William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
hivi akili huwa una azima au unajitoa ufahamu makusudi. Mwenyekiti wako anatafuta amani, mbulula eti hupendi
wenye ufahamu wamefanya tathimini wameona umuhimu wa UKAWA kuwepo bungeni ndiyo maana wanawaomba warudi bungeni
saa zingine uwe unafikiri kabla hujapost CHADEMA inawabunge 46 ! Nadhani una matatizo si bure !
Habari hii inapatikana kwenye gazeti la Uhuru.
Lengo haswa ni nini hadi mataifa ya nje kuzuia katiba ya watanzania na kutaka kupitisha katiba ya wakoloni kupitia UKAWA?
Ikumbukwe wiki jana wapo viongozi wa chadema walikanusha kwenye vyombo vya habari juu ya kupata ufadhili toka mataifa ya nje lakini hao wanaoshinikiza lazima wanatumia fedha. Kwa lengo gani?
Asante sana KIGOGO kwa kutuhabarisha watanzania, endelea kutupa taarifa japo watakuita majina kama Mamluki, Msaliti, ila ni jambo jema kuwasaliti watu wenye nia mbaya na Taifa hili.