OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,879
- 9,749
Chukulia mfano umemaliza chuo mwaka 2015, 2016, 2017, 2018 na 2019 kishuka chini alafu jaribu kuomba ajira serikalini.
Pitia vigezo vyote kabla ya maombi 😀 kivyovyote vile lazima kuna kigezo kimoja utakuwa haukidhi hasa hasa umri. Mfano Tangazo la ajira za polisi la juzi.
Watu wamesoma engineering miaka minne, wengine medicine miaka mitano, wengine veterinary medicine miaka mitano, wengine education mitatu kisha wakakosa ajira wakakaa kitaa miaka mitano bila bila.
Wakijaribu kuomba lazima kuna kitu kina kosekana.
Graduates mmejipangaje?
Pitia vigezo vyote kabla ya maombi 😀 kivyovyote vile lazima kuna kigezo kimoja utakuwa haukidhi hasa hasa umri. Mfano Tangazo la ajira za polisi la juzi.
Watu wamesoma engineering miaka minne, wengine medicine miaka mitano, wengine veterinary medicine miaka mitano, wengine education mitatu kisha wakakosa ajira wakakaa kitaa miaka mitano bila bila.
Wakijaribu kuomba lazima kuna kitu kina kosekana.
Graduates mmejipangaje?