Ugm bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,152
- 5,661
Christo hakuja kumponya mtu dunian wala kutenda miujiza yoyote dunian ndiomaana alkuwa kila akifanya muujiza lazma awaambie wahusika msimwambie mtu,, alichokuja dunian ni kuleta mwanga wa wokovu na neema ya ukombozi tuu, na sio mengine, hayo ya uponyaji yanabaki kama tu zawadi ya kumuanin then unafunguliwa kila kitu, ata alipowaponya weng wao walimuamn kwanza ndpo kuponywa ispokuwa wale tu waliokufa maana hawakuweza kunena lolote,,,,Point ni hii chrsto anatak na anakutaka wew Kupata maarifa na mwangaza wa neno ya kwel uondoe ujinga kichwan mwako kwanza ndpo mengine yafanyikee,,kupona huja baada ya kujua kwel ni ipi, kupata maarifa mapya ya kuondoa ujinga na vifungo vya akili kuchwan,..awo mnaowaita wachungaj na manabii wanajua wanachokifanya, wao hawapo kukusaidia bali kukupumbaza na kuifanya akil yako isifunguke ubak kuwa mtumwa wa akili, na roho, pia uwe mtegemez maan mtumwa n mtu tegemezi, hvyo bas wao ukupa muujiza ambao utakufnya umtukuze mchungaj,nasio Mungu, oia ukufanya uwe mtumwa wa mchungaji kwa kumtegemea yeye,,huo Upuuzi christo ndio aliupinga,,yaan inashangaza wachungaj na manabiu uchwara wa kileo hawana wito wowote, wala unabii wowote zaid ya ushirikina,,nakazia maneno kuwa zama hiz hakuna unabii wala utume wowotee,awo woote muwapao majina makubwa makubwa wote majizi tuu hutumia ushirikina kuwaponya na kuwa hadaa,,,Mungu wa kwel anakutaka upate maarifa yakujua ww muafrikan nani hapa dunian, nn kusudio lako, Mungu wa kwel anakupa nguvu zakujiponya wew mwenywe paspo kumtegemea mtu yyte,,Shetani ndiye ana control hiz dini zote na kila aina ya iman kwakujifananisha na Mungu, ndio maana nyakat hiz hakuna waty wanaotenda maajabu kama ya manabii wa kale,,mtian mdogo tuu mfuate uyo anaejiita nabii au mponyaji akupe unabii kuhusu ugonjwa wa covid19 kwa undan wake kama ajakupiga chenga,,pili muulize undan wa historia ya israel ya kwel kwakutumia unabii na maandiko, akikujibu haya maswal kama majibu yake yalivyo fasaha bas mfuate