haha uwa wanajishtukia sana hawa jamaa me kuna trafic walikuwa wamesimamisha bus wakaona nachezea simu, walinivamia eti nifute picha niliyowapiga hahahaLeo nimemvimbia mmoja kwenye mwendokasi.
Natoa simu naangalia picha asinivamie nimempiga picha.
Oh nipe simu nikague,nkamuuliza UNASEMAAAAA?
akaanza kuwaka.
Nkamwakia na gwanda zake.
Humble AfricanYaani hii mkuu ni kila Kitu! Shule! Lecture! Kifupi ni classic lesson! Ahsante sana.
I binafsi napenda sana kucheza na akili zao! Na Mara zote huwa nawin!
Kuna siku nlikuwa namrudisha Bi Mkubwa Ar na chombo chake, basi zile road block na chemli, nikifika tu, nasimamisha gari, nashuka fasta kabla hata kuambiwa, fasta nasalimia kabla hawajaanza! Huwa nawaambia: WAKUU WA KAZI HESHIMA ZENU!
Wanaitikia afu siwapi gap! POLENI SANA NA KAZI HII NYETI! Wanazidi kutabasamu!
Wakati wanazunguuka kuichungulia gari... Nawapa nyingine WAKUU MUNGU AWABARIKI SANA, BILA YA NYINYI SAA HIZI TUSINGEWEZA KUENDESHA!
Yaani Hapo tuna kuwa marafiki!
Sent using Jamii Forums mobile app
HONGERA SANA... ENDELEA HIVO HIVO KUWAVIMBIA!Leo nimemvimbia mmoja kwenye mwendokasi.
Natoa simu naangalia picha asinivamie nimempiga picha.
Oh nipe simu nikague,nkamuuliza UNASEMAAAAA?
akaanza kuwaka.
Nkamwakia na gwanda zake.
AHAHAHAHHAHAHA sio kila siku jumatatu!HONGERA SANA... ENDELEA HIVO HIVO KUWAVIMBIA!
Ahsante!AHAHAHAHHAHAHA sio kila siku jumatatu!
Ina angalika na uzito wa kosa mkuu makosa madogo madogo huwaga wanashitakiwa kipolisi(kijeshi).Ukiona polisi kafanya kosa then akapelekwa mahakamani jua alitenda kosa kubwa sana,Askari amepewa difensi kubwa sana zidi ya kushitakiwa mbele ya mahakama.kwa hiyo hata kama akikuchukulia mke wako unakuwa mpole tu..acha uongo mbona raia wengi tu wanawashtaki polisi na hao polisi wanafungwa?... nimeshaona sana hiyo
Kwa mfano akibaka.... Kwa hiyo ukitaka kumkomesha polisi unamseti tu kwa mwanafunzi mkaliiiii hapo jela anaiona bila tabuIna angalika na uzito wa kosa mkuu makosa madogo madogo huwaga wanashitakiwa kipolisi(kijeshi).Ukiona polisi kafanya kosa then akapelekwa mahakamani jua alitenda kosa kubwa sana,Askari amepewa difensi kubwa sana zidi ya kushitakiwa mbele ya mahakama.
imesomeka!!
Kwa mfano akibaka.... Kwa hiyo ukitaka kumkomesha polisi unamseti tu kwa mwanafunzi mkaliiiii hapo jela anaiona bila tabu
Sent using Jamii Forums mobile app