Ukimaliza chuo ukakaa mtaani miaka mitano bila ajira, mifumo ya ajira serikalini inakutema

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,879
9,749
Chukulia mfano umemaliza chuo mwaka 2015, 2016, 2017, 2018 na 2019 kishuka chini alafu jaribu kuomba ajira serikalini.

Pitia vigezo vyote kabla ya maombi 😀 kivyovyote vile lazima kuna kigezo kimoja utakuwa haukidhi hasa hasa umri. Mfano Tangazo la ajira za polisi la juzi.

Watu wamesoma engineering miaka minne, wengine medicine miaka mitano, wengine veterinary medicine miaka mitano, wengine education mitatu kisha wakakosa ajira wakakaa kitaa miaka mitano bila bila.

Wakijaribu kuomba lazima kuna kitu kina kosekana.

Graduates mmejipangaje?
 
miaka yote mitano hujafungua hata genge la kuuza nyanya unasubiria ajira za siisiiemu, kutakuwa kuna hitilafu mahali, maana hata hao wenye hizo ajira wanahangaika kuuza vitumbua ili watoke, kimsingi elimu yetu imekaa kiubwenyenye sana yaani watu hawana kabisa fikra za kujiajiri.SHAME.
 
miaka yote mitano hujafungua hata genge la kuuza nyanya unasubiria ajira za siisiiemu, kutakuwa kuna hitilafu mahali, maana hata hao wenye hizo ajira wanahangaika kuuza vitumbua ili watoke, kimsingi elimu yetu imekaa kiubwenyenye sana yaani watu hawana kabisa fikra za kujiajiri.SHAME.
Kwani elimu inakufundisha kujiajiri au kuajiriwa mzee... Usome education, archeology au economy af ujiajiri au sio darasa la nne B
 
Sio mbaya nchi ikawa na graduate wengi mitaani wasio na ajira. Wahitimu wamekuwa wengi na serikali haina nafasi za kuwaajiri wote. Waendelee kusubiri job vacancy zikitokea wataajiriwa tu kwa kuwa nchi inao wasomi wengi walioko benchi wakisubiri kuajiriwa. Umri unaenda na soon watapoteza sifa za kuajiriwa kwa kuwa kutakuwa na wengine wapya wa kisasa zaidi muajiri atawataka hao. Haya ndiyo madhara ya kusoma ili uje uajiriwe badala ya kujiajiri
 
Kwenye majeshi vigezo vya umri vinazingatiwa lakini taasisi zingine nyingi huwa hawaweki kigezo cha umri
 
miaka yote mitano hujafungua hata genge la kuuza nyanya unasubiria ajira za siisiiemu, kutakuwa kuna hitilafu mahali, maana hata hao wenye hizo ajira wanahangaika kuuza vitumbua ili watoke, kimsingi elimu yetu imekaa kiubwenyenye sana yaani watu hawana kabisa fikra za kujiajiri.SHAME.
Hili sio jibu la mtu aliyekaa darasani,ila ni jibu la mtu asojua kuwa hata yai bovu pia ni viza.
 
miaka yote mitano hujafungua hata genge la kuuza nyanya unasubiria ajira za siisiiemu, kutakuwa kuna hitilafu mahali, maana hata hao wenye hizo ajira wanahangaika kuuza vitumbua ili watoke, kimsingi elimu yetu imekaa kiubwenyenye sana yaani watu hawana kabisa fikra za kujiajiri.SHAME.
Kwamba mtu alisoma civil engineering akauze nyanya?
 
Sio kweli...
Polisi wameweka kigezo cha umri..
TANAPA pia waliweka umri..
Taasisi nyingine huwa hakuna kigezo cha umri na PSRS huwa wanaita wote bila upendeleo...inabak ww na mitihani yao
Wewe unadhani watu wote wamesomea ulichosomea wewe? Polosi wameweka ukomo wa umri mwisho miaka 30 au hukusoma vigezo? Hata huko unakosema nna uhakika hujasoma vizuri vigezo
 
Kijana wa kisasa unasoma ili uje uajiriwe una akili timamu au ni mwendawazimu? Dunia ya sasa yenye fursa nyingi za kujiajiri bado unategemea uajiriwe? Teknolojia hizi zinakuwa kwa kasi bado mzazi ana tendence ya kuaminisha mtoto wake asome ili aajiriwe kwa kuwa maisha yake yote ameishia kuajiriwa na mzazi mwingine hajawahi kuajiriwa akidhani kuajiriwa ndio kuna hela nyingi hizo ni akili za kipumbavu. Watu wasome sana tu serikali ikitataka watumishi wake isikose, tena iwapate kwa dau kubwa kwa kuwa wahitimu wengi watakuwa wamejiajiri na wanatengeneza fedha nyingi kuliko za kuajiriwa
 
Sio mbaya nchi ikawa na graduate wengi mitaani wasio na ajira. Wahitimu wamekuwa wengi na serikali haina nafasi za kuwaajiri wote. Waendelee kusubiri job vacancy zikitokea wataajiriwa tu kwa kuwa nchi inao wasomi wengi walioko benchi wakisubiri kuajiriwa. Umri unaenda na soon watapoteza sifa za kuajiriwa kwa kuwa kutakuwa na wengine wapya wa kisasa zaidi muajiri atawataka hao. Haya ndiyo madhara ya kusoma ili uje uajiriwe badala ya kujiajiri
Polisi waliweka kigezo umri kuanzia miaka 18 yaani kijana wa mwaka 2004 atapata ajira wewe meaka 1990 imekula kwako
 
Chukulia mfano umemaliza chuo mwaka 2015, 2016, 2017, 2018 na 2019 kishuka chini alafu jaribu kuomba ajira serikalini.

Pitia vigezo vyote kabla ya maombi 😀 kivyovyote vile lazima kuna kigezo kimoja utakuwa haukidhi hasa hasa umri. Mfano Tangazo la ajira za polisi la juzi.

Watu wamesoma engineering miaka minne, wengine medicine miaka mitano, wengine veterinary medicine miaka mitano, wengine education mitatu kisha wakakosa ajira wakakaa kitaa miaka mitano bila bila.

Wakijaribu kuomba lazima kuna kitu kina kosekana.

Graduates mmejipangaje?
NA UKUTE UNA DENI LA CHUO NDIO WANAKUTEMA KABISA
 
Wewe unadhani watu wote wamesomea ulichosomea wewe? Polosi wameweka ukomo wa umri mwisho miaka 30 au hukusoma vigezo? Hata huko unakosema nna uhakika hujasoma vizuri vigezo
Mkuu soma vizuri nilichokuandikia...kifupi
Kuna taasisi ajira zao wakitoa wanaweka ukomo wa umri mf.TANAPA, TAKUKURU,POLISI n.k..
Kama wew ni mzoefu wa ajira serikalini, hii ni kawaida...
Umejisajiri PSRS?
 
Kwamba mtu alisoma civil engineering akauze nyanya?
think outside the pandora we dogo usikariri kuajiriwa , hapa nyanya namaanisha fanya biashara yoyote usitegemee ajira ambazo hazipo kwani uinjinia ni nini si fani tu kama nyingine , mbona wapo kibaaao wanauza hadi maneno, motivational speakers, unamfahamu MC Luvanda wee mbwiga yeye sio injinia mbona amejiajiri kwenye u MC hiyo sio kazi? na ana maisha yake yanasonga tu
 
Kwamba mtu alisoma civil engineering akauze nyanya?
think outside the pandora we dogo usikariri kuajiriwa , hapa nyanya namaanisha fanya biashara yoyote usitegemee ajira ambazo hazipo kwani uinjinia ni nini si fani tu kama nyingine , mbona wapo kibaaao wanauza hadi maneno, motivational speakers, unamfahamu MC Luvanda wee mbiga yeye sio injinia mbona amejiajiri kwenye u MC hiyo sio kazi?
Hili sio jibu la mtu aliyekaa darasani,ila ni jibu la mtu asojua kuwa hata yai bovu pia ni viza.
Shauri yako na madarasa yako Kariakoo kuandegree zenu hizo kibaaao zinauza nguo za ndani na maisha yao yanakwenda nyie endeleeni na mawazo yenu mgando ya kuajiriwa.
 
Back
Top Bottom