hao Mawaziri waliotajwa ataendelea kujifanya siyo swala la msingi na kujifanya yuko busy na mengine

angalia post zako za kujipendekeza.

Mipunguani kama wewe nchi hii sijui mtakwisha lini au sijui ndo defensive mechanism ya roho mbaya
 
kiichobezwa ni nini?? kwani si kweli alizungumzia scrotums.
JK has never and will never be serious
Mitoto ilopatikana kwa uzinzi utaijua tu, adabu zero! Nahic ni ugumu wa maisha unaokukabili ndo unaokuchanganya hata usijue kuwa what you are doing is wrong
 
Ni jambo lakushangaza, kustaajabisha na kuchukiza kwamba Toka alipowasili jumamosi JK hajasema lolote kuhusu kashfa ya escrow zaidi ya ule mzaha aliofanya pale airport.

Hata kutwambia amelichukuliaje swala hili licha ya BUNGE kuthibitisha kuwa pesa ya UMMA imeibwa. Hajalaani, hajashtushwa, hajakasirika, wala kushangazwa (hamna kauli yeyote kutoka IKULU)


Billion 321 zimeibwa na wahuni nchini mwake, leo siku ya tatu toka mapendekezo yamepitishwa lakini JK yuko kimya, kajifungia IKULU. TUKUELEWEJE?

Hata kutoa press release ya kulaani kitendo hiki umeshindwa. Au umeanzisha uchunguzi mpya???hata umeogopa kuhutubia nchi mwanzo wa mwezi

Kwa rais serious na mwenye uchungu na nchi yake Jumatatu angeshatangaza kuwatimua woote waliofanya kadhia hii kwa mujibu wa maadhimio ya BUNGE, hivi bado unajiuliza nini?Hivi ni Kweli hii nchi iko auto pilot?

MH rais hatukuelewi na hueleweki
.

Anauguza mshono. Na madaktari wamemshauli apumzike kwa muda wa miezi 3
 
... Hata akidumu kwenye kimya hicho milele ... Mtamfanya nini

.... kwani hayatapita kama mengine .. ?
 
Hoja ya msingi, umesoma magazeti ya leo kuhusu tamko la ikulu?

Jamaa haulizi tamko la Ikulu. Anataka tamko la raisi. Raisi wa nchi anayo mamlaka ya kuita press conference na akalizungumzia hili jambo ambalo limetia aibu serikali yake. Hili si jambo la kuzungumzwa na mtu mwingine zaidi ya yeye mwenyewe. Hili litasaidia hata kuondoa shaka kwa wale ambao wanadhani yeye ni part of the deal. Kukaa kimya ni justification kuwa anahusika. Hapa wisdom is needed more than political muscles.
 
IKULU:TUPO TAYARI
SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito mkubwa.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua iliyofikiwa katika kutekeleza maazimio yaliyofikiwa na Bunge.
Balozi Sefue alisema hadi sasa ofisi yake ilikuwa haijayapokea maazimio hayo rasmi.


mtanzania021214.jpg

Source:kama uonavyo,gazeti la mtanzania Dec.2

sefue ndo Rais
 
uzuri wa jk yakuambiwa lazima achanganye na zake hakurupuki hata kidogo acha afanye kazi yake kwa umakini kama anavyofanya siku zote.

kwa hiyo JK hautambui uchunguzi wa CIG,TAKUKURU, na TRA. JE unataka kusema JK haliamini bunge? JE unataka kusema JK haiamini kamati ya maridhiano iliyokuwa na mawaziri wake wa CCM??

basi huyu ni RAIS wa ajabu kutokea duniani,
 
Ni jambo lakushangaza, kustaajabisha na kuchukiza kwamba Toka alipowasili jumamosi JK hajasema lolote kuhusu kashfa ya escrow zaidi ya ule mzaha aliofanya pale airport.

Hata kutwambia amelichukuliaje swala hili licha ya BUNGE kuthibitisha kuwa pesa ya UMMA imeibwa. Hajalaani, hajashtushwa, hajakasirika, wala kushangazwa (hamna kauli yeyote kutoka IKULU)


Billion 321 zimeibwa na wahuni nchini mwake, leo siku ya tatu toka mapendekezo yamepitishwa lakini JK yuko kimya, kajifungia IKULU. TUKUELEWEJE?

Hata kutoa press release ya kulaani kitendo hiki umeshindwa. Au umeanzisha uchunguzi mpya???hata umeogopa kuhutubia nchi mwanzo wa mwezi

Kwa rais serious na mwenye uchungu na nchi yake Jumatatu angeshatangaza kuwatimua woote waliofanya kadhia hii kwa mujibu wa maadhimio ya BUNGE, hivi bado unajiuliza nini?Hivi ni Kweli hii nchi iko auto pilot?

MH rais hatukuelewi na hueleweki
.

hawezi kutumia ushauri wa mitandao kama rais
 
Ni jambo lakushangaza, kustaajabisha na kuchukiza kwamba Toka alipowasili jumamosi JK hajasema lolote kuhusu kashfa ya escrow zaidi ya ule mzaha aliofanya pale airport.

Hata kutwambia amelichukuliaje swala hili licha ya BUNGE kuthibitisha kuwa pesa ya UMMA imeibwa. Hajalaani, hajashtushwa, hajakasirika, wala kushangazwa (hamna kauli yeyote kutoka IKULU)


Billion 321 zimeibwa na wahuni nchini mwake, leo siku ya tatu toka mapendekezo yamepitishwa lakini JK yuko kimya, kajifungia IKULU. TUKUELEWEJE?

Hata kutoa press release ya kulaani kitendo hiki umeshindwa. Au umeanzisha uchunguzi mpya???hata umeogopa kuhutubia nchi mwanzo wa mwezi

Kwa rais serious na mwenye uchungu na nchi yake Jumatatu angeshatangaza kuwatimua woote waliofanya kadhia hii kwa mujibu wa maadhimio ya BUNGE, hivi bado unajiuliza nini?Hivi ni Kweli hii nchi iko auto pilot?

MH rais hatukuelewi na hueleweki
.
Kwanza nichukue nafasi kukushukuru kuleta hii mada,kwani ni leo hii nimeona kwenye citizen TV rais Kenyata na Ruto wakiongea na wananchi juu ya mauaji ya watu 36,ndipo nikajiuliza sisi rais wetu ana nini hasa mbona hana utamaduni wa kutoa mwelekeo na masuluhisho kwenye mambo muhimu yanayoliguasa taifa,kwa kweli mh tunasikitika sana tumekuwa kama kondoo wasio na Mchungaji!
 
Kwanza nichukue nafasi kukushukuru kuleta hii mada,kwani ni leo hii nimeona kwenye citizen TV rais Kenyata na Ruto wakiongea na wananchi juu ya mauaji ya watu 36,ndipo nikajiuliza sisi rais wetu ana nini hasa mbona hana utamaduni wa kutoa mwelekeo na masuluhisho kwenye mambo muhimu yanayoliguasa taifa,kwa kweli mh tunasikitika sana tumekuwa kama kondoo wasio na Mchungaji!

JK ni hatari kwa maendeleo ya binadamu yeyote
 
Ni jambo lakushangaza, kustaajabisha na kuchukiza kwamba Toka alipowasili jumamosi JK hajasema lolote kuhusu kashfa ya escrow zaidi ya ule mzaha aliofanya pale airport.

Hata kutwambia amelichukuliaje swala hili licha ya BUNGE kuthibitisha kuwa pesa ya UMMA imeibwa. Hajalaani, hajashtushwa, hajakasirika, wala kushangazwa (hamna kauli yeyote kutoka IKULU)


Billion 321 zimeibwa na wahuni nchini mwake, leo siku ya tatu toka mapendekezo yamepitishwa lakini JK yuko kimya, kajifungia IKULU. TUKUELEWEJE?

Hata kutoa press release ya kulaani kitendo hiki umeshindwa. Au umeanzisha uchunguzi mpya???hata umeogopa kuhutubia nchi mwanzo wa mwezi

Kwa rais serious na mwenye uchungu na nchi yake Jumatatu angeshatangaza kuwatimua woote waliofanya kadhia hii kwa mujibu wa maadhimio ya BUNGE, hivi bado unajiuliza nini?Hivi ni Kweli hii nchi iko auto pilot?

MH rais hatukuelewi na hueleweki
.

Mkuu, kama ulifanikiwa kumsikiliza siku alipotua Bongo pale uwanja wa ndege alielezea tatizo lake la kiafya alilokuwa akitibiwa US. Mwishoni alisema "Hayo yanayoendelea Dodoma siyazungumzii, kwanza hata siyajui. Nitazungumza nitakapoyajua kama kutakuwa na la kuzungumza".

Naomba tumpe muda, apumzike, baadaye akae na washauri wake atakapoyajua atazungumza. Kwa hiyo mkiona yuko kimya mjue hajayajua bado. Haraka haraka haina baraka.
 
1.hamumuelewi wewe na nni? Usitusemee, wengine tunamuelewa, au wewe ni msemaji wa watz? Kama ndio, tangu lini?
2. Acha kihere here, soma magazeti ya leo kama shida yako ni tamko la ikulu
3.rais hafanyi mambo kwa kukurupuka

Povu la nini mkuu....jibu kwa hoja masuala ya msemaji wa wananch yanatoka wap....acheni kutumika vibaya...ona sasa mpk mnajitoa akili....SHAME ON YOU......!!!
 
Back
Top Bottom