Ukimfuatilia Prof Assad utagundua si mtu smart kama ambavyo watu walidhani

Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
Wanasema ukitaka kujua akili ya mtu mvue kwanza elimu alionayo,then kinachobaki ndio akili yake yeye kama yeye...
 


ukasome izo kwanza
CCM toka lini mkawa na uwezo wa kuelewa mambo vitu vingine vinakuzidi kimo. Mkandarasi anadai kwa sababu serikali imechelewa kumlipa kwa mujibu wa mkataba. Mkataba unataka afanye kazi ndio alipwe ndani ya siku 28 toka certificate iidhinishwe. Serikali inatakiwa kuingia mkataba baada ya kupata fedha au kuwa na uhakika na chanzo. Sasa hapo nani mwenye shida.?
Hata kwenye ndege kuna taratibu zake za kununua kwa mkopo,utalipa kwa mujibu wa mkataba ukichelewa unapigwa faini. Kwa hiyo serikali ingeingia mkataba wa kununua ndege kwa mkopo baada ya kuwa na business plan inayoongesha jinsi itakavyopata hela za kulipa deni.

Halafu Prof aliuliza pia nyaraka za ndege,mmeshampa? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
CCM toka lini mkawa na uwezo wa kuelewa mambo vitu vingine vinakuzidi kimo. Mkandarasi anadai kwa sababu serikali imechelewa kumlipa kwa mujibu wa mkataba. Mkataba unataka afanye kazi ndio alipwe ndani ya siku 28 toka certificate iidhinishwe. Serikali inatakiwa kuingia mkataba baada ya kupata fedha au kuwa na uhakika na chanzo. Sasa hapo nani mwenye shida.?
Hata kwenye ndege kuna taratibu zake za kununua kwa mkopo,utalipa kwa mujibu wa mkataba ukichelewa unapigwa faini. Kwa hiyo serikali ingeingia mkataba wa kununua ndege kwa mkopo baada ya kuwa na business plan inayoongesha jinsi itakavyopata hela za kulipa deni.

Halafu Prof aliuliza pia nyaraka za ndege,mmeshampa? 🤣🤣🤣🤣🤣

elimu yako tafdhali naona bado hujafanya mtihani wa la nne
 
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
Huna lolote Wivu mtupu
 
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
Udini hkauna kingine

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
Nakubaliana kabisa na wewe ... anaweza kuwa ni mwalimu mzuri ila ana IQ ya kawaida tu.
 
Watanzania tuna tatizo kubwa la uchama. Hata bila ya uchunguzi wa kina, utagundua hata wasomi wakubwa km Dr, Prof, nao ni walewale tu

Safari hii limezuka kundi la watu wanaomnanga vibaya Prof. Assad, na hawa ni wale wanaoegemea CCM
Na wale wanaomsifia wengi wao ni wa upinzani na wanaharakati nuetral

Usishangae kumuona Dr km Dorothy, Hamis n.k wakiwa vigeugeu na wanafiki utafikiri sio wanazuo...Inasikitisha

Ndug zangu, tutafute hela, hakuna mfanyabiashara mnafiki mnafiki km hawa ndug zetu.
Hao vijana tunaowaita wafanyabiara lkn wana maisha ya uchama, hao ni wajasiliamali tu, bado wana njaa kuanzia kichwani had tumboni... Biashara zao zinahitaji kujipendekeza chama tawala ili ziendelee

Asalaam
 
Mleta mada inaonekaqna hii mada umeandika ukiwa tandika, manzese au Tandale kwani imefanana na huko!
Uwe unaandika vitu ambavyo ni smart, Prof Assad n very smart kwa sana na sio mtu wa kwenu tandale au tandika
 
Unaweza ukawa sahihi kuhusu uwezo wa Prof Assad. Lakini kutumia hoja ya yanayosemekana kuendelea kati ya nchi za kiafrika zilizokopa China na mkopeshaji ni hoja dhaifu mno.
 
Huyo mzee assad msenge sana nusu anifanye nisimalize chuo kisa ada. Namchukia sana boya huyo
haya mambo watu huwa wayajaui wanaenda kwa kufuata upepo tu .. Assad haonekani kama ni mtu mwema. anaonekana ni mtu mwenye ujivuni na ujeuri. inawezekana darasani alikuw ana akili lakini katika kuishi na watu na kuelewa nini na wakati gani aongee ni zero kabisa. kama akielekezwa vizuri akajifunza anaweza kutgumia elimu yake vizuri kwa manufaa ya watu wengine pia
 
Unaweza ukawa sahihi kuhusu uwezo wa Prof Assad. Lakini kutumia hoja ya yanayosemekana kuendelea kati ya nchi za kiafrika zilizokopa China na mkopeshaji ni hoja dhaifu mno.
unakumbuka kauli yake kuwa wafanyakazi wa serikali karibia wote ni vilaza? una baba au mama mtumishi? wewe mtumishi wa serikali?
 
Back
Top Bottom