kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,369
Kabla ya kuuliza swali langu nitataka watu wasome kwanza kitabu hiki
Mathayo 4
8 Kwa mara nyingine shetani akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu akamwonyesha milki zote za dunia na fahari zake, 9 kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukipiga magoti na kuniabudu.”
Swali langu ni hili
Kama shetani ndo anatoa utajiri kwanini sasa tunamuomba Mungu atupe utajiri na wakati utajiri upo mikononi mwa shetani?
Na kwanini Mungu alimpa shetani hayo yote? Uku akijua viumbe vyake vinataka maisha mazuri
Alitegemea nini
Hapa ndipo nashindwa kuelewa haya mambo ya dini
Mathayo 4
8 Kwa mara nyingine shetani akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu akamwonyesha milki zote za dunia na fahari zake, 9 kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukipiga magoti na kuniabudu.”
Swali langu ni hili
Kama shetani ndo anatoa utajiri kwanini sasa tunamuomba Mungu atupe utajiri na wakati utajiri upo mikononi mwa shetani?
Na kwanini Mungu alimpa shetani hayo yote? Uku akijua viumbe vyake vinataka maisha mazuri
Alitegemea nini
Hapa ndipo nashindwa kuelewa haya mambo ya dini