Hahahaha ni upepo tu mangi. Utapita tu. Mrs kakosa uvumilivu
mkuu naona kukaa pembeni you are still close to her, unaonaje ukiondoka kabisaaaaa..πππ
Ila ni vzr kumjua mtu wako mapema tabia yake,.kuna watu kweli wako hivyo hao huwezi walaumu ni ww kufanya juhudi kumsoma na kumuelewa,.lakini haya mambo ya kukurupukiana siku 2 mnajifanya mnajuana kuliko aliowazaa ndio madhara yake haya,.vijana tupunguze mihemko asee unaweza date nyonya damu hivihivi unajiona...Hayo mambo yapo,
Mimi hata wazazi wangu wenyewe wananijua, na wenyewe ndo hupiga simu sio mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Babu umezidiiii na ww khaaβΉβΉHahahaha ni upepo tu mangi. Utapita tu. Mrs kakosa uvumilivu
Hapo jikalie zako pembeni uendelee kumsomesha namba kimya kimya mpaka yeye mwenyewe akiri kua maendeleo hayana chama.Mie nimeachwa tarehe 31,na kistaarabu na kwa kipekee kabisa nikakubali kuachika bila kuleta lomoni wala n'gwan'gwalu,sasa cha ajabu muachaji ndo anaweweseka na wakati ndo kwanza tarehe 4.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat nafikiri mchezo tumeshamaliza.Hahahaha ni upepo tu mangi. Utapita tu. Mrs kakosa uvumilivu
Hii imesababishwa na kurejeshwa kikokotoo cha zamani.Babu umezidiiii na ww khaaβΉβΉ
Mmhh babu wewee..Mungu anakuona hata kabla ya kikokotoo ulikuwa hivihivi babu ww,.sema sasahv umezidishaHii imesababishwa na kurejeshwa kikokotoo cha zamani.
Unanipakazia bhana. Au kwakuwa nilikutongoza ile siku? Nilikuwa nakutania tu sikuwa siriaz. Ungenikubalia ndo ungeaminiMmhh babu wewee..Mungu anakuona hata kabla ya kikokotoo ulikuwa hivihivi babu ww,.sema sasahv umezidisha
no one is ever busy. its just a matter of priority
people make time to things that really matter to them
Tunacho kosea sisi ni pale tunavyo jiaminisha hao max lover wetu kuwa walikuwa bora hakuna kama yeye na hata tokea, kuachwa na mtu ni njia ya kukusogeza kwa right person hata kama huyo yupoje, Thamani yako ipo katika kuchukua hatua ya kusonga mbele na kujikubali baada ya kupata matokeo ya NDIVYO SIVYO.Ni ngumu kuachwa hasa na mtu unaempenda. Wengine wanakuambia tumefika mwisho wa barara, gari yetu ya mapenzi haiendelei na safari. Kuna wanaotoa visingizio, unakuta miezi mitatu hamjaonana wala kuwa na maongezi ya kueleweka. Kila siku atadai yuko busy. Mmh huu u busy mbona unapata muda wa kuoga kula na kulala kama mimi bado ni wa muhimu kwako.
Awe mwanamke au mwanaume. Kama amefikia hatua hiyo, ingawa ni ngumu lakini kubali matokeo. Kumbuka yeye ni mtu mzima ana sababu zake katika maamuzi hayo.
Sasa kuna wale wa binafsi wanaotishia kunywa sumu, kulia, kujiumiza. Mpenzi wewe unafarijika kuwa nae lakini ukumbuke kuwa uwepo wako kwake si faraja tena.
ππππUnanipakazia bhana. Au kwakuwa nilikutongoza ile siku? Nilikuwa nakutania tu sikuwa siriaz. Ungenikubalia ndo ungeamini
Anajua mapungufu yako ndiyo maana..Hahaa,sio rahisi kukubali mkuu.Kiukweli tu sitaki nikumbuke yale mapito?
Na muonea huruma tu,mana tabu anapata yeye,mi furaha yangu haimtegemei yeye ama mtu yoyote,ila yeye sasa ni habari tafautiHapo jikalie zako pembeni uendelee kumsomesha namba kimya kimya mpaka yeye mwenyewe akiri kua maendeleo hayana chama.
Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Siku hizi tunawaachia wake zetu nyumba, hatutaki matatizo. Tena tunakuambia kabisa, kaa lea watoto hapa. Sisi ndio tunaondoka na kuanza life somwhr else.Haswaa ghafla unaambiwa ukatafute chumba