hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 858
- 2,048
Silence is polite, silence gets people’s attention, further more, silence at the wrong time could be crushing weakness.
Tunaweza kufahamu ujinga wa mtu kwa kutazama anachokiongea. Tunaweza kufahamu huyu mtu anawaza Nini au alikuwa anawaza nini kwa kusikiliza anachokiongea.
Hivyo mtu akikaa kimya anakuwa ni hatari kwani tunashindwa kumuelewa. Tunaweza kudhani ana akili. Tunaweza kudhani ni mpole. Au tunaweza kudhani ana mawazo mazuri.
Mtu mkimya kwenye kundi la watu wanaozungumza anaweza kuwa mtu hatari zaidi na wa kuogopwa.
Ukimya wa Samia unavuta attention ya watu, pia unapunguza vitu vingi sana.
Sakata la bandari ni kubwa mno bila silaha yake hiyo lingekuwa na hali mbaya zaidi, aidha anakaa kimya kwa woga au aibu lakini hiyo Ina msaada kwake, itamfanya angalau awe na mvuto kwa wananchi japo kidogo.
Tunaweza kufahamu ujinga wa mtu kwa kutazama anachokiongea. Tunaweza kufahamu huyu mtu anawaza Nini au alikuwa anawaza nini kwa kusikiliza anachokiongea.
Hivyo mtu akikaa kimya anakuwa ni hatari kwani tunashindwa kumuelewa. Tunaweza kudhani ana akili. Tunaweza kudhani ni mpole. Au tunaweza kudhani ana mawazo mazuri.
Mtu mkimya kwenye kundi la watu wanaozungumza anaweza kuwa mtu hatari zaidi na wa kuogopwa.
Ukimya wa Samia unavuta attention ya watu, pia unapunguza vitu vingi sana.
Sakata la bandari ni kubwa mno bila silaha yake hiyo lingekuwa na hali mbaya zaidi, aidha anakaa kimya kwa woga au aibu lakini hiyo Ina msaada kwake, itamfanya angalau awe na mvuto kwa wananchi japo kidogo.