Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 5,877
- 10,372
Ulichopewa na Mungu kumnyima mtu dhambi
😂😂😂 nilisahau mkuu, sini255 ulivosema wa mtwara sasa, yule kusini yupo kikazi tu, kama ungekuwa huku mkuu ningemshikilia bango hadi umtafune gozi, anaonekana ni bonge la dada na hana njaa kama hawa wa mtaani.Kaka umesahau mpaka nikajitetea na kulewa 🤣😂😂
Mfano? 😂Wapo wengi mno ,na wanadhani hawapaswi kukataliwa
Hehe UmeonaKaamua kutafuta attention baada ya kuona hamna mdau aliemfata PM
Natania tu lakini
😂😂😂Kwani mahali ya mke ni Rasta au mbona Wana masharti magumu hivyoNilisahau kaka hapa na google hospitali ya kupandikiza nywele ili nami nifunge rasta 😅😅
Nilisahau kaka hapa na google hospitali ya kupandikiza nywele ili nami nifunge rasta 😅😅
😂😂😂Simtaki tena sahivi nakimbiza yule ngongoti mliyemkataa😂😂😂 nilisahau mkuu, sini255 ulivosema wa mtwara sasa, yule kusini yupo kikazi tu, kama ungekuwa huku mkuu ningemshikilia bango hadi umtafune gozi, anaonekana ni bonge la dada na hana njaa kama hawa wa mtaani.
Mkuu nakuona unamchoresha shangazi yako tu.Mfano? 😂
Na wewe punguza hasira , kama mtu umemkataa na akaja kudis post zako na wewe ukae kimyaNaona hii tabia imeota mizizi sasa.
Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.
Usidanganyike na Profile pic yangu.
Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.
Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.
Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.
Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.
Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
Hapana yeye kasema wapo wemgiMkuu nakuona unamchoresha shangazi yako tu.
Mkuu huyu mzima kabisa mbona kama umemuonea kumpeleka Dodoma 😂😂😂
Kumradhi! Kuna Changamoto KidogoMkuu huyu mzima kabisa mbona kama umemuonea kumpeleka Dodoma 😂😂😂
Hivo walio dis like wote wametia nia ila mjumbe wa kamati kuu kawakata..?Naona hii tabia imeota mizizi sasa.
Si kila mwanamke yuko humu JF kutaka mapenzi.
Usidanganyike na Profile pic yangu.
Ukikataliwa kausha na sio kutwa kucha ku-dislike comments au nyuzi zangu.
Nadhani ushajijua.
Hata uki-dislike hunizidishii wala kunipunguzia uhai.
Nakutoa kwenye ignore list ili uione hii post.
Najua na post hii utakuja ku-dislike.
Uki-dislike, nakusanua ili wanaokuona wa maana wakushushe thamani.
Halafu unajiita msomi na bage yako ya verified hiyo!
Mmmmh Mwachi unataka kunigombanisha na watu humu 😂Mfano? 😂
Hapana kabisa we mtaje kwa code tu 😂😂Mmmmh Mwachi unataka kunigombanisha na watu humu 😂
😂😂😂 sawa mkuu sema yule yupo mkoa pia, kuna uzi alikuwa akilalama siafu huwa wanawavamia usiku na mwanae, au huko daaslam kuna siafu?😂😂😂Simtaki tena sahivi nakimbiza yule ngongoti mliyemkataa