concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,279
- 14,309
Kula kulala nenda kale chakula cha bure kwa John, pia kazi ya udalali kwa Chikago haikutoshi hadi uwe unaombaomba hovyo
uuuwiii miaka 60 kukaa kwa kaka aibu
Kula kulala nenda kale chakula cha bure kwa John, pia kazi ya udalali kwa Chikago haikutoshi hadi uwe unaombaomba hovyo
- wote mmejaaa mapepo mnahitaji kuombewa Rais amesema muombewe tu
Le Mutuz
Kilio chako cha kutaka kupatiwa kacheo na C.. kinaendelea kugonga mwamba ndugu yangu! Kwa kutumia mtandao wa JF kujimarket kwa C.. nayo itagonga mwamba. Kilichobakia kwako ni just concentration kwenye hizo shughuli zako za biashara. Nilitegemea mtu kama wewe of a such calibre ujifahamu mapema au labda ninakosea................- Kaeni huko huko msirudi bungeni muone kama katiba haitapita, wabunge 46 mtashinda Wabunge 280 wa CCM how? hiyo sio sheria ila ujinga sasa subirini muone mwambieni huyo balozi anyewapa jeuri kwamba na yeye ni mburulazzz ataondokja hapa nchini akifanya mchezo,
Le Mutuz
usimchezee ana hisa za asilimia moja kwenye radio ya mosha
- Nyie mburulazzz jifunzeni lugha za wanasiasa wa Taifa Rais anayetaka mrudi mezani hawezi kusema in the public kwamba muombewe na wachungaji ina maana moja hawahitaji, mtatukana hapa mpaka mufe Katiba itaandikwa bila wabunge 46 Tanzania nzima wananchi Millioni 44 tutasumbuliwa na Wabunge 46 are kidding me or what subirini muone kimbunga kinachokuja, munamuamini Lipumba? Kwa nini kamfukuza Mtatiro si kwa sababu na yeye ana siasa za kitoto kama zenu subirini muone you mburulazzz Katiba ya Tanzania haiwezi kusimamishwa kwa sababu ya wabunge 46 nendeni mkaandamane huko le mburulazz
Le Mutuz
Pamoja na kukulia kwenye familia ya Mwanasiasa lakini bado huwajui wanasiasa ................. anyway, hivi nani alikuambia kuwa UKAWA ni CDM ................... hao 46 unaowataja, akina Lipumba, Mbatia na wenzao umewajumlisha au hesabu yako ndiyo imeishia hapo!!?
Kula kulala nenda kale chakula cha bure kwa John, pia kazi ya udalali kwa Chikago haikutoshi hadi uwe unaombaomba hovyo
Kilio chako cha kutaka kupatiwa kacheo na C.. kinaendelea kugonga mwamba ndugu yangu! Kwa kutumia mtandao wa JF kujimarket kwa C.. nayo itagonga mwamba. Kilichobakia kwako ni just concentration kwenye hizo shughuli zako za biashara. Nilitegemea mtu kama wewe of a such calibre ujifahamu mapema au labda ninakosea................
Wewe mburula ,sisi hatutaki katiba ya kigumashi bali tunataka katiba itakayokubalika na wananchi kwani itakuwa na maslahi kwao; katiba ya namna hiyo haiwezi kuandikwa na magamba peke yao na kudharau utashi wa wananchi!!
we unadhan leo atapost hapa. hans ashaharibu kuwa kubwa jinga bado linakaa kwa kakake duu.
- Foolish nyie mkishika dola mimi nahamia Zambia angalau kuliko kutawaliwa na mburulazzzz
Le Mutuz
- Foolish nyie mkishika dola mimi nahamia Zambia angalau kuliko kutawaliwa na mburulazzzz
Le Mutuz
- Foolish nyie mkishika dola mimi nahamia Zambia angalau kuliko kutawaliwa na mburulazzzz
Le Mutuz