Kwahiyo huwa unaenda kusikiliza watu pale..acha umbea!Pia ukifika mlimani unaweza kusema wabongo wrote wanaongea kiinglish, yani zile you know, off course, my boyfriend so and so, I miss you zinakuwa kibao basis mimi huwa mabaki midomo wazi nikitoa macho tu!
waow kwel mkuu,hyo ni ndani ya game na nakumatt supermarkets au kuna maduka yake mle ndani?Maji ambayo mnauziwa mitaani 1500 hadi 2000 yanauzwa 900 yaani Kilimanjaro ya lita 1.5
Hujawaza na nauli ya kwenda mlimani city pia... Na VATOna sasa ushaingia hasara Ungenunua pale pale ungelipa 850/=
Acha hizo ndugu! Mtu anatembea kwa maringo Yake Wewe unakwazika nini? Eti kumchapa makofi! Bongo mna mambo Kweli! Eti kumchapa makofi Mtoto Wa watu buree!Tatizo na na wengine mapenzi yenu mnaenda kuonyeshea mlimani city... Wengine basi anatembea kwa madaa kama yuko kwenye umiss... mkimwangalia ni mtt mdogo anajiweka kama superstar
Nilitamani nikamchape vibao yule dada...
VinakeraaaAcha hizo ndugu! Mtu anatembea kwa maringo Yake Wewe unakwazika nini? Eti kumchapa makofi! Bongo mna mambo Kweli! Eti kumchapa makofi Mtoto Wa watu buree!
Kama anakera ungemvalia ngozi Ya kondoo, ukamtongoza kwa maneno laini na kamba Kali halafu ndiyo unakwenda kumpa kichapo na ile fimbo asili Ya sir god.... Zaidi ya hapo utajitakia matatizo na polisi bureeeVinakeraaa
Khaaa huo mda sina... AiseeKama anakera ungemvalia ngozi Ya kondoo, ukamtongoza kwa maneno laini na kamba Kali halafu ndiyo unakwenda kumpa kichapo na ile fimbo asili Ya sir god.... Zaidi ya hapo utajitakia matatizo na polisi bureee
Moja ya sababu ambayo huwa inanipeleka Mlimani City ukiacha kwenda kununua baadhi ya vitu ambavyo madukani ni ghali zaidi kama Maji na vitu vidogo vidogo ni kwenda kupoteza mawazo kidogo kama kushangaa Watanzania wengi wanavyoigiza maisha yao. Lakini inafariji sana kwa muda mfupi. Pale Mlimani City, huwezi kumjua wa Temeke, Gongolamboto au Manzese Uswahilini kabisa. Wote utadhani wanakaa Masaki, Mikocheni au karibia wote kabisa ukiwatazama walivyovaa, wanavyotembea utadhani Taifa hili liko katika Uchumi wa Juu kabisa au kama si wa juu liko katika Uchumi wa Kati. Kumbe ni Usasa tu uliopo Mlimani City (Modernization) na si vinginevyo. Mnajua wale mliosoma nadharia ya Usasa (Modernization Theory). Mmmmmmh!!! Ahsante Mlimani City.
Ahsante sana kwa kuwa na Mlimani City, naomba watengeneze sehemu nyingi zaidi ili shida zetu tukazipoze hapo.
Wewe unasumbuliwa na ushamba na mihemko, tatizo hujawahi hata kuvuka boda uende nchi za watu uone watu wanavyotembelea MALLS tofauti tofauti,si hayo MAGODAUNI hapo mlimani. Na 85% wanaotembelea humo hawanunui chochote zaidi ya kzungukia TIGO/VODA SHOP kukusanya vipeperushi.
Globalization is a real discourse.
Sukari ukiingia Game una pata kwa 2100 mtaani 2500Ni kweli mlimani city ni bei rahisi vitu kuliko kitaa?
Duka gani lina uza maji ya uhai kwa.bei hiyo? usije kuwa uliingia MerryBrownNakumbuka 2011 maji ya uhai ya 500 walikuwa wanauza 1500
Sijui alimaanisha nn huyu mtoa post
Hhhh hapo mlimani city wadada wengi huwa wanatoka katikati ya jiji hahaha
Kila mwanamke akiingia hapo ni lazima avae kimini ndio atajiona amevaa
Yaani ukikaa hapo kama mwanaume ni lazima utachans chipi kwa kudindisha maana wanawake hatujisitiri tuwapo hapo m cty cijui kwa nn
Umarekani mwingiiii
mkuu mi naingiaga tu ila naogopa hata kununua vitu ase sijawahi natmbeaga tu na kufanya huduma zngne kam za kibenki...vp maji na vinywaji kam soda na ice cream ni shngap??