upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,072
- 4,482
Hiyo saikolojia ya kumruhusu ajione mwamba kwangu huwa inafanya kazi hata kwa traffic mnoko vipi..
Mfano kuna siku nimepigwa mkono ile napack gari jamaa akagundua indicator yangu ya mbele chenga,inawaka ya nyuma na ile ya kwenye side mirror lakini bahati nzuri nilikuwa nalijua hilo tatizo basi ile kafika tu nikamchangamkia kwa salamu ya heshima kabisa akaniambia ebu washa indicator ya kushoto..hahaa sikumkawiza nikampa ukweli mzima kuwa sitaki kumpotezea muda bure na kwamba hiyo indicator ni mbovu na nimeagiza mpya so nakili kosa.Alifurahi sana kaka afande akaniambia hongera kwa kuwa muungwana endelea na safari.
Mwingine alinipiga mkono kisa nimeoverspeed kiasi tu basi nikamuona anakuja kasi,nikafungua mlango nikatoka natabasamu kama vile nafahamiana nae.Nikampa mkono akaleta wake pia,salamu huku namtania kuwa ndo nini kunivizia wakati vyuma vimekaza..
Mpaka hapo akawa mshikaji na akasahau kabisa kilichomleta mwishowe nikamwambia nawahi kidogo nitamcheki akaniambia safari njema.
Mifano ni mingi na hiyo ni baadhi tu.
Hawa wengine wapiga virungu sijawahi ingia anga zao hivyo sina mifano halisi.
Mfano kuna siku nimepigwa mkono ile napack gari jamaa akagundua indicator yangu ya mbele chenga,inawaka ya nyuma na ile ya kwenye side mirror lakini bahati nzuri nilikuwa nalijua hilo tatizo basi ile kafika tu nikamchangamkia kwa salamu ya heshima kabisa akaniambia ebu washa indicator ya kushoto..hahaa sikumkawiza nikampa ukweli mzima kuwa sitaki kumpotezea muda bure na kwamba hiyo indicator ni mbovu na nimeagiza mpya so nakili kosa.Alifurahi sana kaka afande akaniambia hongera kwa kuwa muungwana endelea na safari.
Mwingine alinipiga mkono kisa nimeoverspeed kiasi tu basi nikamuona anakuja kasi,nikafungua mlango nikatoka natabasamu kama vile nafahamiana nae.Nikampa mkono akaleta wake pia,salamu huku namtania kuwa ndo nini kunivizia wakati vyuma vimekaza..
Mpaka hapo akawa mshikaji na akasahau kabisa kilichomleta mwishowe nikamwambia nawahi kidogo nitamcheki akaniambia safari njema.
Mifano ni mingi na hiyo ni baadhi tu.
Hawa wengine wapiga virungu sijawahi ingia anga zao hivyo sina mifano halisi.