Ukikataliwa Pm, hasira usilete Jukwaani

Ukikataliwa Pm, hasira usilete Jukwaani

😂😂😂 he kuna na kudislike tena! Ngoja nichungulie huko juu.

Ha ha haaa
Acha kuruka tuka kusoma yaliyo andikwa

Itakuwa Mr aka Mr dislike anamisiwa sana hadi kafunguliwa uzi.. Kamisiwa usumbufu wake..

Aendelee tu kusumbua aiseee

Ila pia wa Mada kasema asiangakie picha sasa sijui yeye ni wa kivipi.. 🤣🤣🤣🤣🤣😂
 
Naona hii tabia imeota mizizi sasa.

Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.

Usidanganyike na Profile pic yangu.

Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.

Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.

Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.

Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.

Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
Acha uchoyo wewe
 
Ha ha haaa
Acha kuruka tuka kusoma yaliyo andikwa

Itakuwa Mr aka Mr dislike anamisiwa sana hadi kafunguliwa uzi.. Kamisiwa usumbufu wake..

Aendelee tu kusumbua aiseee

Ila pia wa Mada kasema asiangakie picha sasa sijui yeye ni wa kivipi.. 🤣🤣🤣🤣🤣😂
🤔🤔🤔 duh
 
Duh
Ha ha haaa
Acha kuruka tuka kusoma yaliyo andikwa

Itakuwa Mr aka Mr dislike anamisiwa sana hadi kafunguliwa uzi.. Kamisiwa usumbufu wake..

Aendelee tu kusumbua aiseee

Ila pia wa Mada kasema asiangakie picha sasa sijui yeye ni wa kivipi.. 🤣🤣🤣🤣🤣😂
Nimeisoma Code yote, kwa asilimia 99.9 hapa kazungumziwa bwashee.
(Kwa uelewa wangu lakini)
 
40083969-D522-43CC-B6AC-C1D5BEBAA0AE.jpeg

🤔
 
Back
Top Bottom