Ukimya wa rais unatia shaka

Ukimya wa rais unatia shaka

Kama ikulu ndogo ilitumika kupanga mikakata ya kuwakumbatia wezi,sioni cha ajabu hapo. Nasubiri baraza la mawaziri wezi likae kikao chini ya jizi kuu wabariki wizi walioufanya.
 
kiichobezwa ni nini?? kwani si kweli alizungumzia scrotums.
JK has never and will never be serious

Nakubaliana na wewe sio mtu wa maamuzii mazito...he is such a weak character no wonder Watu wa chini yake wanamchezea michezo
 
uamuzi aliochukua wa haraka ni kumwachisha CAG kazi. Hii inatoa picha kwamba hajapendezwa na taarifa na utendaji wake, hii inauma sana kaz yake kujichekesha tu kama ma---a jaman tuwe makini 2015 watu kama kina pinda, membe sio wa kupewa nchi kabisa

Wadanganyikaa hawana upeo wa kufikirii Watu wengi wanaponzwa na vijisenti vya kampeni hawajipiii sintofahamu ya kutosha ndio maana wanaendeleaa kuchagua mafisadi yaani hiyo disappointment ya kukosa bil 321 imewanyimaa raha CCM sijui game litaendajee
 
Kama unapenda mambo ya kitaifa, automatically ungemheshimu na Rais , usingebeza masuala ya ugonjwa wake!

Na waliokufa hospitalini kwakukosa Dawa siyo watu?.Wao ni zaidi ya huo ugonjwa wake.Swine Likiazi Wewe!!
 
He! Jeikei naye kaiba hiyo hela sasa unataka ajiseme?!
Anakauka hivyohivyo na katuzuga kwa kampeni yake ya 'Tz bila kansa ya tezi dume inawezekana, wanaume tuache michepuko na kula nanii, nanii'
Kweli waTz tu ma.bwe.ge.
 
sisi kina gogo la shamba tunaendelea kuesabu siku leo ni siku ya tano tangu arudi kutoka Marekani
 
Sasa ajitimue mwenyewe? Ni upepo utapita. Bado miezi 10 akalime nanasi.
 
Jk anafikiria kuwapangia kazi nyingine, na kuna uwezekano anahusika na hili sakata 100%.
 
JK ndiye kasuka mpango mzima wa kugawana hela kuhakikisha mtandao unaendelea kuwa juu uchaguzi ujao.

Sasa unategemea atasema nini katika deal alilosuka yeye mwenyewe?
 
Usitegemee JK atasema lolote kwa maana ya kuwa yeye mwenyewe anajijua ndio 'Mwizi #1' na 'Mtuhumiwa #1 .

Anaogopa kusema kwa kuogopa kujichanganya. Anaogopa kusema kwani kauli yake yeyote inaweza kutumika dhidi yake kama ushahidi siku atakayo pandishwa kizimbani...Kwa kifupi hii sinema ya ESCROW bado aijakwisha... Kwa JK hii ESCROW atakumbana nayo huko tuendako na haitampa usingizi wala amani hata akiwa kisharejea uraiani hata kaa ale pesa yake kwa raha na analijua hilo.

Na kuna watendaji wengi watakaotupwa (chini basi/treni wasagwe na kushilia mbali) kama wahanga wa 'saga' hii. Wale watakaofanikiwa kuchomoka (kupona) wakiwa majeruhi na kuamua kufunguka ndio atakaopambana nao na wala si mkono wa nje au wala vyama vya siasa.

Let's us stay tuned.
 
udaku ndo magazeti gani?? weka hapa hiyo press release inayozungumzia ESCRAW
image.jpg
 
Back
Top Bottom