Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,383
- 8,273
Hapa wamedislike 4 sasa sijui ni yupi au wote umewapiga vibuti na sasa wamekuja huku kwa hasira. 🤔Naona hii tabia imeota mizizi sasa.
Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.
Usidanganyike na Profile pic yangu.
Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.
Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.
Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.
Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.
Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
Shikamoo Jamiiforums