Ukifika Mlimani City utadhani Watanzania wako katika uchumi wa juu kabisa au wa kati

Mliman city kwa Dar imekuwa kama pa kufanya Utalii kwa Wabongo kwani kwa Dar maeneo ya kutembelea ni kidogo sana.

Nadhani ubunifu unahitajika kuongea maeneo ya watu kutembelea ukiacha Coco beach na fukwe za kigambani,kawe,msasani.
 
Kuna baadhi ya vitu huku mtaani bei iko juu kidogo kuliko mlimani city. Mfano kuna maji ya kunywa ( brand fulani) huku mtaani 1.5L ni Tsh 1500, pale mlimani city ni sh 800 - 1200
Nakumatt Pale maji Kilimanjaro ni 900 kwa ujazo wa Lita moja na nusu
 
Mi huwa naenda kuwaangalia madem tu sina uwezo wa kununua vitu vya umo kwa kweli
 
Ndio maana Wazungu wamepunguza misaada!!
Hata Rais anasema, tunaweza na tunapaswa kuwa Donor Country!
Wazungu wakiwacheki hapo wanasema kumbe hawa washenzi wanajiweza eeeh"
 
Uku kitaa bei za maji maduka ya jumla mbona hizo hizo au mnaenda mlimani city kununua chupa moja ya maji?
 
Endeleaga na huduma za kibenk tu, hizo ice cream si bora ukakate kilo ya nyama au kibua ulie ugali
dah kweli aseee,mkuu juzi meingia mwaka mpya na wadogo zang sasa wakawa wanazitaka ase nkasema kwanza tuulize bei,nikaambiwa zinaanzia 5K duh,nkawashika mkono nkasema tutanunueni za nje....sio kwa hela ile na ice cream kidgo vle,lada ntajarbu maji siku moja mna nvoingia hat kukanyaga nakumatt na game nliogopa sana asee.
 
Naingia kula kipupwe cha bure tu baasi, mikitoka na mijasho yangu huko naenda kupoozea mwili hapo m.city, na huduma ya kukata gogo bure
 
Sema sina pesa
Sio hatuna pesa
Watu mshahara upo kama kawa
Hakija haribika kitu
 
Tatizo na na wengine mapenzi yenu mnaenda kuonyeshea mlimani city... Wengine basi anatembea kwa madaa kama yuko kwenye umiss... mkimwangalia ni mtt mdogo anajiweka kama superstar
Nilitamani nikamchape vibao yule dada...

 
Ukisema Kilimanjaro unaona kuna mtu au kundi la watu watanufaika sana, tuache wivu na ukabila Watanzania
Kuna baadhi ya vitu huku mtaani bei iko juu kidogo kuliko mlimani city. Mfano kuna maji ya kunywa ( brand fulani) huku mtaani 1.5L ni Tsh 1500, pale mlimani city ni sh 800 - 1200
 
Ila tuwe wakweli tu binafsi sijishauwi wala siringi ila hivi kwa mfano wao wakiact namna wanavyoigiza inakuathiri nini usiyefanya directly au indirectly sababu mambo mengine ninaona ni kujitafutia tu msongo wa mawazo as long as you are not offended let them live their fake life pengine nao ndio njia yao ya kuondolea stress and be happy
Huwa nawangaliaga mule watu... Wanajifanya wanahela sana.... Halafu wana nata utafikiri wao malikia.... Wakitoka hapo anaenda kupanda basi, bodaboda au bajaj kama mie tu.... Cvipendii yaani...
 
Back
Top Bottom