Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 711
- 6,187
Unasema una pesa,..una hela wewe? Kuna watu wana pesa bwana.
Hua nawashangaa watu mnaokumbatia UMASKINI, eti mimi natosheka na shilingi mia mbili mbili zangu, huna akili,,
Huyu mwamba kwanza ana utajiri wa Trilioni 60 pesa za madafu yenu, ana magari elfu saba ambayo karibia yote yamenakshiwa kwa dhahabu
Ana kinyozi wake ambaye hua anamsafirisha kwa ndege kila siku kwenda kumnyoa akitokea Uingereza, ambaye gharama za kinyozi ni Milioni 40 pesa za madafu yenu, ana ndege iliyonakshiwa kwa dhahabu za kutosha yenye thamani ya pesa za madafu Bilioni 150, hio ni moja tu anayoipenda kati ya 200 alizonazo.
Namaliza hivi,
Kisha Shetani akamwongoza Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima ulio mrefu sana na kumwonyesha falme zote za ulimwengu na vitu vya kupendeza vilivyomo ndani. Shetani akamwambia Yesu, “Ukiinama na kuniabudu, nitakupa vitu hivi vyote."
Nimemaliza.
Hua nawashangaa watu mnaokumbatia UMASKINI, eti mimi natosheka na shilingi mia mbili mbili zangu, huna akili,,
Huyu mwamba kwanza ana utajiri wa Trilioni 60 pesa za madafu yenu, ana magari elfu saba ambayo karibia yote yamenakshiwa kwa dhahabu
Ana kinyozi wake ambaye hua anamsafirisha kwa ndege kila siku kwenda kumnyoa akitokea Uingereza, ambaye gharama za kinyozi ni Milioni 40 pesa za madafu yenu, ana ndege iliyonakshiwa kwa dhahabu za kutosha yenye thamani ya pesa za madafu Bilioni 150, hio ni moja tu anayoipenda kati ya 200 alizonazo.
Namaliza hivi,
Kisha Shetani akamwongoza Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima ulio mrefu sana na kumwonyesha falme zote za ulimwengu na vitu vya kupendeza vilivyomo ndani. Shetani akamwambia Yesu, “Ukiinama na kuniabudu, nitakupa vitu hivi vyote."
Nimemaliza.