UKAWA wamjibu rais Kikwete

UKAWA wamjibu rais Kikwete

Pepo unaongelea bunge lipi?

Hujui hata idadi ya wajumbe wa bunge la katiba?

Ndio maana changudoa Flora anakuzidi uelewa.

Ok vipi Flora kakustress sana eh na machupi yake ya kiume?

- CCM ina wabunge 280 lichama lako ukawa wabunge 46 eti mtazuia katiba na kile kimama chenu kizungu nenda mkachukue posho huko katiba itapita tu!!

Le Mutuz
 
Kwa hili lazima mtage,bila kujadiliwa maoni ya wananchi patachimbika.Mtarukaruka lakini mwisho mtatulia tu na kuinamishwa mizigo nyie!
\
- Mbona mmeshainamishwa tayari mnalia lia pembeni nani anawahitaji nendeni muombewe kwanza mburulazzz

Le Mutuz
 
\
- Mbona mmeshainamishwa tayari mnalia lia pembeni nani anawahitaji nendeni muombewe kwanza mburulazzz

Le Mutuz
Unamtusi Mwenyekiti wako na PM ambaye kila anapokuwa anajiliza UKAWA warudi Bungeni.

Jitambue Pepo
 
Toka lini maccm mmetoka kuwa "nguvu ya ufisadi na mapepo"

My foot! mmekuwa "guvu ya umma?

- Lichama miaka 30 hamshiki dola kimejaa mapepo ya ajabu sana mnahitaji kuombewa lichama litakufa eti katiba itasimama nani anawahitaji nyie mburulazzz

Le Mutuz
 
- Crying babies matusi na kejeli mlianza wenyewe halafu milipojibiwa mkaondoka, CCM watakuwa wendawazimu kuwaruhusu kuwatukana bila kujibiwa mtajibiwa tu tena kwa lugha mnayoonekana kuilewa sana yaani ya matusi mkitaka ustaarabu mtapewa lakini sio lazima mrudi kaeni huko nje Katiba itapatikana tu, Chadema ina Wabunge 46 ambao hakuna Katiba ya bongo inayowapa haki ya kuzuia mchakato kama hamuamini subirini muone, haiwezekani Tanzania tukashindwa kutengeneza katiba mpya kisa na mkasa wabunge 46 no way, tutatengeneza katiba na wabunge wengine wa Upinzani bila Chadema so mrudi msirudi haijalishi!1

Le Mutuz

Marehemu Ipyana angekuwa hai sasa hivi angekuwa kiongozi mkuu katika ccm na kwa busara zake asingezungumza utumbo kama wako wewe bodyguard wa Mosha!! You are a disgrace katika ukoo wa Tinga.
 
Aise....wewe na mwenyekiti wako wa chama mnapingana?
Si jana tu alikuwa mbeya akaomba ukawa warudi?
Au unajipa faraja kwa majibu mepesi unayotoa,sitta anahaha halali kisa ukawa bunge limepoteza dira wazalendo wapo nje ya uwanja na nakuakikishia....bila ukawa hamna katiba mnajipa moyo tu!!!

Mkuu utawala wa panya baba ndevu, mama ndevu watoto ndevu ila huyu anajikombakomba tu mzee wake alishapigwa chini siku nyingi na mafisadi wenzake
 
Mkuu utawala wa panya baba ndevu, mama ndevu watoto ndevu ila huyu anajikombakomba tu mzee wake alishapigwa chini siku nyingi na mafisadi wenzake

- Sema unajikomba baba yako hana kitu ukawa na wewe huna kitu mburulazzz ukawazzzz

Le Muituz
 
Marehemu Ipyana angekuwa hai sasa hivi angekuwa kiongozi mkuu katika ccm na kwa busara zake asingezungumza utumbo kama wako wewe bodyguard wa Mosha!! You are a disgrace katika ukoo wa Tinga.

- Wewe ni ukawa tu kama wengine huna akili maana ungekwua nazo usingeamini Tanzania inaweza kushindwa katiba mpya ksia wabunge 46 ni akili mbovu sana hiyo

Le Mutuz
 
- Lichama miaka 30 hamshiki dola kimejaa mapepo ya ajabu sana mnahitaji kuombewa lichama litakufa eti katiba itasimama nani anawahitaji nyie mburulazzz

Le Mutuz

imewashika pabaya anza kufikiria maisha ya bila buku 7
 
- Lichama miaka 30 hamshiki dola kimejaa mapepo ya ajabu sana mnahitaji kuombewa lichama litakufa eti katiba itasimama nani anawahitaji nyie mburulazzz

Le Mutuz
Utakuwa ni zaidi ya kilaza,

Engineer gani hata hesabu hujui, historia pia?

Mzee Malecela ndio maana kakutenga, kakusomesha kumbe BURE

Fanya homework

2014 -1992 = 30?

RIP jembe "Ipiana Malecela"
 
- Lichama miaka 30 hamshiki dola kimejaa mapepo ya ajabu sana mnahitaji kuombewa lichama litakufa eti katiba itasimama nani anawahitaji nyie mburulazzz

Le Mutuz

Unaargue peasantry kweli we jamaa,
Mambo mengine ni bora ukae kimya ufiche uji.nga wako kuliko kuongea na kuonesha u.puuzi ulo nao. Look here, hiyo miaka 30 umeanza kuihesabu tangu lini?

Big fat baby!!!! You are still young upstairs buddy!!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Unaargue peasantry kweli we jamaa,
Mambo mengine ni bora ukae kimya ufiche uji.nga wako kuliko kuongea na kuonesha u.puuzi ulo nao.

Big fat baby!!!! You are still young upstairs buddy!!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app

- ha! ha! ha! unaona mburulaazzzz wabunge 46 eti mtazuia katiba mnalia lia nini sasa mmetoka bungeni nyamazeni sio kulia lia hamna huruma hapa na mkileta za kuleta mtapigwa tu!1

Le Mutuz
 
Utakuwa ni zaidi ya kilaza, engineer gani hata heaabu hujui, historia pia?

Fanya homework

2014 -1992 = 30?

RIP jembe "Ipiana Malecela"

- Wewe mjinga lichama lako lilianza siku nyingi lilikuwa linaitwa Chagga Development Manifesto, lipo miaka 30 sasa hata historia ya lichama lako hujui mburulazzz ukawa

Le Mutuz
 
- ha! ha! ha! unaona mburulaazzzz wabunge 46 eti mtazuia katiba mnalia lia nini sasa mmetoka bungeni nyamazeni sio kulia lia hamna huruma hapa na mkileta za kuleta mtapigwa tu!1

Le Mutuz

Shear nonsense, out of point, out of context!!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
- Wewe mjinga lichama lako lilianza siku nyingi lilikuwa linaitwa Chagga Development Manifesto, lipo miaka 30 sasa hata historia ya lichama lako hujui mburulazzz ukawa

Le Mutuz
Kamuulize mzee wako akusaidie,

Ipiana angekuwepo angekusaidi kuijua CHADEMA.

Pia muulize dada yako anaijua vema, kila siku analalamika unamtia aibu.

Endelea kuyachafua maccm menzio
 
Back
Top Bottom