Ukifika Mlimani City utadhani Watanzania wako katika uchumi wa juu kabisa au wa kati

Hhhh hapo mlimani city wadada wengi huwa wanatoka katikati ya jiji hahaha
Kila mwanamke akiingia hapo ni lazima avae kimini ndio atajiona amevaa

Yaani ukikaa hapo kama mwanaume ni lazima utachans chipi kwa kudindisha maana wanawake hatujisitiri tuwapo hapo m cty cijui kwa nn

Umarekani mwingiiii


Hili ndilo tatizo kubwa la watanzania....yaani watu wanakurupuka tu kufanya vitu bila kujuwa uhalisia wake. Mtu anaenda beach atavaa suti na tie na viatu vya mchumchumio au ngozi. Mtu anakwenda Mall, anavaa mini skirt au nguo kama anakwenda kwenye harusi wakati anakwenda Mall tu. Yaani wabongo bado ni washamba sana.
 
hpo bhn hasa vident vya udsm,vyuo vya mwenge hpo huwakosi yan wanapenda maisha ya kuigiza yaan.wakiwa hpo utasema km vinahela kumbe viboom vya 200k vinawasumbua,vikirud chuo kaz kishindia wal wa 800 maharage..watz kwa maishs ya kuigiza bhn
 
Huwa nawangaliaga mule watu... Wanajifanya wanahela sana.... Halafu wana nata utafikiri wao malikia.... Wakitoka hapo anaenda kupanda basi, bodaboda au bajaj kama mie tu.... Cvipendii yaani...
 
Moja ya sababu ambayo huwa inanipeleka Mlimani City ukiacha kwenda kununua baadhi ya vitu ambavyo madukani ni ghali zaidi kama Maji na vitu vidogo vidogo ni kwenda kupoteza mawazo kidogo kama kushangaa Watanzania wengi wanavyoigiza maisha yao. Lakini inafariji sana kwa muda mfupi. Pale Mlimani City, huwezi kumjua wa Temeke, Gongolamboto au Manzese Uswahilini kabisa. Wote utadhani wanakaa Masaki, Mikocheni au karibia wote kabisa ukiwatazama walivyovaa, wanavyotembea utadhani Taifa hili liko katika Uchumi wa Juu kabisa au kama si wa juu liko katika Uchumi wa Kati. Kumbe ni Usasa tu uliopo Mlimani City (Modernization) na si vinginevyo. Mnajua wale mliosoma nadharia ya Usasa (Modernization Theory). Mmmmmmh!!! Ahsante Mlimani City.

Ahsante sana kwa kuwa na Mlimani City, naomba watengeneze sehemu nyingi zaidi ili shida zetu tukazipoze hapo.


Globalization is a real discourse.
Modernization Theory
Prof Rugumamu
 
Hakuna kitu kinacholeta umasikin kama kupenda sifa. Utamkuta mtu anakopa mamikion saccoss,vyama vyama ya kusaidiana ili tu ashindane na mtu au majirani kuonekana wa juu kifedha hapo shopping zake ataenda mliman city kujikweza zaidi.

Lakini pale mlimani city kwenye yale maduka ya supermarkets za Nakumat na Game mbona vitu bei rahisi tu,wala si za kutisha,tena bei rahis zaidi ya huku mitaani!Labda haya maduka ya nje kama Splash and Co.
Mi binafsi baadh ya mahtaji yangu huwa nayapata game au Nakumat,yaani nakuta vitu vipo bei ya chini kuliko mtaani.Hadi unajiuliza inakuwaje?Same product,same producer?
 
Nakumbuka 2011 maji ya uhai ya 500 walikuwa wanauza 1500

Sijui alimaanisha nn huyu mtoa post
Nenda Nakumat Maji ya Kilimanjaro ya lita 1.5 wanauza 900/- wakat hayo maji mtaani ni 1500/- hadi 1200/-.
Hayo ya mil 500 mtaani tunauziwa 600/- had buku some places
 
Kuna baadhi ya vitu huku mtaani bei iko juu kidogo kuliko mlimani city. Mfano kuna maji ya kunywa ( brand fulani) huku mtaani 1.5L ni Tsh 1500, pale mlimani city ni sh 800 - 1200
Upo sahihi kabisa.Hata sukar wakat imeoanda bei mitaani wao bado waliuza reasonable price ila kwa mashart usichukue kilo nyingi,waliweka limit
 
Negativity,nothing else. Kwanini unaona wanaigiza na si kwamba ndio maisha yao halisi? Wewe umeenda hapo hapo je ni sawa mtu mwingine akuchukulie kwa huu mtazamo wako kwamba upo hapo Mlimani City unaigiza?

Is it a big deal to shop at mlimani city, to speak English, to dress
a certain style?
 
Negativity,nothing else. Kwanini unaona wanaigiza na si kwamba ndio maisha yao halisi? Wewe umeenda hapo hapo je ni sawa mtu mwingine akuchukulie kwa huu mtazamo wako kwamba upo hapo Mlimani City unaigiza?

Is it a big deal to shop at mlimani city, to speak English, to dress
a certain style?

Tatizo la mswahili hill. Akiona mtu mwingine anafanya kitu ambacho yeye hawezi kufanya basi ana-assume huyo mwenzie analazimisha ama anaigiza.

Mara sijui nguo, lugha, manunuzi, nini cha ajabu kwenye hayo?!
Kwanza kule vitu ni being fresh sana, achana na maji & drinks, hata electronics. Electronics in bei nzuri, za quality ya uhakika.
Nguo mle wengi wanajiachia kwasababu hamna ushamba Wa kupigiana miluzi na kushangaana as if mtu katoka outer space.
Lugha nayo ni company. Huwezi kuta wawili wasiojua lugha wanaongea eti kisa wako MCity. Na wanaojua hata wakikutana Kariakoo kama wanapenda/wako comfortable kuongea kimombo wataongea tu.

Kwahiyo acheni ushamba nyie mnaoenda kushangaa na kujudge watu msiowajua. Next time ingia Game, Nakumatt, Discount centre, Mr Price uone jinsi ambavyo vitu vizuri vinauzwa kwa being reasonable. Hats KFC kwa 5000 unakula chips na kuku robo kama kitaani tu. Msiogopeshwe na brand!!!!
 
..mlimani city ni kijiwe cha kukutana kwa wasiojua....ni sehemu poa ya kuweka kumjenga tofu mlupo....nimewahi kuwachapa manzi wa kiwango hapo city...tena kwa hadaa ya chupa ya smirnof ice tu....kuna milupo ya chuo hapo wanatega uzuri....si kila aendae hapo ni mnunuzi bidhaa...wengine hujiuza..
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom