Ukimya wa rais unatia shaka

Ukimya wa rais unatia shaka

yaani anaona ni fahari kuzungumzia scrotums zake kuliko mambo ya kitaifa

Kama unapenda mambo ya kitaifa, automatically ungemheshimu na Rais , usingebeza masuala ya ugonjwa wake!
 
Kama unapenda mambo ya kitaifa, automatically ungemheshimu na Rais , usingebeza masuala ya ugonjwa wake!

kiichobezwa ni nini?? kwani si kweli alizungumzia scrotums.
JK has never and will never be serious
 
Cybercrime kumbe wewe ni Baba 0 unaona nani kakurupuka ile mijadala ya Bungeni ndiyo uhalisia wa hili jambo
wewe unafikiri Raisi anaweza kuongea lolote haraka hivyo wakati yeye mwenyewe kala?

Kwanza elewa kwa nini Pinda alikaa kimya anajua hili swala zima Raisi Kachota naye hivyo hana uwezo wa kumwajibisha
yeyote yule kati ya hao Mawaziri waliotajwa ataendelea kujifanya siyo swala la msingi na kujifanya yuko busy na mengine

angalia post zako za kujipendekeza.
 
Ni jambo lakushangaza, kustaajabisha na kuchukiza kwamba Toka alipowasili jumamosi JK hajasema lolote kuhusu kashfa ya escrow zaidi ya ule mzaha aliofanya pale airport.

Hata kutwambia amelichukuliaje swala hili licha ya BUNGE kuthibitisha kuwa pesa ya UMMA imeibwa. Hajalaani, hajashtushwa, hajakasirika, wala kushangazwa (hamna kauli yeyote kutoka IKULU)


Billion 321 zimeibwa na wahuni nchini mwake, leo siku ya tatu toka mapendekezo yamepitishwa lakini JK yuko kimya, kajifungia IKULU. TUKUELEWEJE?

Hata kutoa press release ya kulaani kitendo hiki umeshindwa. Au umeanzisha uchunguzi mpya???hata umeogopa kuhutubia nchi mwanzo wa mwezi

Kwa rais serious na mwenye uchungu na nchi yake Jumatatu angeshatangaza kuwatimua woote waliofanya kadhia hii kwa mujibu wa maadhimio ya BUNGE, hivi bado unajiuliza nini?Hivi ni Kweli hii nchi iko auto pilot?

MH rais hatukuelewi na hueleweki
.
IKULU:TUPO TAYARI
SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito mkubwa.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua iliyofikiwa katika kutekeleza maazimio yaliyofikiwa na Bunge.
Balozi Sefue alisema hadi sasa ofisi yake ilikuwa haijayapokea maazimio hayo rasmi.


mtanzania021214.jpg

Source:kama uonavyo,gazeti la mtanzania Dec.2
 
kama akili zako ziko likizo huwezi kumwelewa hata kidogo jk ni mwanasiasa mwenye upeo wa hali ya juu hawezi kuamua mambo kwa kufuata upepo mpaka athibitishe pasipo shaka kuwa waliotuhumiwa wanahusika lakini siyo chuki kama za kundi la zitto na mchaga wake mengi kwa muhongo.
 
kiichobezwa ni nini?? kwani si kweli alizungumzia scrotums.
JK has never and will never be serious

uzuri wa jk yakuambiwa lazima achanganye na zake hakurupuki hata kidogo acha afanye kazi yake kwa umakini kama anavyofanya siku zote.
 
Mimi hapa ndipo naipendea serikali yetu hasa awamu hii ya nne.
Yaani wazee na madevu yao wakiambatana na wanawake na maziwa yao wanatumia zaidi ya 2b kwenda kupiga magoti kuomba 16bilioni huku serikali hiyo hiyo ikisimamia ukwapuliwaji wa billion zaidi ya 300!!!!!!!
Na kiasi hiki ni kati skendo moja tu kwa, hapa ngoja tuone hizo zingine alizosema Zitto, akiibuka na Dr. Slaa na wengine si ajabu ukakuta zinafikia US $10 Billion!
Dar es Salaam. The US Congress has approved an allocation of $9.78 million (Sh16.14 billion) to help Tanzania lay the groundwork for the much anticipated Millennium Challenge Corporation (MCC) funding.

The October 28 approval means the government was in good stead to finally get the critical funding for MCC compact whose amount in project support is estimated at $700 million (Sh1.15 trillion).

This development would come as a big relief to the government whose image and reputation recently took a severe knock thanks to the Tegeta escrow account scandal. The Parliament approved a resolution at the weekend requiring the President to sack three ministers, the Attorney General and other top bureaucrats in the ministry of Energy and Minerals over the scandal in which up to Sh306 billion in tax-payers' money could be lost in a fraudulent conspiracy between government officials and private businessmen.

Read more: US Congress approves MCC funding
 
Ameshasema ni Upepo tuu utapita, huyu ameshawasoma Watz na kuwajua walivo vyovyote anaweza akafanya anavotaka
 
Wewe ukituma wanao wakaibe, wakakamatwa, ukaletewa uwahukumu, utawapa adhabu gani? Mwacheni rais Apumzike
 
Ni jambo lakushangaza, kustaajabisha na kuchukiza kwamba Toka alipowasili jumamosi JK hajasema lolote kuhusu kashfa ya escrow zaidi ya ule mzaha aliofanya pale airport.

Hata kutwambia amelichukuliaje swala hili licha ya BUNGE kuthibitisha kuwa pesa ya UMMA imeibwa. Hajalaani, hajashtushwa, hajakasirika, wala kushangazwa (hamna kauli yeyote kutoka IKULU)


Billion 321 zimeibwa na wahuni nchini mwake, leo siku ya tatu toka mapendekezo yamepitishwa lakini JK yuko kimya, kajifungia IKULU. TUKUELEWEJE?

Hata kutoa press release ya kulaani kitendo hiki umeshindwa. Au umeanzisha uchunguzi mpya???hata umeogopa kuhutubia nchi mwanzo wa mwezi

Kwa rais serious na mwenye uchungu na nchi yake Jumatatu angeshatangaza kuwatimua woote waliofanya kadhia hii kwa mujibu wa maadhimio ya BUNGE, hivi bado unajiuliza nini?Hivi ni Kweli hii nchi iko auto pilot?

MH rais hatukuelewi na hueleweki
.

uamuzi aliochukua wa haraka ni kumwachisha CAG kazi. Hii inatoa picha kwamba hajapendezwa na taarifa na utendaji wake, hii inauma sana kaz yake kujichekesha tu kama ma---a jaman tuwe makini 2015 watu kama kina pinda, membe sio wa kupewa nchi kabisa
 
Wewe unapiga mayowe tu, Bunge lina mamlaka ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais, angekuwa anahusika hakuna aliyekuwa anawazuia.

Bunge lipi....ili la kura za ndioooooo, mpaka lisurutishwe na migomo ya wabunge wachache wa upinzani ktk mambo yote muhimu? Una habari hata ili la escrow kama si makelele ya UKAWA wabunge wengi wa ccm walikuwa mbummbu.
 
yaani anaona ni fahari kuzungumzia scrotums zake kuliko mambo ya kitaifa
Chikaka Muhongo ameshatahadharisha kuwa akiguswa nchi itatetemeka unajua maana yake ATAMTAJA RAIS na mgao aliobeba subiri!!
 
kama akili zako ziko likizo huwezi kumwelewa hata kidogo jk ni mwanasiasa mwenye upeo wa hali ya juu hawezi kuamua mambo kwa kufuata upepo mpaka athibitishe pasipo shaka kuwa waliotuhumiwa wanahusika lakini siyo chuki kama za kundi la zitto na mchaga wake mengi kwa muhongo.
Hivi neno upeo lina maana nyingine eti!!? Upeo wa kukimbia kujificha nje kuficha aibu ya wizi alioshiriki? Eti anarudi na kuzungumzia afya ya P$%%bu zake!! jamani huo ndio upeo. Kumbe aliagiza mahela yachotwe!! kweli upeo!! you can not be serious!!
 
Back
Top Bottom