Ukiijua hii Saikolojia na tabia ya Askari Polisi, hawatakusumbua sana

Yaani hii mkuu ni kila Kitu! Shule! Lecture! Kifupi ni classic lesson! Ahsante sana.
I binafsi napenda sana kucheza na akili zao! Na Mara zote huwa nawin!

Kuna siku nlikuwa namrudisha Bi Mkubwa Ar na chombo chake, basi zile road block na chemli, nikifika tu, nasimamisha gari, nashuka fasta kabla hata kuambiwa, fasta nasalimia kabla hawajaanza! Huwa nawaambia: WAKUU WA KAZI HESHIMA ZENU!

Wanaitikia afu siwapi gap! POLENI SANA NA KAZI HII NYETI! Wanazidi kutabasamu!

Wakati wanazunguuka kuichungulia gari... Nawapa nyingine WAKUU MUNGU AWABARIKI SANA, BILA YA NYINYI SAA HIZI TUSINGEWEZA KUENDESHA!

Yaani Hapo tuna kuwa marafiki!

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu! Yaani unawaleta kwenye utengamano wako wa kiraia ili uwaachie Superiority yao uondoke na amani yako. Polisi wako simple sana ukiwajua wanavyocheza kwenye zone yao ya kazi na weakness na strength zao.

Kwa hizo phrase zako hawachomoi maana tayari unakuwa umeingia more willingly and smoothly kwenye conversation nao... They all need that.

Mimi kuna mmoja alishawai hadi kunisukuma baada ya kamkebe(kagari) kangu kuzima ghafla barabarani... Nilimuwin kirahisi sana na akawa mwanangu nikawa naenda hadi kupiga soka barracks kwao.

Easy as that!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo marefu kweli kweli safi sana.

Askari shupavu anakamilisha cycle ya W? Siyo kweli. Hii iko kwenye muvi zaidi na maandiko ya mitandaoni.

Kwamba Mabeyo na Siro wanapiga ulabu kushinda Jibapa?

Sababu pekee sinywi pombe ni kwasababu katika familia nilikosa wa kuchagiza hata kuionja pombe.
Baba ni mwanajeshi mstaafu, hajawahi kunywa pombe wala kuvuta sigara tangu napata akili mpaka leo. Wanawake siwezi kumsemea, ubabe najua hana ni civil sana.

Psychologically askari anaact shit siyo kwasababu ya superiority ila ni kwa sababu ubongo wa binadamu uko programmed hivyo. Yaani hata leo Humble African ukikabidhiwa mamlaka ya kuamua hatma ya mustakabali wa mtu una chance nzuri ya kua sadist soon.

Hiyo iko proved na experiment hii
Stanford prison experiment - Wikipedia

Au kwenye muvi ya Forest Whitaker inaitwa The Experiment.
 
Maelezo marefu kweli kweli safi sana.

Askari shupavu anakamilisha cycle ya W? Siyo kweli. Hii iko kwenye muvi zaidi na maandiko ya mitandaoni.

Kwamba Mabeyo na Siro wanapiga ulabu kushinda Jibapa?

Sababu pekee sinywi pombe ni kwasababu katika familia nilikosa wa kuchagiza hata kuionja pombe.
Baba ni mwanajeshi mstaafu, hajawahi kunywa pombe wala kuvuta sigara tangu napata akili mpaka leo. Wanawake siwezi kumsemea, ubabe najua hana ni civil sana.

Psychologically askari anaact shit siyo kwasababu ya superiority ila ni kwa sababu ubongo wa binadamu uko programmed hivyo. Yaani hata leo Humble African ukikabidhiwa mamlaka ya kuamua hatma ya mustakabali wa mtu una chance nzuri ya kua sadist soon.

Hiyo iko proved na experiment hii
Stanford prison experiment - Wikipedia

Au kwenye muvi ya Forest Whitaker inaitwa The Experiment.
Umejitahidi kufafanua Mkuu Castr

Ila ujue askari asie na mwanamke mmoja rasmi anakuwa hana cha kupoteza na hana family ties and bonds kama normal people hii inamfanya awe tayari wakati wowote kufanya lolote. Askari anaetandika whisky(vyombo) anashinda kambini muda wote Hivyo ni rahisi kumpata in case kuna dharula Hivyo nj good soldier/officer. Askari anaependa war na mapambano ndio anafaa maana kwake kuzipiga kavu au kwa chuma ndio kunakamilisha uanaume wake na uaskari wake.

Askari wenye vyeo vikubwa walioko kwenye administrative role zaidi sio lazima wapige mtungi sababu wao ndio Masterminder wa mitkasi yote ya jeshini. Hivyo sio lazima nasemea wapiganaji ambao ndio nguvu kazi ya jeshi... Triple W ndio kipaumbele.

Ukiona askari hana hivyo vitatu ujue hana sifa ya kuwa askari thabiti wengi huwa wanakuwa askari mishahara tu yaani yupo jeshini sababu hana namna nyingine ya kupata fedha na yuko jeshini sababu hakuna ajira mtaani.

Superiority complex ni human nature kila mtu anaitaka ila ya askari wao huwa wanaitaka kwa nguvu usipowapa wanaichukua kwa nguvu kutoka kwako. Ila huku kitaa tunaongozwa na social norms and values ndio maana sio crime kutomsalimia Mzee anaekuzidi umri ila ni utovu wa nidhamu kijamii yote hii ni wazee wanaisaka superiority yao na wao kwa namna ambayo ni ya kidiplomasia zaidi, askari wao wanaitaka kwa kibabe.

Hivyo sijakataa binadamu sote kuwa na hii superiority complex bali tunatofautiana kuipata.

Iko hivo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejitahidi kufafanua Mkuu Castr

Ila ujue askari asie na mwanamke mmoja rasmi anakuwa hana cha kupoteza na hana family ties and bonds kama normal people hii inamfanya awe tayari wakati wowote kufanya lolote. Askari anaetandika whisky(vyombo) anashinda kambini muda wote Hivyo ni rahisi kumpata in case kuna dharula Hivyo nj good soldier/officer. Askari anaependa war na mapambano ndio anafaa maana kwake kuzipiga kavu au kwa chuma ndio kunakamilisha uanaume wake na uaskari wake.

Askari wenye vyeo vikubwa walioko kwenye administrative role zaidi sio lazima wapige mtungi sababu wao ndio Masterminder wa mitkasi yote ya jeshini. Hivyo sio lazima nasemea wapiganaji ambao ndio nguvu kazi ya jeshi... Triple W ndio kipaumbele.

Ukiona askari hana hivyo vitatu ujue hana sifa ya kuwa askari thabiti wengi huwa wanakuwa askari mishahara tu yaani yupo jeshini sababu hana namna nyingine ya kupata fedha na yuko jeshini sababu hakuna ajira mtaani.

Superiority complex ni human nature kila mtu anaitaka ila ya askari wao huwa wanaitaka kwa nguvu usipowapa wanaichukua kwa nguvu kutoka kwako. Ila huku kitaa tunaongozwa na social norms and values ndio maana sio crime kutomsalimia Mzee anaekuzidi umri ila ni utovu wa nidhamu kijamii yote hii ni wazee wanaisaka superiority yao na wao kwa namna ambayo ni ya kidiplomasia zaidi, askari wao wanaitaka kwa kibabe.

Hivyo sijakataa binadamu sote kuwa na hii superiority complex bali tunatofautiana kuipata.

Iko hivo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachojaribu kukwambia ni kwamba.

Hakuna kitu kama hiyo W cycle kwenye maisha halisi ya askari ili kuamua nani ni shupavu.

Women, and Whisky, and War ni shairi lilioandikwa na Joe Lopez na watu wengine mtandaoni wanalitumia wakidhani ni real deal huko jeshini.

Special Forces Association Chapter IX: TO WOMEN AND WHISKEY AND WAR

Whats the point ikiwa tunakukuta kambini lakini umelewa hadi kunyanyuka huwezi? Kwa askari loyalty ni kila kitu kua na wanawake wengi means you are not loyal.

Ndiyo maana askari akichepuka mkewe akipeleka malalamiko kwa mabosi consequences hua zinakua kubwa.

3 Ws ain't existing.

Hilo la saikolojia nahisi tumesettle.
 
Ninachojaribu kukwambia ni kwamba.

Hakuna kitu kama hiyo W cycle kwenye maisha halisi ya askari ili kuamua nani ni shupavu.

Women, and Whisky, and War ni shairi lilioandikwa na Joe Lopez na watu wengine mtandaoni wanalitumia wakidhani ni real deal huko jeshini.

Special Forces Association Chapter IX: TO WOMEN AND WHISKEY AND WAR

Whats the point ikiwa tunakukuta kambini lakini umelewa hadi kunyanyuka huwezi? Kwa askari loyalty ni kila kitu kua na wanawake wengi means you are not loyal.

Ndiyo maana askari akichepuka mkewe akipeleka malalamiko kwa mabosi consequences hua zinakua kubwa.

3 Ws ain't existing.

Hilo la saikolojia nahisi tumesettle.
Mkuu ngoja nikusaidie hili;

Unadhani Kwanini jeshini wakifika hawaruhusiwi kuoa hadi baada ya miaka 6 ya mkataba na jeshi? Its simple wanataka soldiers wafall kwenye trap ya multiple relationship na women ili waishi in lone at the end.. Its sound dumb, but that's how it is.

Whisky kwa maana ya monde au mtungi, unadhani kwanini soldiers wanauziwa bia zikiwa exempted from duty!? Maana ni zama za kikwete pekee ndio walianza kuuziwa na vifaa vya ujenzi kwa msamaha wa kodi the rest ilikuwa mtungi pekee ndio una msamaha wa kodi kwa wafunga buti.. They want them to fall into this trap ya kupiga mtungi uncontrollably... China wao wanafanya training huku soldiers wakiwa wamelewa chakari.... Kuona kama kuna soldier anaweza kujicontrol under the influence if alcohol na akapokea orders kwa superior officer wake na kupambana uzuri kwenye battlefield efficiently and effectively.

War ndio hata jeshini walikuwa wakikaribia kumaliza kozi pale Makutupola wanawapeleka soldier somewhere mtaani wakakiwashe kwa Raia ili kuona kama wana aggressiveness and violent trait za kiaskari. Hii siku hizi haipo. Jeshi linapoteza triple W ndio maana siku hizi unaweza kumuona askari katoka kozi ukamuangalia ukajisemea huyu hata Mimi hanitoi kwa ngumi kwa jinsi alivyo legelege na mayai. Zamani! Thubuutu!

Ni majeshi ya siku hizi tu Africa ndio yamepoteza hizi triple "W", soldier anatoka tu kozi anaoa uswazi na anakuwa na family na future kabisa akisikia hata anaenda mission Congo pale kwa M23 anajinyeanyea anajua anacho cha kupoteza maana ana ties na hana triple "W" tena ambazo ndio pillar za askari alieiva kwa kuvurugwa na W zake tatu ubongoni.

Triple W mkuu sio kwamba ni sanaa za kwenye novels tu huu ndio muongozo wa soldier kuiva hizo novels ni ishara ya triple W kushika headings Duniani na kukubalika.

I hope that's helps mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hii mkuu ni kila Kitu! Shule! Lecture! Kifupi ni classic lesson! Ahsante sana.
I binafsi napenda sana kucheza na akili zao! Na Mara zote huwa nawin!

Kuna siku nlikuwa namrudisha Bi Mkubwa Ar na chombo chake, basi zile road block na chemli, nikifika tu, nasimamisha gari, nashuka fasta kabla hata kuambiwa, fasta nasalimia kabla hawajaanza! Huwa nawaambia: WAKUU WA KAZI HESHIMA ZENU!

Wanaitikia afu siwapi gap! POLENI SANA NA KAZI HII NYETI! Wanazidi kutabasamu!

Wakati wanazunguuka kuichungulia gari... Nawapa nyingine WAKUU MUNGU AWABARIKI SANA, BILA YA NYINYI SAA HIZI TUSINGEWEZA KUENDESHA!

Yaani Hapo tuna kuwa marafiki!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli asee,,yani ukiwaita hivyo afu ukawa mpolee hutoi ht sent 5 safari nzima,,ni kucheza na akili zao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ngoja nikusaidie hili;

Unadhani Kwanini jeshini wakifika hawaruhusiwi kuoa hadi baada ya miaka 6 ya mkataba na jeshi? Its simple wanataka soldiers wafall kwenye trap ya multiple relationship na women ili waishi in lone at the end.. Its sound dumb, but that's how it is.

Whisky kwa maana ya monde au mtungi, unadhani kwanini soldiers wanauziwa bia zikiwa exempted from duty!? Maana ni zama za kikwete pekee ndio walianza kuuziwa na vifaa vya ujenzi kwa msamaha wa kodi the rest ilikuwa mtungi pekee ndio una msamaha wa kodi kwa wafunga buti.. They want them to fall into this trap ya kupiga mtungi uncontrollably... China wao wanafanya training huku soldiers wakiwa wamelewa chakari.... Kuona kama kuna soldier anaweza kujicontrol under the influence if alcohol na akapokea orders kwa superior officer wake na kupambana uzuri kwenye battlefield efficiently and effectively.

War ndio hata jeshini walikuwa wakikaribia kumaliza kozi pale Makutupola wanawapeleka soldier somewhere mtaani wakakiwashe kwa Raia ili kuona kama wana aggressiveness and violent trait za kiaskari. Hii siku hizi haipo. Jeshi linapoteza triple W ndio maana siku hizi unaweza kumuona askari katoka kozi ukamuangalia ukajisemea huyu hata Mimi hanitoi kwa ngumi kwa jinsi alivyo legelege na mayai. Zamani! Thubuutu!

Ni majeshi ya siku hizi tu Africa ndio yamepoteza hizi triple "W", soldier anatoka tu kozi anaoa uswazi na anakuwa na family na future kabisa akisikia hata anaenda mission Congo pale kwa M23 anajinyeanyea anajua anacho cha kupoteza maana ana ties na hana triple "W" tena ambazo ndio pillar za askari alieiva kwa kuvurugwa na W zake tatu ubongoni.

Triple W mkuu sio kwamba ni sanaa za kwenye novels tu huu ndio muongozo wa soldier kuiva hizo novels ni ishara ya triple W kushika headings Duniani na kukubalika.

I hope that's helps mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajeshi hawaoi kwa muda huo sababu siyo hiyo trap unayoisema. Kunakuaga na vikozi vingi vingi hapo kati, focus inapotea ukiwa na familia.

Usipooa kwa muda waliokwambia. Siku ukija kuoa utajengewa 1/3 ya nyumba yako (sina uhakika na kipimo nishasahau) pia harusi yako itafungwa kijeshi.

Jeshi linalowafundisha wanajeshi wake wakiwa wamelewa siyo China ni Philipines.

6 Military Units Whose Training Would Traumatize Rambo | Cracked.com

Mzee three Ws hakuna ndiyo maana hata ukikesha online hutapata kitu. Nishakupa origin yake na nishakuonyesha wanamtandao wanapoangukia.

Mi naenda kula.
 
Yaani hii mkuu ni kila Kitu! Shule! Lecture! Kifupi ni classic lesson! Ahsante sana.
I binafsi napenda sana kucheza na akili zao! Na Mara zote huwa nawin!

Kuna siku nlikuwa namrudisha Bi Mkubwa Ar na chombo chake, basi zile road block na chemli, nikifika tu, nasimamisha gari, nashuka fasta kabla hata kuambiwa, fasta nasalimia kabla hawajaanza! Huwa nawaambia: WAKUU WA KAZI HESHIMA ZENU!

Wanaitikia afu siwapi gap! POLENI SANA NA KAZI HII NYETI! Wanazidi kutabasamu!

Wakati wanazunguuka kuichungulia gari... Nawapa nyingine WAKUU MUNGU AWABARIKI SANA, BILA YA NYINYI SAA HIZI TUSINGEWEZA KUENDESHA!

Yaani Hapo tuna kuwa marafiki!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda sana hii
 
Back
Top Bottom