win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,607
- 32,821
huyo simfaham mi nawafaham wawili mac na huyo afrooNamkubali dunia 🔥
huyo simfaham mi nawafaham wawili mac na huyo afrooNamkubali dunia 🔥
oooh hapo sawa,, sema saivi washajitokeza madj uchwara wamemuigilizia sauti mpka wanaboa, na sijui kama bado anaendelea na kazi yake au kashaacha maana ni muda kweliI mean namkubali sana Afro, ndio namba one
hapan bado sijafika nipo kwenye 25+Umefika 30+ ?
Siavi tumeamia ulimwengu wa movies ziszo tafsiriwa, hakuna namnaoooh hapo sawa,, sema saivi washajitokeza madj uchwara wamemuigilizia sauti mpka wanaboa, na sijui kama bado anaendelea na kazi yake au kashaacha maana ni muda kweli
yeah ni kweli kwanz madj ni waongo mnoo walikua wanatulisha matango pori😅😅😅Siavi tumeamia ulimwengu wa movies ziszo tafsiriwa, hakuna namna
Warusha movie ni vijijini huko ndio wanaangaika na madj wa sasa
We umeuliza iwapo Kuna watu bado wanapiga nyeto wakati Kuna wake za watu na malaya, kanakwamba huko nyuma watu walikuwa wanapiga nyeto kwa sababu hao malaya na wake za watu hawakuwepo.We umesemaje kwan?
Kuwa Mwili mmoja na Mwanamke labda kwa One Night Stand😀😀Me nawapenda WakujeKua nae mwili mmoja