Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,956
- 7,209
Cancer huwa inaenda into remission, ikirudi inakuwa aggressive kuliko hapo awali.Kansa ikimrudia mtu ndo easy assumption kuwa Katenda tena dhambi?
Seriously?
Nimeuguza ndugu wa karibu, inaumiza SANA!
Kwa maumivu yale, dhambi sijui wanatenda saa ngapi?? Hata wakipata nafuu, siyo watu wale wale, huwa wanyenyekevu na wenye kumtii na kumshukuru Mungu.
Everyday is Saturday...............................