Ukifika Mlimani City utadhani Watanzania wako katika uchumi wa juu kabisa au wa kati

Uchumi wa watanzania sio nzuri au uchumi wako binafsi ndio umeyumba?
Uchumi wako peke yako ukiwa mzuri afu wengine wote ukawa mbaya itakufaa nini wewe??
Tatizo Tz, tofauti kati ya walionacha na wasionacho ni kubwa mnooooo.
Kunywa chai ya maziwa na mkate na jam na omelette ni luxury kwa watanzania tulio wengi bado.
 
Malls kama mlimani city in Tanzania ni ngapi? Ni chache saaana ukilinganisha na ukubwa wa jiji letu la dar.
 
Sure, nipo hapa mida hii, ni mahali panapokufanya ujihisi mtu mzito, usie na shida ndogo ndogo. Ni sehemu pekee ambayo sijawahi kubageni bei ya kitu chochote kile. Nalipa tu.
Ni kwasababu una jua maana ya Supermarket, otherwise usinge enda hapo ungeenda Kariakoo
 
Hhhh hapo mlimani city wadada wengi huwa wanatoka katikati ya jiji hahaha
Kila mwanamke akiingia hapo ni lazima avae kimini ndio atajiona amevaa

Yaani ukikaa hapo kama mwanaume ni lazima utachans chipi kwa kudindisha maana wanawake hatujisitiri tuwapo hapo m cty cijui kwa nn

Umarekani mwingiiii
Wewe mrembo hapo ulipo tayari unatuumiza wengine,angalia sasa mzigo ulivyotokelezea,utadhani kiboko hugo.
 
Alafu wanaongea kingereza wadada wote utakaopishana nao mcity.Kuna zile za kuhug kizungu wakionana na mabesti zao si mchezo.Bongo daresalama maaanina walllah
 
Hhhh hapo mlimani city wadada wengi huwa wanatoka katikati ya jiji hahaha
Kila mwanamke akiingia hapo ni lazima avae kimini ndio atajiona amevaa

Yaani ukikaa hapo kama mwanaume ni lazima utachans chipi kwa kudindisha maana wanawake hatujisitiri tuwapo hapo m cty cijui kwa nn

Umarekani mwingiiii
Wakat hata kwa buku tu mnatuvulia vi min vyenu
 
Nimezoea genge letu kijijini. Shopping mlimani city?That is way beyond my league. Hivi nitaanza vipi, opulence in mlimani city makes me nervous. I will shop gengeni where I am at peace with myself.

Simplemind huna haja ya kununua kitu unaweza ukafanya "window shopping" roho yako ikaridhia.
 
Huwa najiuliza kwanini bei zao huwa chini hivyo tofauti na mitaani na unapatiwa risiti za EFD.. Maji Kilimanjaro 1.5L 950/= , Vinywaji baridi kama Soda , Malta & Bavaria vyote bei cheee kwenye Supermarket za Mlimani City.. Nahisi wafanyabiashara wa Mtaani huwa wanaenda kuchukua mzigo pale...
 
Moja ya sababu ambayo huwa inanipeleka Mlimani City ukiacha kwenda kununua baadhi ya vitu ambavyo madukani ni ghali zaidi kama Maji na vitu vidogo vidogo ni kwenda kupoteza mawazo kidogo kama kushangaa Watanzania wengi wanavyoigiza maisha yao. Lakini inafariji sana kwa muda mfupi. Pale Mlimani City, huwezi kumjua wa Temeke, Gongolamboto au Manzese Uswahilini kabisa. Wote utadhani wanakaa Masaki, Mikocheni au karibia wote kabisa ukiwatazama walivyovaa, wanavyotembea utadhani Taifa hili liko katika Uchumi wa Juu kabisa au kama si wa juu liko katika Uchumi wa Kati. Kumbe ni Usasa tu uliopo Mlimani City (Modernization) na si vinginevyo. Mnajua wale mliosoma nadharia ya Usasa (Modernization Theory). Mmmmmmh!!! Ahsante Mlimani City.

Ahsante sana kwa kuwa na Mlimani City, naomba watengeneze sehemu nyingi zaidi ili shida zetu tukazipoze hapo.


Globalization is a real discourse.
hahahah
 
Huwa najiuliza kwanini bei zao huwa chini hivyo tofauti na mitaani na unapatiwa risiti za EFD.. Maji Kilimanjaro 1.5L 950/= , Vinywaji baridi kama Soda , Malta & Bavaria vyote bei cheee kwenye Supermarket za Mlimani City.. Nahisi wafanyabiashara wa Mtaani huwa wanaenda kuchukua mzigo pale...
sijawahi kuelewa, kwanini?
 
Back
Top Bottom