Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,673
- 40,967
- Thread starter
- #21
Maisha ni kuchagua, uwe upande wa shetani au MunguNgoja nipite hivi.......................................................
Maisha ni kuchagua, uwe upande wa shetani au MunguNgoja nipite hivi.......................................................
Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi.“Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.’’
Huyo ni muongo.“Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.’’
Sisi tupo hapa hizo sayari zingine tutazitaji baadae.Sayari zingine je
Watafute DP WORLDKatika kusoma soma kwangu kwenye hiki kitabu 'biblia' nikakutana na maneno haya ''Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari zake, kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.’’
Sasa najiuliza, hawa wote wanaomiliki fahari za dunia, wameamua kumsujudia shetani, na shetani naye akawapa utajiri?
Je, shetani ana mamlaka gani ya kumiliki mali zote za dunia?
Kwa hoja yako ina maana Mungu anapenda umasikini?2 kor 4:4.
Shetani ndiye mungu wa duniani.
YESU hagawi utajiri hapa duniani ingawa wahubiri wahuni na washenzi wanawadaa watu kuwa Mungu anatajirisha watu hapa duniani.
Mungu anabariki tu usiishi kwa kumkufuru maana umaskini ukizidi kufuru hufuata.
Mungu anakupa chochote utakachoomba.Ni ukweli asilimia 100 , hakuna utajiri wa Mungu.
Ujinga huoKoran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
USSSHETANI HUU....
Sio walimsujudia bali wanamtumikia...Kwamba kina Elon musk, Billgate, Jeff bezos, Mark Zuckerberg, warren buffet, Aliko Dangote, Mo dewj n.k
Wali msujududia shateni?