Ukimya uliokuwepo Ikulu umenistua!!

Akiwepo Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye na mawaziri kadhaa wa serikali ambao ni makada nguli wa CCM kwenye kuapishwa kwa viongozi waliokuwa wameteuliwa na Mheshimiwa Rais, nimeona kuna ukimya wa kutisha sana hadi nimejiuliza kulikoni?

Hata Makonda alipopewa Pongezi zake sikuona kama kuna mwitikio toka kwa viongozi wengine wa serikali walipokuwemo mle ndani. utulivu hata wakati Mheshimiwa Rais akijaribu kuwa mcheshi kwa wageni wake makofi yaliyokuwa yanapigwa yalikuwa haba sana. Hii hali imenifikirisha sana. Au kwa kuwa leo ni Week-end watu wana uchovu wa jana?
Kwani huujui huu moto unaokuja mbele zao????
 
Pita na kauli hiZi, "

sheria imekutamka wewe waziri mkuu kuwa mwenyekiti, isinge kuwa ivyo ningejipa Mimi uenyekiti"""


"I wish ninge kua IGP


Hizo kauli ni indiketa kuwa his wish is to be everything!!! yaaani one man army!!!


Ni mkumbushe hakuna anayepinga kukamata wauza unga, tunachotaka ni je , sheria zinzingatiwa??? Unless other wise naona jazba tu!!! Watu wamekaa umo utadhani wameambiwa mapema kabisa olewenu mtu acheke cheke ovyo!!!
That simply means siridhiki na utendaji wako (Premier na IGP) kwenye kushughulikia hili swala la Sembe
 
Mie nimemuona Prof Ndalichako yuko pale Kimwili tu si kifikra na kiakili!

Seriously Sehemu ya Pili ya Wimbo wetu wa Taifa tunapoombea Taifa letu Mwenyezimungu haipokei Tangu Awamu ya Tano imeingia
Naona akili zinaanza kuwarudia
 
Mkiwa hamna cha kuandika mnaleta upupu.

134be4e1e69f7892df5d12706e4206da.jpg
 
Yepi? Awamu ya nne haikuwa na character assassination kama hii. Imejenga miundombinu mingi, imepandisha mishahara kwa kiasi kikubwa, imetoa fursa za elimu nyingi, ilikuwa na ubinaadamu mwingi, imetoa ajira nyingi, imekuza biashara nyingi, imejenga mashule mengi, imeanzisha vyuo vingi, imevutia wawekezaji wengi, imesomesha watumishi wengi, wengi walipata fursa ya kujijengea vibanda vya kuishi, imekuza ushirikiano vizuri sana na mataifa ya nje kwa ajili ya maendeleo, imeibua fursa nyingi za kilimo, biashara na sanaa. List haina mwisho.

Mwaka na nusu huo, tuna barabara moja ya mwenge tu, utapata wapi jeuri ya kuisema awamu ya nne? Acheni kutafuta visingizio uchumi unakufa huo.
Ilikuwa nzuri kwako. ...usinisemee Mimi pia maana bado Nina madeni hayajalipwa
 
Hali ni tete na sijui Kama tutafika morali ya watu kufanya kaz na huyu ngosha imepotea ila nimefurahi kuona kumbe habar zote za mitandaon huwa anapewa au naye ana fake account kuona nin kinaendelea mtaani . kagusia ishu ya kwaya na watu kufuta magar ila sasa naona kasahau kuongea kuhusu utajiri wa kijana wake madereva huo ubillionare kapataje pataje
Wote wezi tuu kwahiyo mwiz hawez kumjadili mwizi mwenzake tena ni wakabila na dini yake
 
Njaa mbaya kuliko Mateso hayo sibora ukalime matango!au rudin ktk professional zenu maana hata mm ule ukimya kama tupo kwamgaga!kutumbuliwa baba ohooo!
 
Back
Top Bottom