UKAWA wamjibu rais Kikwete

UKAWA wamjibu rais Kikwete

Kamuulize mzee wako akusaidie,

Ipiana angekuwepo angekusaidi kuijua CHADEMA.

Pia muulize dada yako anaijua vema, kila siku analalamika unamtia aibu.

Endelea kuyachafua maccm menzio

- nonsense mburulazz ukawa foolish andika hoja wewe mjinga ukawa, wabunge 46 mnaweza kuzia katiba nani kakudanganya kile kimama kizungu? ha1 ha!

Le Mutuz
 
Le.mutuz saizi yake ni mbuta nanga,wanaendana,wakabishane mambo ya uzuri wa sura na chupi.

Hard news haziwezi,siasa waachie wenyewe
 
- Wewe usiwe mjinga unaamini Katiba ya Tanzania itashindwa kwa sababu ya wabunge wenu 46 tu? na yule Balozi wenu anayewapa hizo hela za kuleta jeuri mtaona le mburulaazzz katiba itapita na tutaawambia wananchi kwamba milikimbia kama Chalinze na Kalenga mtapigwa chini na hela zenu za Kagame, le mburulazzz!!

Le Mutuz

Kama dadako Mwendwa alitunukiwa kuwa Judge wa mahakama kuu bila kuwa na sifa,basi yote uliyosema yanawezekana.
 
Le.mutuz saizi yake ni mbuta nanga,wanaendana,wakabishane mambo ya uzuri wa sura na chupi.

Hard news haziwezi,siasa waachie wenyewe

- yule ukawa mwenzako ndio unamtaja sana mburulazzz wabunge 46 eti mtazuia katiba subirini muone kimbunga na uchaguzi mtapigwa tu na mkileta za kuelta mtapigwa tu

Le Mutuz
 
- Crying babies matusi na kejeli mlianza wenyewe halafu milipojibiwa mkaondoka, CCM watakuwa wendawazimu kuwaruhusu kuwatukana bila kujibiwa mtajibiwa tu tena kwa lugha mnayoonekana kuilewa sana yaani ya matusi mkitaka ustaarabu mtapewa lakini sio lazima mrudi kaeni huko nje Katiba itapatikana tu, Chadema ina Wabunge 46 ambao hakuna Katiba ya bongo inayowapa haki ya kuzuia mchakato kama hamuamini subirini muone, haiwezekani Tanzania tukashindwa kutengeneza katiba mpya kisa na mkasa wabunge 46 no way, tutatengeneza katiba na wabunge wengine wa Upinzani bila Chadema so mrudi msirudi haijalishi!1

Le Mutuz

hata rais kikwete ana mapepo pia, anahitaji maombi!
 
Mt Kilimanjaro! Watoto waliotokana na mikesha ya hilo dudu (mwenge), akili zao wote ni za hivyo hivyo (ref:nape).

- kumbe ndivyo ulivyozaliwa ha1 ha! ha1 ha1 ha1 ha1 ha1 kumbe kweli msema njia lazima aliipitia mapema u know!! ha! ha!

Le Mutuz
 
- uKAWA JIFUNZE kuandika mambo kuhusu topic mezani mburulazzzz this is nonsense!1

Le Mutuz

Jibu mwaha sister ni judge? mwekee cv yake ili ijulikane kaingia hapo kihalali vinginevyo ndio maana mapovu yanakutoka kutetea mfumo unaowapendelea
 
UKAWA wana point.

Wakapate futari Ikulu warudi bungeni.
 
- yule ukawa mwenzako ndio unamtaja sana mburulazzz wabunge 46 eti mtazuia katiba subirini muone kimbunga na uchaguzi mtapigwa tu na mkileta za kuelta mtapigwa tu

Le Mutuz

Hahaha...kumbe hizi zote hasira za kuzidiwa uzuri na Frola Lyimo aisee..pole sana, we ni oversize zile chupi hazikutoshi.
 
- Mtoto mchanga miaka 3 UKAWA mburulazzz kaeni huko huko msirudi bungeni muone, Rais anawacheka mpaka kusema muombewe maana yake hawahitaji sasa mtaona katiba itapita na hamtafanya lolote mtakubali tu mkileta za kuleta mtapigwa tu ha1 ha! ha1 ha

Le Mutuz

U real need psychological suport....something serious whent wrong with you brother..
 
Back
Top Bottom