Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,474
- 8,590
Wafanyakazi wa migodini, wachimbaji wadogo wadogo, walinzi (korokoroni)
Bado wapo?Wapiga picha
Bado wapo mkuu..nenda kwenye maharusi....japo kujiselfie imetawala sanaBado wapo?
Yupo kundi ganiphonce joseph njoo jione hapa
Basi ni kila mtumember wa JF
masecretary
wanafunzi
waalimu
madokta
wasio na ajira
omba omba
wakulima
wafanyabiashara
wachungaji
mapadri
mashehe
maaskofu
wabunge
madiwani
wakuu wa vijiji,kata,shina,wilaya adi mikoa na wasaidizi
wanajeshi,polisi,mgambo,walinzi
wachezaji na makocha
Kwani kuna tatizo??. Wanaume wa kumrithi mkeo si tupo?!!!.Ndiyo mkuu. Lakini CHONDE CHONDE naomba asiingie kwenye orodha maana nitakufa kwa presha kama nilivosema hapo mwanzo
Mpaka ww..?Basi ni kila mtu
Huyo naye hatabaki salama. Mkewe lazma atakuwa kama si mama lishe, basi muuza matunda barabarani au mama wa chapati au msusi au..... asha date na waliotajwa mara nyingi huko awali.sasa wakuu mbona nchi itabakiwa na mafundi umeme tu labda.
Najua fundi bomba lazma aondoke.
member wa JF
masecretary
wanafunzi
waalimu
madokta
wasio na ajira
omba omba
wakulima
wafanyabiashara
wachungaji
mapadri
mashehe
maaskofu
wabunge
madiwani
wakuu wa vijiji,kata,shina,wilaya adi mikoa na wasaidizi
wanajeshi,polisi,mgambo,walinzi
wachezaji na makocha
Wanakosaje yanimadereva na kondakta wa Daladala Hawakutajwa?
X- prezidaa Mwinyi alitahadharisha mapema Sana.Itoshe kusema tu huo "ugonjwa umekaa pabaya"
Auchagui pa kutua uwe shehe au mchungaji