Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Hayo ameyasema leo Januari 11, 2023 katika Viwanja vya Kikosi Cha Kutuliza Ghasia Mkoa wa Ruvuma baada ya zoezi la utoaji wa zawadi kwa wakaguzi, Askari wa vyeo mbalimbali na mtumishi raia waliofanya vizuri zaidi katika kutoa mchango mzuri katika utendaji wa kazi wa kuimalisha Ulinzi na Usalama wa raia na Mali zao kwa kuzingatia haki na weledi na uadilifu katika kipindi cha mwaka 2023 ikiwa ni maadhimisho ya Family Police day.
ya kazi zao.
Aidha, aliongeza kwa kuwataka askari wote Mkoani Ruvuma kuhakikisha wanaongeza jitihada zaidi katika utendaji wao wa kazi ili kufanya vizuri zaidi katika kipindi cha mwaka 2024 na kufikia dhima na lengo la Jeshi la Polisi Tanzania katika kutoa huduma bora kwa wananchi sambamba na kuzuia, kutanzua na kufichua vitendo na viashiria vyote vya uhalifu.
Sanjari na utoajia wa zawadi pia Kamanda Chilya alikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa pamoja na kukagua umahili wa maonyesho ya medani za kivita yaliyofanywa na askari wa F.F.U Ruvuma.