Ukiachwa achika



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya nyuma ilinitokea...... Dah acha tu, sikukubaliana na Hali halisi iliniumiza Sana maana nilikuwa naona bila Jamaa siwezi Dah... Ila niliumia jamani but time heals everything, nikaamua nikamsamehe nikamove on now am happy na nimejifunza kukubali matokeo iwe nimeloose or nimewin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahha duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
By clinging to the reality she find herself denyibg the reality of the situation.
Nina case kama hyo since 2013 ananililia yule mtoto.i feel guilty ila sina namna cause nisha move on

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiyakazimisha ukumbuke unamkera mwenzako ndiyo mwanzo wa kuwa maadaui.
 
Tangu 2013 labda kulikuwa na financial gains
Hakuna financial she just loved deeper.sasa kila kini call ni kulia. She tried other r/lshp akawa heart broken karudi kwangu kalia kweli.
And she said msiwaumize wanawake wanaowapenda kama hana hekima ya Mungu anaweza kukuroga.Hadi nikaogopa anaweza kwenda extra mile akaniroga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wallahi upo kama mimi..sibembelezi siangalii nyuma...ata chozi siangushi...
 
Kovu ndiyo maana sirudi kwa ex, akianza tu give me another chance, ninakumbuka yale maumivu.
Ukikumbuka maumivu unaona kama umjibuje sijue...mimi kuna kaka aliniacha jamani nliomba ardhi ipasuke...nliumia hadi nikasafiri kwenda tu sehemu ntulize akili ilinichukua almost mwez mmoja kuwa okay kidogo..sahivi nkimuona naona kama nimeona mdudu gani sijui ila yye ndo anaangaika atar...mara anifate coz tupo eneo moja la kazi...weeeee wanaume sitamanj tenaa....nliliaaa...kanga inajaa machozi na bado nachukua nyngne..nashukur mungu hayupo tena akili na ctk tena
 
Kuna mmoja alinitenda wewe, alikokwenda huko yalimkuta ya kumkuta ndipo aliporudi kunitafuta. Bembeleza na wewe kwa kweli nilishamchoka nilimpa jibu moja tu alinidete kila mahali.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚pole sanaa...umenichekesha sana ila kweli weeeeee yani MTU anakubadilisha mazima anakufnya unakuwa mtu was ajabu..pole sanaa.ila mwombe sana mungu akupe nguvu
 
Kuna mmoja alinitenda wewe, alikokwenda huko yalimkuta ya kumkuta ndipo aliporudi kunitafuta. Bembeleza na wewe kwa kweli nilishamchoka nilimpa jibu moja tu alinidete kila mahali.
πŸ˜‚πŸ˜‚ for sure it real hurts πŸ’” alfu mtu anakurdia et...aiseeey ulimpa jibu zuri sana...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…