vipi tena mkuu kuuliza sio ujinga kuwa huru.Umeona Eeeeee mbuzi na kuku
Hiyo Avatar ni wewe au?
Nauliza tu mkuu
mawazo yako mazuri mkuu bila kusahahbcondomu inasaidia sana wengi.Watu wanachukulia poa sana asikwambie mtu ngwengwe ni noma aisee isikie kwa mwenzako niliwahi pitia demu anao mwaka mzima niliishi kwa hofu na mashaka nashukuru Mungu nilikuwa salama na sahv ujinga wote niliacha nina mke na soon ntakuwa baba ushauri wangu kwa vijana kama unapenda nyapu na unayapenda maisha yako tulia tu ila kama huwezi usipige bao zaidi ya 1 na hakikisha demu umemchezea vya kutosha do this at your own risk
Hiyo Avatar ni wewe mbuzi na kuku?vipi tena mkuu kuuliza sio ujinga kuwa huru.
Unatumia condom ya kike au wewe ndo wale mnaotegea mwanaume ndo avaeyani kama navyowaza kichwani kwangu mkuu condom ndo silaha yangu naitumia vyema.
Mkuu niombee na mimi nipunguze maana shetani naona yuko uvuguni mwangu.Ngono zimetawala mno vichwani mwa watu wakubwa kwa wadogo wengi wanaangamia kweli UKIMWI umeteketeze dunia. Mapenzi mapenzi jamani, usaliti katika ndoa, ajali, starehe na tamaa za hii dunia zinatumaliza, ukosefu wa maarifa na dhambi ni adhabu kwetu. Mshahara wa dhambi ni mauti, chuki na visasi aaaah ndugu tusameheane yaishe.
Tuwe na kiasi pia turidhike na tulichopewa/tafuta/barikiwa maisha ni kuridhika. Wangapi wamekufa wakaacha mambo ya dunia hii? Vishawishi na vishindwe kwa jina la Mwenyezi-Mungu daima tuvitawale pamoja na hisia. Kwa kujiweka salama tujilinde wenyewe tumkabidhi Mungu wetu maisha yetu kwa kila hatua tunayofanya.
Ushauri wangu kwenu wana MMU.
Ahsante, kwa sote mpendwa.pole sana ndugu Mwenyezi-Mungu akufariji moyo wako
hakika mkuu.Kuweni na ujasiri wa kulinda afya zao
avae kwanza ndo namruhusu aniingie.Unatumia condom ya kike au wewe ndo wale mnaotegea mwanaume ndo avae
Asante mkuu,pole sana mkuu sio wewe peke yako wapo wengi.
KKuna mzungu mmoja tulikuwa nae pori akaja mdogo wake kutoka south halafu akatuambia " my young bro is hiv + please i want you to show love to him" weeeeee nikajisemea rohoni nyokoooo huyu mzungu msengreeeee nini yaani mi ni socialize na mtu mwenye ukimwi? Nikasema hapa ndo bongo unyanyapaa mwanzo mwisho... We una ukimwi usinisogeleee.
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Kuna ndugu yangu wa karibu juzi kafunguka kwamba anatumia ARV yan hapa sina hamu hata kidogo na wanawake...
Una fikra finyu sana na si ajabu utakufa Kwa ukimwiKKuna mzungu mmoja tulikuwa nae pori akaja mdogo wake kutoka south halafu akatuambia " my young bro is hiv + please i want you to show love to him" weeeeee nikajisemea rohoni nyokoooo huyu mzungu msengreeeee nini yaani mi ni socialize na mtu mwenye ukimwi? Nikasema hapa ndo bongo unyanyapaa mwanzo mwisho... We una ukimwi usinisogeleee.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji12]Hivi mnajua kwanini anajiita mbuzi na kuku?chakula hiyoo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Na unatibika tena kirahisi sana tena mno.
Bado weweUkimwi umeuwa wengi ni kweli,
Dah roho inaniuma sana wajomba zangu wawili wamekufa na HIV mpaka leo huwa naumia sana nikiwakumbuka, wamekufa wakiwa vijana wadogo sana,
Mwezi uliopita nilikwenda kijijini kwetu kusalimia, bibi yangu akawa ananipa siri kuna watoto wa kike wa marehem mama yangu mkubwa wote wanatumia ARV... Dah roho ilizidi kuniuma sana,
Ukimwi upo na hutajua kama haupo mpaka uupate Ndio utaamini
Na wapo wengi sana. Hii topic ni mwiba mchungu, lakini huwezi kuacha kuielimisha jamii kisa kuna watu humu na wameathirika.Jamani tuangalie na maoni yetu kuna watu pia wameathirika sasa ikawa nao wanasoma haya maoni inakuaje