Ukimfuatilia Prof Assad utagundua si mtu smart kama ambavyo watu walidhani

Mtu mwenye High IQ hawezi kujisifu hata siku moja, bali huacha kupitia kazi yake watu wamsifu, hivyo mimi kwangu sijaona chochote kwa huyu ,,Profesa“ usisahau kwamba neno Prof. Tanzania liko misused sana, wengi wao wanaojiita Prof. hawawezi kupata chair yoyote popote pale Duniani ya kufanya research ya maana, ni kisiasa zaidi.
upo sahihi kabisa. prof mwenye akili hawezi jisifu anaacha kazi yake mwenyewe ionekane si kuongea kwa kuonesha kuwa yeye ni somebody. hapo alipoteza umakini kabisa. alipasw aawe humble asimamie anachoamini kwa hekima na heshima.
 
Profesa anajichora kwa kuruhusu tumjue sana, amekuwa cheap and available kwenye public domain…. kilaza yeyote anaweza kumjadili.

Sio mwanasiasa, ameshafurushwa ofsini…. basi atulie.
 
Ninyi panya buku Prof.Assad au Simba ni habari nyingne
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
 
Agopa sana kitu kinachoitwa karma. Kujaribu kumshusha mtu brilliant na smart kama Prof. Mussa Assad, kwa hoja muflis za uongo, there is a price to pay!. Prof Assad ni very smart. Msikilize hapa hoja kwa hoja








P

wewe mayalla huaminiki kisukuma ni njaa. ukiwa na njaa unaweza fanya na kusema lolote. WEWE HUAMINIKI KAWE ULIPEWA KURA MOJA KAMA SIKOSEI NA WAJUMBE. HUWEZI UKAONGEA KITU CHA MAANA. maana ulishaongea yoooote ukamaliza.
 
Profesa anajichora kwa kuruhusu tumjue sana, amekuwa cheap and available kwenye public domain…. kilaza yeyote anaweza kumjadili.

Sio mwanasiasa, ameshafurushwa ofsini…. basi atulie.
aliumia sana ndo maana kawa na hasira. unamwona anaongea kwa jazba na si academically. amekosa hekima na busara kabisa. ni mtu ambaye ana machungu sana.
 
Ww huyu ni next level,co yule iblis wenu alielala kule kwao udongon
wala hauhitaji mihemko kujua jamaa ni zero brain, ni ajabu sana mtu anapokea ushauri kutoka kwa kiumbe ambae hajui biashara, hana biashara inaojulikana, hana familia yenye background ya biashara, na wala hajawahi soma biashara! Lakini unapokea ushauri kutoka kwake , ndo yale tunasema mjinga na mjinga wanapokea ushauri
 
Izo ndio nn we nguchiro?????


ukasome izo kwanza
 
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
Nyie si ndio mnasema hata Nyerere hakuwa na akili alikuwa anaangalia TV za nje anapata "nondo" ?!!!

Kwahiyo nyie kwenu mwenye akili ni Ndugai na mama tu?
 
Wengi wameshaanza kugundua kuwa tatizo lilikuwa nini kwa kuwa wamegundua pia kuwa prof mussa assad si kweli kuwa ni smart kama ambavyo mara ya kwanza hata mimi nilidhani. ni mtu mropokaji, ambaye inawezekana akawa na akili lakini akawa hana busara au hekima. ukimsikiliza katika maongezi yake utagundua mambo mengi sana. ukitaka kusikiliza watu wenye akili na busara msikilize prof safari. alikuwa anajua nini cha kuongea na wakati gani pia. prof assad alikuwa ana sukumwa na jambo jingine lakini kwa sasa unamwona hana hoja ana hata hoja ambazo alitoa kipindi kile zimekuja kuoenekana kuwa ni za hovyo. tumeona kinachotokea sehemu mbalimbali za afrika walizonunua vitu kwa mkopo hasa kutoka china. huyu prof aliendeshw ana miheko zaidi kuliko uhalisia.
Inaonekana wewe ndio una mihemko!
Umeandika tu, wala sioni fact au hoja ya kujibu.

Halafu hata huku uswahilini tunanunua vitu vingi tu kwa kukopa.

Pimbi sana wewe! Hujui hata kutumia nukta, koma na herufi ndogo na kubwa.
 
Back
Top Bottom